Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nitakujibu, wewe, watoto wako, wajukuu zako, wajomba zako, mna haki ya kufanya kila mnachotaka. Ila ukweli utabaki pale pale kwamba Julius Nyerere ndiye founding father of modern Tanzania. Hilo halikwepeki.
Safi sana!
 
Hadi nchi za West zinamuita Dictator Nyerere ktk textbook zao. Kweli kazi mnayo ya kumfanya aonekane ... yenu
Sisi hatuongozwi na maoni ya nchi za magharibi au mashariki. Wanaweza kumwita wapendavyo. Kwetu sisi ni baba wa taifa na mwanzilishi wa taifa la kisasa la Tanzania.
 
Hadi nchi za West zinamuita Dictator Nyerere ktk textbook zao. Kweli kazi mnayo ya kumfanya aonekane ... yenu
Nchi gani hizo za West? Ukishindwa kutaja basi ujijue wewe ni mwongo zaidi ya FaizaFoxy!
 
Sisi hatuongozwi na maoni ya nchi za magharibi au mashariki. Wanaweza kumwita wapendavyo. Kwetu sisi ni baba wa taifa na mwanzilishi wa taifa la kisasa la Tanzania.

Mwanzilishi wa TZ kivipi? najua inaitwa Tanzania kutokana na muungano na Zanzibar. Sasa utaanzisha vipi huu muungano bila ya pande ya pili kuagree?

Hapo ndipo watu kama nyinyi mnachanganya mambo. Atakuwa vipi mwanzilishi wa TZ wakati hakuinda Republic of Tanzania peke yake?
 
Hapana kusema kwlei sijui maana morden nationa ina maana nyingi sana na kusema kweli nimerukia hoja kwa sababu sielewi kwa nini mnasema Nyerere ni MWANZILISHI wa TAIFA la KISASA...
Ulichofanya umetafsiri tu kutoka taifa la kisasa kuja kiingereza lakini hukunipa haswa sababu ya kusema hivyo. Pengine nakubaliana nawe isipokuwa sijui una maana gani..sipendi kuvamia kuunga mkono ama kutounga hoja wakati sijakuelewa.
 
Kwanza unaposema ina maana nyingi sana ni zipi hizo?
Sasa huu uhuni mkuu wangu...
Modern nation inatokana na historia ya nchi mlikotoka ktk utawala uliokuwepo na kuwa na mageuzi kufikia mfumo wa kiutawala uliopo sasa..Kwa mfano wenzetu wanatumia hili neno toka mageuzi yaliyowapa muundo wa utawala uliopo ingawa imetokea miaka 200 iliyopita, kwa maana hii sisi mageuzi yetu ya Taifa la kisasa yametokea mwaka 1992 wanasiasa na wasomi wa NCCR walipoanza ku challenge authority ya one party system na Ujamaa (socialism)..na tukabadilisha mfumo huo wa kiutawala mwaka 1993 na kuwa a modern nation ambayo leo ndio tupo ktk vyama vingi na tumeachana na Ujamaa na kuchagua Ubeberu wala sii Ubepari... Ni kama tumerudi nyuma ktk mteremko wakati tumeweka gear ya kwenda mbele..

Na mageuzi ya Nyerere kumwondoa Mkoloni as a morden nation yalikoma mwaka 1992 kwa sababu tulichonacho leo sii kabisa mazao ya mwalimu na utawala wa chama kimoja au Ujamaa maana hatuna. Coming 1992 tuliweza kabisa kusema that was our modern nation baada ya kuondokana na kukoloniwa tuka rise sense of nationalism, tukapata national identity and loyalty, tuka form centralized Government, one party rule system na kadhalika lakini yote haya hayapo tena..

Sasa sielewi ulipotumia neno Nyerere ndiye baba wa taifa la kisasa kidogo imenitatiza maana Taifa tulonalo leo sio kabisa aloombea mwalimu bali tumefika hapa wenyewe na tumepoteza kabisa Uzalendo, Utaifa - national ID, Loyalty yaani ni omba omba wa kutupa - tupo tupo tu..
 
Mimi nnaijuwa Alhamdulillah, tena with confidence. Na huyo aliyoibandika huyo anaelewa kabisa kuwa hapa hakuna utani na Qur'an.
Wewe nimeshakupa darsa hapa na umeachana na ule upupu wako sasa unarukia ya mwenzako wakati huna ujuzi nayo. Na yeye tutampa ilmu, kwani huo ni wajib kwangu. Ukiondoka hapa na wewe uwe umefaidika.
Mwenzenu yule aliyezoweya kuziweka aya ndivyo sivyo (mmkjj) aliondoka hapa umemshuka, muulize ilikuwa siyo mara yake ya kwanza na AlhamduliLlah kila anapojaribu kucheza na Qur'an huna anaumbuka. Hiyo inalindwa na mwenyewe na hamuwezi kuichakachuwa hata mpande mshuke nyinyi mchanganyike wote, hamuwezi thumma hamuwezi.

Wewe ndiye unayeumbuka, ungeweka hiyo sahihi mbona umeogopa kuiweka? Mimi sio mwanakijiji, mimi ni Mwislamu na nimekwenda madrasa ninachokisema nakijua, ndio maana nilikupa fursa uwende kwa maustadh wa Gerezani; maneno ya Mwenyezi Mungu siku zote huwasuta wanafiki kama wewe; utahangaika kila kona ukweli utasimama palepale FOXY haliendani na maadili ya Uislamu. Faiza Fix upo hapo? (Foxy limekaa kinyume maadili na mimi ni Muislamu ziwezi kuendeleza makruhu ). Ushauri wa bure jadili Chadema na CCM haya Uislamu una mapungufu nayo utaumbuka bure.

Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
Asione haya aombe msamaha kwa kutaka kupotosha Qur'an.

Sipo hapa kwa kuungwa mkono wala mguu. Nipo hapa kuwapa darsa watu kama wewe.

Darsa nenda Mirembwe pale watakuelewa kwani mnaongea lugha moja.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Sasa huu uhuni mkuu wangu...
Modern nation inatokana na historia ya nchi mlikotoka ktk utawala uliokuwepo na kuwa na mageuzi kufikia mfumo wa kiutawala uliopo sasa..Kwa mfano wenzetu wanatumia hili neno toka mageuzi yaliyowapa muundo wa utawala uliopo ingawa imetokea miaka 200 iliyopita, kwa maana hii sisi mageuzi yetu ya Taifa la kisasa yametokea mwaka 1992 wanasiasa na wasomi wa NCCR walipoanza ku challenge authority ya one party system na Ujamaa (socialism)..na tukabadilisha mfumo huo wa kiutawala mwaka 1993 na kuwa a modern nation ambayo leo ndio tupo ktk vyama vingi na tumeachana na Ujamaa na kuchagua Ubeberu wala sii Ubepari... Ni kama tumerudi nyuma ktk mteremko wakati tumeweka gear ya kwenda mbele..

Na mageuzi ya Nyerere kumwondoa Mkoloni as a morden nation yalikoma mwaka 1992 kwa sababu tulichonacho leo sii kabisa mazao ya mwalimu na utawala wa chama kimoja au Ujamaa maana hatuna. Coming 1992 tuliweza kabisa kusema that was our modern nation baada ya kuondokana na kukoloniwa tuka rise sense of nationalism, tukapata national identity and loyalty, tuka form centralized Government, one party rule system na kadhalika lakini yote haya hayapo tena..

Sasa sielewi ulipotumia neno Nyerere ndiye baba wa taifa la kisasa kidogo imenitatiza maana Taifa tulonalo leo sio kabisa aloombea mwalimu bali tumefika hapa wenyewe na tumepoteza kabisa Uzalendo, Utaifa - national ID, Loyalty yaani ni omba omba wa kutupa - tupo tupo tu..

Mkandara
Inawezekana mnaongea kitu kimoja lakini kwa vipindi tofauti; wakati Mwl. Nyerere anachukua uongozi wa kuliongoza Taifa hili alifanya mabadiliko makubwa ya mwelekeo wa Taifa hili; na alipoachia madaraka viongozi waliofuatia nao waliamua kuendesha nchi kwa mitazamo yao; yapo mambo ya msingi lazima yafanyike ili Taifa liwe na hiyo sifa ya modern nation kuanzia uchumi, kisiasa, kiutamaduni na kidini; ukichulia maana ya modern nation; Tanzania ya wakati wa Mwl. Nyerere ileta maana halisi; hivi sasa Tanzania tunaelekea kwenye Fallen state.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Shindana kwa hoja na acha hayo mambo ya jinsia. Hapa unaonesha dalili ya kushindwa; ndiyo maana unaanza kwenda kwenye sexism.

Wasting your time arguing with them whn do not know nothing. wamesoma na kumaliza shule ilhali hawakufuzu. hawana ilmu.
 
uislam unaruhusu mwanamke kubishana na wanaume? unaruhusu pia kashfa na matukano kwa watu wenye umri mkubwa? dhambi mnayoipata kwa kumkejeli mwalimu ni kubwa sana na itaandama hata vizazi vyenu. mwalimu was so innocent and he loved his people na hakuwahi kubagua watu au makundi ya watu. mnachokipandikiza hapa hamkijui hakika. waulizeni vyema wazazi wenu kwa nini hawakuwapa malezi mema na mkawa na heshima kwa wakubwa zenu. kukaa oman au yemen au kokote kule si kufahamu mambo. busara ni kitu tofauti sana na elimu na ndiyo maana wisdom iko na wachache. poleni sana but nyerere ni founder na baba wa taifa na si baba wa nyie mmoja mmoja.
 
uislam unaruhusu mwanamke kubishana na wanaume? unaruhusu pia kashfa na matukano kwa watu wenye umri mkubwa? dhambi mnayoipata kwa kumkejeli mwalimu ni kubwa sana na itaandama hata vizazi vyenu. mwalimu was so innocent and he loved his people na hakuwahi kubagua watu au makundi ya watu. mnachokipandikiza hapa hamkijui hakika. waulizeni vyema wazazi wenu kwa nini hawakuwapa malezi mema na mkawa na heshima kwa wakubwa zenu. kukaa oman au yemen au kokote kule si kufahamu mambo. busara ni kitu tofauti sana na elimu na ndiyo maana wisdom iko na wachache. poleni sana but nyerere ni founder na baba wa taifa na si baba wa nyie mmoja mmoja.

Mkuu, mitume wa mwenyezi mungu wenyewe walikuwa wanapingwa sembuse Nyerere?
Kila mtu ana baba yake hakuna baba wa wote huo ndio ukweli...
 
Back
Top Bottom