🙏 🙏 🙏 ❣️Mji mzito sana huu
Sir buyer hakuimbiwa parapanda, sasa limezukwa jipya.
Nyeti lazima ziwe za siri, hata zikichafukwa hazianikwi upenuni, labda zioze na kutoa uvundo mkali, lakini bado unaweza kuziswafi na tindikali kisha ukazihifadhi kwenye jokofu lililogandama kipupwe cha nyuzi baridi centigrade hasi 100.
Mji mzito sana huu. Kuna tafauti ndogo sana kati ya hasidi na hashua, japo kinyume chake kina kima cha kipenyo
Kama pembe la moo halifichiki, basi usijifanye kwio mbuni kufutika medulla ardhini ili kujikinga na hadhira isikutie machoni.
Mji mzito kwelikweli
Nyeti za siri zimeshaanza kudoda, kila mtu anatamba na kikingio chake. Hivi kudoda na kuvuja vinashabihiana ama kibantu kina maingiliano? Kwasababu tundu na tobo vinafanana lakini havishabihiani.
Je, uwazi nao ni tundu au ni tobo? Ama ni kipenyo?
Kipenyo penye uwazi, mwanya? Hupenyeza panapopenyeka na waja hupenyezeana. Wengine hupenyana
Bado tu utajinasibu na nyeti za siri?
Hivi hizi ni fununu ama ni tetesi au ni minong'ono?
Penye fununu hufunuliwa, penye minong'ono hunong'onwa, penye tetesi je? Panatestiwaa.
Nyatunyatu huleta kimuhemuhe kama kilivyo kisebubu japo hiki ni kiroho papo. Sio kiroho paaa, hiyo itakuwa blinking news! Habari za kumweka mweka
Mma yana hulka moja; hayazuiliki. Unaweza kuyakinga lakini si kuyazuia lazima yatatafuta upenyo yapenye. Na hata kama utayakinga yana kima chake. Yakizidi kima yatapasua na kuvunja kingo, na madhara yatakuwa kwa wengine wengi.
Hebu tufanyeni kikowa na kulimaliza hili lisifutikwe mchagoni, ndimi hazitatulia na midomo haitapumbaa....! na ndimi zisipotulia mafikara yataundiwa uhalisia kisha midomo itaropoka ropo!
Wakulaumiwa atakuwa nani?
Lisemwalo lipo kama halipo haliwezi kusemwa asilani.
Nimeamini sikijui kiswahili.warumi Ni binamu yangu
Ila nina hakika kwenye kiswahili sanifu na kiswahili fasihi, somo la tamathali za semi ulifaulu kufeli
Nimekusoma vema mkuu Mshana ila kuna kitu nahisi japo kama unavyosema kutunza hizi nyepesi nyepesi ni vizuri zaidi naomba iwe hivyo kweli pengine inaweza kuokotwa mana JangwaniHapana mkuu wangu Duduvwili nimemkumbuka tu mwalimu wangu wa fasihi chuoni na tamathali za semi..
Tamshi ni kama risasi kwenye bunduki...risasi haina kinyume(rivasi) hivyo ni bora tukachunga ndimi zetu hata kama hakuna malisho...kwakuwa vifanyio vyetu, vile ambavyo vikiona vifuniko vya asali husimama Dede kama kangaroo ni bora sana kuliko hizi nyepesi nyepesi zisizo na wepesi
Mtangazi wa wasafi na msemaji mkuu wa wekundu wa msimbaziMji mzito sana huu
Sir buyer hakuimbiwa parapanda, sasa limezukwa jipya.
Nyeti lazima ziwe za siri, hata zikichafukwa hazianikwi upenuni, labda zioze na kutoa uvundo mkali, lakini bado unaweza kuziswafi na tindikali kisha ukazihifadhi kwenye jokofu lililogandama kipupwe cha nyuzi baridi centigrade hasi 100.
Mji mzito sana huu. Kuna tafauti ndogo sana kati ya hasidi na hashua, japo kinyume chake kina kima cha kipenyo
Kama pembe la moo halifichiki, basi usijifanye kwio mbuni kufutika medulla ardhini ili kujikinga na hadhira isikutie machoni.
Mji mzito kwelikweli
Nyeti za siri zimeshaanza kudoda, kila mtu anatamba na kikingio chake. Hivi kudoda na kuvuja vinashabihiana ama kibantu kina maingiliano? Kwasababu tundu na tobo vinafanana lakini havishabihiani.
Je, uwazi nao ni tundu au ni tobo? Ama ni kipenyo?
Kipenyo penye uwazi, mwanya? Hupenyeza panapopenyeka na waja hupenyezeana. Wengine hupenyana
Bado tu utajinasibu na nyeti za siri?
Hivi hizi ni fununu ama ni tetesi au ni minong'ono?
Penye fununu hufunuliwa, penye minong'ono hunong'onwa, penye tetesi je? Panatestiwaa.
Nyatunyatu huleta kimuhemuhe kama kilivyo kisebubu japo hiki ni kiroho papo. Sio kiroho paaa, hiyo itakuwa blinking news! Habari za kumweka mweka
Mma yana hulka moja; hayazuiliki. Unaweza kuyakinga lakini si kuyazuia lazima yatatafuta upenyo yapenye. Na hata kama utayakinga yana kima chake. Yakizidi kima yatapasua na kuvunja kingo, na madhara yatakuwa kwa wengine wengi.
Hebu tufanyeni kikowa na kulimaliza hili lisifutikwe mchagoni, ndimi hazitatulia na midomo haitapumbaa....! na ndimi zisipotulia mafikara yataundiwa uhalisia kisha midomo itaropoka ropo!
Wakulaumiwa atakuwa nani?
Lisemwalo lipo kama halipo haliwezi kusemwa asilani.
Mana jangwani!? Hii inaweza kuwa nyota ya jaha...!!! Inshallah tuzidi kumuomba yeye aliye mkuu kuzidi sote sisi...Nimekusoma vema mkuu Mshana ila kuna kitu nahisi japo kama unavyosema kutunza hizi nyepesi nyepesi ni vizuri zaidi naomba iwe hivyo kweli pengine inaweza kuokotwa mana Jangwani
Kuna Nini?Yaani nimetoka Kapa bin Patupu
Kuna nini[emoji15][emoji15][emoji15]
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Mi sijui hata naona mapicha picha tu, lugha yenyewe katumia ya kificho sanaKuna Nini?
Mu7 wa home.Nani
Legendary Mshana Jr....fasihi imefasihika..nyetika zinaenda nyetika..zikinyitika Jina hubadirika na kuwa Nyeto....Mji mzito sana huu
Sir buyer hakuimbiwa parapanda, sasa limezukwa jipya.
Nyeti lazima ziwe za siri, hata zikichafukwa hazianikwi upenuni, labda zioze na kutoa uvundo mkali, lakini bado unaweza kuziswafi na tindikali kisha ukazihifadhi kwenye jokofu lililogandama kipupwe cha nyuzi baridi centigrade hasi 100.
Mji mzito sana huu. Kuna tafauti ndogo sana kati ya hasidi na hashua, japo kinyume chake kina kima cha kipenyo
Kama pembe la moo halifichiki, basi usijifanye kwio mbuni kufutika medulla ardhini ili kujikinga na hadhira isikutie machoni.
Mji mzito kwelikweli
Nyeti za siri zimeshaanza kudoda, kila mtu anatamba na kikingio chake. Hivi kudoda na kuvuja vinashabihiana ama kibantu kina maingiliano? Kwasababu tundu na tobo vinafanana lakini havishabihiani.
Je, uwazi nao ni tundu au ni tobo? Ama ni kipenyo?
Kipenyo penye uwazi, mwanya? Hupenyeza panapopenyeka na waja hupenyezeana. Wengine hupenyana
Bado tu utajinasibu na nyeti za siri?
Hivi hizi ni fununu ama ni tetesi au ni minong'ono?
Penye fununu hufunuliwa, penye minong'ono hunong'onwa, penye tetesi je? Panatestiwaa.
Nyatunyatu huleta kimuhemuhe kama kilivyo kisebubu japo hiki ni kiroho papo. Sio kiroho paaa, hiyo itakuwa blinking news! Habari za kumweka mweka
Mma yana hulka moja; hayazuiliki. Unaweza kuyakinga lakini si kuyazuia lazima yatatafuta upenyo yapenye. Na hata kama utayakinga yana kima chake. Yakizidi kima yatapasua na kuvunja kingo, na madhara yatakuwa kwa wengine wengi.
Hebu tufanyeni kikowa na kulimaliza hili lisifutikwe mchagoni, ndimi hazitatulia na midomo haitapumbaa....! na ndimi zisipotulia mafikara yataundiwa uhalisia kisha midomo itaropoka ropo!
Wakulaumiwa atakuwa nani?
Lisemwalo lipo kama halipo haliwezi kusemwa asilani.
zikinyitika Jina hubadirika na kuwa Nyeto....[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji3064][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Legendary Mshana Jr....fasihi imefasihika..nyetika zinaenda nyetika..zikinyitika Jina hubadirika na kuwa Nyeto....