Nyie machalii wa Rachuga mnafamu mkoa wenu umepokea TZS3.5Trilioni ila mjue hiyo pesa ni karibu sawa na bajeti nzima ya nchi ya Burundi

Nyie machalii wa Rachuga mnafamu mkoa wenu umepokea TZS3.5Trilioni ila mjue hiyo pesa ni karibu sawa na bajeti nzima ya nchi ya Burundi

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,513
Reaction score
2,196

Mkoa wa Arusha umepokea TZS3.5Trilioni pesa ambayo ni karibu sawa na bajeti nzima ya nchi ya Burundi ambayo haizidi TZS5Trilioni.​

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Ujenzi wa majengo ya Serikali TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn,

Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn, Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn, TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.Rais Samia amepeleka TZS3.5Trilioni Mkoani Arusha ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo.

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Utawala bora TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn, Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn,Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn,TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.
 

Mkoa wa Arusha umepokea TZS3.5Trilioni pesa ambayo ni karibu sawa na bajeti nzima ya nchi ya Burundi ambayo haizidi TZS5Trilioni.​

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Ujenzi wa majengo ya Serikali TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn,

Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn, Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn, TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.Rais Samia amepeleka TZS3.5Trilioni Mkoani Arusha ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo.

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Utawala bora TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn, Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn,Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn,TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.
Alizitoa kizimkazi?
 

Mkoa wa Arusha umepokea TZS3.5Trilioni pesa ambayo ni karibu sawa na bajeti nzima ya nchi ya Burundi ambayo haizidi TZS5Trilioni.​

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Ujenzi wa majengo ya Serikali TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn,

Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn, Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn, TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.Rais Samia amepeleka TZS3.5Trilioni Mkoani Arusha ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo.

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Utawala bora TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn, Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn,Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn,TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.
Chunga kauli yako mkuu! Huu unataka kuleta mgogoro wa kidiplomasia!
 

Mkoa wa Arusha umepokea TZS3.5Trilioni pesa ambayo ni karibu sawa na bajeti nzima ya nchi ya Burundi ambayo haizidi TZS5Trilioni.​

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Ujenzi wa majengo ya Serikali TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn,

Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn, Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn, TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.Rais Samia amepeleka TZS3.5Trilioni Mkoani Arusha ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo.

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Utawala bora TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn, Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn,Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn,TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.
Utawala bora ndio kulipwa fedha zote hizo ili kufanya nini zaidi ya mkuu wa mkoa kuishi kwenye hoteli ghali kupitia zote nje ya Dar es salaam na Zanzibar.
Afya nini cha maana kimefanyika (nenda emergency ya hospital ya rufaa ya mkoa kama hujafa kabla hata huduma ya kwanza.
Barabara nyakati za mvua hata za Bumbuli adadhali ni kichekesho .
Kwa ujumla zaidi ya ubadhirifu na mipango hewa hakuna la maana.
Wizi mtupu .
 
sawa ila pesa ni nyingi sana Arusha muwe na Shukrani
Hizo ni namba tu wameamua kuzisema. Kupeleka hela yote hiyo Arusha afu kusiwe na mambo ya maana ni kuwatukana Wanachuga.

Labda kama walienda kuzichukulia huko lkn sio kufanya maendeleo.
 

Mkoa wa Arusha umepokea TZS3.5Trilioni pesa ambayo ni karibu sawa na bajeti nzima ya nchi ya Burundi ambayo haizidi TZS5Trilioni.​

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Ujenzi wa majengo ya Serikali TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn,

Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn, Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn, TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.Rais Samia amepeleka TZS3.5Trilioni Mkoani Arusha ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo.

Rais Samia ametoa kiasi cha fedha cha TZS3.5Trilioni ambazo hata hivyo zilitumika ili kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwenye sekta mbalimbali kama ifuatavyo, Utawala bora TZS958.6bn, Afya TZS94.2bn, Elimu TZS267bn, TZS686.9bn, Miundombinu ya Barabara TZS638.9bn,Nishati ya Umeme TZS99.2bn, Mapato ya Ndani TZS240.9bn,TASAF TZS61.6bn, Sekta Nyingine 465.39bn. Pesa hizi ni karibu kabisa na bajeti yote ya nchi ya Burundi au hata nchi ya Sudani kusini kwa mwaka mzima.
Utalii uliingiza ngapi?
 
Nyie Machawa huwa ni mapimbi sana na ninahisi mnafikiri pasipo kichwa kuwepo kwenye kiwiliwili chake ebu tuambie Raisi izo hela kazitoa wapi? je! ni,kwenye mshahala wake? au kuna,mahala alipewa na,yeye akaja kutoa?
 
zamani kodi hazikuwapo?
Aliyekuambia zamani pesa ilikuwa haiendi ni nani? Arusha mpaka ikaitwa Geneva ya Africa ni kwa ajili mamaenu?
Kinachofanyika saa hizi ni mtu kununua chupi kwa mara ya kwanza na kuanza kuonyesha hovyo kumbe wenzake walishahama huko wako kwenye boxer na tight,matokeo yake anaonekana mshamba.
 
Back
Top Bottom