Tetesi ikikoma huwa uzushi ama vinginevyo... Kaka asili ya yabisi ni kimiminikaAiseeee, nilikuaga napenda sana hesabu ila hizi hazikuwahi kunivutia Mkuu, tuombe Mungu hata majibu yakija tofauti na matarajio huenda ikawa ni Shamba darasa kwake hivyo ile hali yabisi(jiwe) ikawa kimiminika!
Hata kwenye kitabu cha mwimbieni bwana[emoji848][emoji2][emoji2][emoji2] Tenzi za rohoni hazina huo wimbo mkuu wangu wa stendi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapatikana wapi[emoji134][emoji134][emoji134][emoji2]sio wimbo wa notten
Aha basi ngoja nifanye mazoezi ya kujikumbushia kuuimbaKwa waimbaji binafsi na kwaya mbalimbali...wengi wameimba kwa mahadhi tofauti ngoja nitii kiu yako
Mola amfanyie wepesi katika madhila yake...lakini hili sio nje ya mada kweli? Au umehawilisha viambishi vya waja?Nyeti za siri kutoka Nairobi
View attachment 1721677
Huu wimbo unanijia jia kuuimba tuu tangu janaUko category ya mapambio... Kwanini sasa lakini..kuna maalum kwenye huu wimbo?
Julius Nyerere Baba wa taifa leeeetuuuu!!!! Mwenzetuuuu, Ndugu yeetuu, Mwalimuu,(Mwalimu Nyerereeeee)[emoji848][emoji2][emoji2][emoji2] Tenzi za rohoni hazina huo wimbo mkuu wangu wa stendi
Sent using Jamii Forums mobile app