Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nipo nakuona unavyohangaika na nimekujibu juu huko lakini hujaona, nangoja uendelee nikupe darsa kuhusu nick names au Kiarabu "kun'yah", ntakujulisha Mtume Muhammad (SAW) majina aliyokuwa akiwaita wakeze (si ya nasaba) "nick names". Hata Mtume Muhammad (SAW) mwenyewe alikuwa na nick name zake alizoitwa, ukiendelea tu ntakupa darsa labda useme kuwa ulikosea au ulikuwa hujui, hapo tutaendelea vizuri. Kutokujuwa ni kujifunza na wala usione vibaya, vibaya ikiwa hujuwi na kujifunza hutaki. Na kukosea si kosa kurudia makosa ndio kosa. Sasa chaguwa, umekosea au ulikuwa hujui?

FaizaFoxy.
Bora umejitokeza huyu jamaa wa gongolamboto kila akiongea pumba zake anakutaja wewe kama ushaidi..

Najiuliza Kariakoo na Gongolamboto wapi na wapi...
 
Naomba wale waliochapwa viboko pale mlimani miaka hiyo kwa kusema heri ya mkoloni kuliko nyerere waichangie hii hoja
 
Waislam wa bongo wanambwembwe haooooooo,ni nouma!!Tatizo lao moja tu,Wepesi sana kusahau na kuchanganya mada!Badala ya mwalimu hapa,sasa hamehamia kuchambua Kura "honey" kazi kwelikweli.
 
Nipo nakuona unavyohangaika na nimekujibu juu huko lakini hujaona, nangoja uendelee nikupe darsa kuhusu nick names au Kiarabu "kun'yah", ntakujulisha Mtume Muhammad (SAW) majina aliyokuwa akiwaita wakeze (si ya nasaba) "nick names". Hata Mtume Muhammad (SAW) mwenyewe alikuwa na nick name zake alizoitwa, ukiendelea tu ntakupa darsa labda useme kuwa ulikosea au ulikuwa hujui, hapo tutaendelea vizuri. Kutokujuwa ni kujifunza na wala usione vibaya, vibaya ikiwa hujuwi na kujifunza hutaki. Na kukosea si kosa kurudia makosa ndio kosa. Sasa chaguwa, umekosea au ulikuwa hujui?
Muislam haruhusiwi kujiita Ritz au Kuongezea neno Foxy mbele ya jina la Faiza.
Ritz is an unislamic name, ni sawa na kujipa nickname John au Charles. Allah atakuita jina hilo siku ya kiama na utamjibu kwanini ulilichagua.
Foxy can be beauty or animalistic, sijui Allah atahukumu vipi, ila mpaka sasa ni makruh.
 
Hizi nakupa samples tu, unataka kulinganisha na nchi ipi? unayomaanisha wewe ni ya Kiislaam? sema ntakupa data zake.

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD="bgcolor: #0000FF"]
tanzania.jpg
[SIZE=-1]TANZANIA[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"]
spa33.gif
[SIZE=-1]TZ - 42,746,620 population (2011) - Country Area: 945,087 sq. km.[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"]
spa33.gif
[SIZE=-1]Capital City: Dar es Salaam, - population 2,975,986 (2008)[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"]
spa33.gif
[SIZE=-1]676,000 Internet users as of Jun/10, 1.6% of the population, per ITU.[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"]
spa33.gif
[SIZE=-1]319,440 Facebook users on June 30/11, 0.7% penetration rate.[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD="bgcolor: #0000FF"][SIZE=-1]
spa33.gif
[/SIZE]
saudi_arabia.png
[SIZE=-1]SAUDI ARABIA[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
SA - 26,131,703 population (2011) - Country size: 2,149,690 sq km
[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
Capital City: Riyadh - population 4,878,473 (2010)
[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
11,400,000 users as of Dec/10, 43.6% penetration, per CITC
[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
4,034,740 Facebook users on June 30/11, 15.4% penetration
[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD="bgcolor: #0000FF"][SIZE=-1]IRAN (Islamic Republic of)[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
IR - 77,891,220 population (2011) - Country size: 1,648,195 sq km
[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
Capital City: Tehran - population 8,429,807 (2010)
[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
36,500,000 users as of June/11, 46.9% penetration, per IWS.
[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
Facebook users data not available.
[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Nikupe siri? watumiaji wengi wa internet Middle East ni wanawake na si wanaume Usimwambie mtu, utachekwa.
Hawaruhusiwi kuchat na wanaume kwenye forums kama hizi, hapa mimi na wewe tupo chumba au baraza moja na your big lips are turning me on, funika uso wako la sivyo unamuudhi Allah. Sizugumzii Iran, nazungumzia uislam.
 
Hizi nakupa samples tu, unataka kulinganisha na nchi ipi? unayomaanisha wewe ni ya Kiislaam? sema ntakupa data zake.

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD="bgcolor: #0000FF"]
tanzania.jpg
[SIZE=-1]TANZANIA[/SIZE][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"]
spa33.gif
[SIZE=-1]TZ - 42,746,620 population (2011) - Country Area: 945,087 sq. km.[/SIZE][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"]
spa33.gif
[SIZE=-1]Capital City: Dar es Salaam, - population 2,975,986 (2008)[/SIZE][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"]
spa33.gif
[SIZE=-1]676,000 Internet users as of Jun/10, 1.6% of the population, per ITU.[/SIZE][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"]
spa33.gif
[SIZE=-1]319,440 Facebook users on June 30/11, 0.7% penetration rate.[/SIZE][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD="bgcolor: #0000FF"][SIZE=-1]
spa33.gif
[/SIZE]
saudi_arabia.png
[SIZE=-1]SAUDI ARABIA[/SIZE][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
SA - 26,131,703 population (2011) - Country size: 2,149,690 sq km
[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
Capital City: Riyadh - population 4,878,473 (2010)
[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
11,400,000 users as of Dec/10, 43.6% penetration, per CITC
[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
4,034,740 Facebook users on June 30/11, 15.4% penetration
[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD="bgcolor: #0000FF"][SIZE=-1]IRAN (Islamic Republic of)[/SIZE][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
IR - 77,891,220 population (2011) - Country size: 1,648,195 sq km
[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
Capital City: Tehran - population 8,429,807 (2010)
[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
36,500,000 users as of June/11, 46.9% penetration, per IWS.
[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFCC"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #CCCCCC"] [SIZE=-1]
spa33.gif
Facebook users data not available.
[/SIZE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Nikupe siri? watumiaji wengi wa internet Middle East ni wanawake na si wanaume Usimwambie mtu, utachekwa.
Hiyo ndo siri? Ni nani unayetaka kumdanganya? Nilishakufahamisha kabla kwamba mimi sio rika lako, kwa hiyo acha utani na tafakari. Hizo takwimu unazoleta hapa hazijibu hoja yeyote. Hebu nipe forum moja ya nchi hizo ambako wanawake wanaruhusiwa kujibizana na wanaume kama itokeavyo hapa. Uongo ni dhambi kwa Mwenyezi Mungu, nadhani hilo unalijua!
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy

Mag3 na wenzako hamuwezi kufananisha mambo wanayoandika na kutumia nchi zingine ndio utufanye tukinahi kuwa hiyo ndio "norm".

Mimi nnasema hivi, Waislaam hawana vyeo vya u "baba", baba ni aliyekuzaa tu, hivyo vyeo vipo kanisani, hata wale wasiruhusiwa kuzaa na kanisa wanaitwa ma "baba", baba mtakatifu, baba askofu, baba mchungaji na sasa "baba" wa Taifa, na hao uliowataja kuna uwezekano ni washirika wa kuyaendeleza wasiyoyajuwa. Waislaam wengi hatukubaliani na hiki cheo cha u baba ambacho asili yake ni kanisani. Kwanini mlazimishe? sisi tunasema Nyerere ni Rais wa kwanza wa JMT. hakuna cha zaidi.

Vyeo vyenu vya kanisani viishie hukohuko kanisani, msitujaze ujinga wa kuwa na baba ambao hata kuzaa hawaruhusiwi, hayo ni yenu nyinyi na mnaelewa kwanini mnawaita ma baba hao ambao si baba zenu.

Nadhani kama tungeacha vitu alivyovifanya Nyerere vilevile lakini jina lake lingekuwa ni Abdallah Masoud , leo hii watanzania wote tungekuwa tunathamini mchango wake bila ya kuwa na hizi chokochoko zinazoendelea.
Mimi bado ninajiuliza hii chuki ya Kanisa Katoliki waislam wameitolea wapi maana wengi wao bila kusoma shule za mission(nyingi zikiwa za katoliki ) sijui leo hii wangekuwa wapi.
Nipo hapa nasoma kitabu kinaitwa NYERERE, FREEDOM AND SOCIALISM| UHURU NA UJAMAA.
Alichoanza nacho Nyerere wakati tunapata uhuru na changamoto alizokutana nazo nadhani kama wangekuwa ndiyo hawa marais wetu wa awamu zilizofuata ingekuwa ni bonge la disaster.

Page ya 58 imenikumbusha jinsi baadhi ya waislam wanavyomlalamika Nyerere kuwa aliirudisha nyuma kimaendeleo mikoa ya kusini(yenye waislam wengi) .
Haya ni maneno yake kwenye ufunguzi wa Hospitali ya kutibu Ukoma huko Mtwara...26 July 1965.

...This is a Christian mission , but the leprosarium is not for Christians only - the majority of the patients are in fact adherents to the Muslim faith. I do not believe there is anything wrong in this , on either side. On the contrary , I believe it is a recognition that whatever our particular beliefs about God and His Prophets we can best worship Him by living together, and working together, in harmony , and in His service...

Hapo baadhi ya ndugu zetu hata shukran kidogo hakuna. Ukoma wa akina Moody kwishney lakini shukrani ni mateke tu...!

page 224: Hapa anafungua matawi ya Morogoro Teachers College...27 August 1966

...The days when our people chose between accepting the Christian religion or remaining uneducated have now gone.
I am convinced that this is a good thing both for the nation and for the different churches. Serving the needy because they are needy , regardless of race , tribe or religion , can do nothing but the good. This attitude may be termed secular, but it is by no means irreligious. All it means is that in our society Muslims,pagans, Hindus, Protestants , and Catholics , all have an equal chance to enter such institutions as this Teacher's College, and that none of them need fear that an attempt will be made to seduce them from their own beliefs . The Morogoro Teacher's College , as much as the Dar es Salaam Teacher's College , is now open to all our educationally qualified citizens regardless of their religion . It is part of our nationally integrated education system...

Hapa na kwenyewe hakuna shukran na watasema Nyerere ni mdini na baba wa Kanisa
Hakuna hata shukran kwa jitihada zake za kuondoa upungufu wa wataalam mbalimbali katika nyanja tofauti wakiwemo walimu enzi hizo.
 
Tena wewe usingejisifu kabisa kuwa umesoma Merekani. (ndio maana ati sasa nimeelewa).

United States ranks below average internationally; Na wenyewe wana admit:

Student achievement is not improving fast enough. Across our nation--in our cities, suburbs, and rural communities alike--far too many students are still not meeting the standards that will prepare them for the challenges of today and tomorrow. What the top 20 percent of our students typically learn in math in the 8th grade is learned by most students in Japan in the 7th grade. And while today America's 4th graders read as well as ever on average, 40 percent cannot read as well as they should to hold a solid job in tomorrow's economy.
soma zaidi: ED.gov
Hiyo ni kwel kabisa, walezi wngu walihamia huku baada ya kutokwa na wazazi wangu wote wawili, na nazungumzia historia ya marekani ambayo ni lazima kuisoma mpaka chuo hata kama unasomea udaktari, utaisoma kwenye GenEd, ni lazima angalau credit hrs 6!

Uzuri wake semester iliyopita nimesoma pre civil war history (HIST 205) na nimepata A+, na nakuhakikishia George washington ni father of Nation, nina uhakika 100%.

Na naweza kupost swali la mtihani wa naturalizion ya US, ambalo lmetungwa na ICE, linauliz who is thefathe of the Nation.... jibu lake ni George Washington. Usijibu kwa kuparamia bila kujua nilikuwa namjibu nani.Unapenda sana ku divert mada, sijui ni makusudi au your shallowness. Halafu umeiharibu hii mada kwa udini wako.

Huku ugenini, tunajitahidi sana kuelimisha wazungu kuhusu watu kama nyinyi, na wasomi wengi huku wanakariri mishafu kama an added advantage ya kupata kazi nzuri, na hutufuata sisi tuwaelekeze kuhusu maisha yetu. Hutuuliza kuhusu chuki zetu kwao na huwajibu kuwa sisi ni watu wa amani sana na hatuwadharau, uislam ulitawala ulaya kwa muda mrefu sana, hata Italy walikuwa na madiwani kwenye caliphate ya Sicily. Wacha chuki zako, unamuudhi Allah!
 
kuna mmoja aliwai kunishangaza nikamwmabia ujanaja wake wote wa kuponda Nyerere hawezi kuandika sentesi kuwa mwinyi mkapa na kikwete ni viongozi wabovu.

Yaani hata dakika mbili hazikuisha akaandika comment akihoji kwani Mwinyi chini ya utawala wake nini kibaya kilifanyika?????


Nikawa nimeprove kuwa wengi hawatzami hoja bali majina ya wahusika waku ndiyo yatatazama mueekeo wa hoja zao
 
Kwanza pole sana kwa sad story yako. Pili, sina tatizo na US wakiwa na Father au Fathers. Hilo sipo kabisa huko.

Mimi nipo na imani yangu ya Kiislaam, siruhusiwi kumuita mtu yeyote baba zaidi ya aliyenizaa. Na pia hapa Tanzania Waislaam wenye msimamo kama wangu ni wengi sana, kwanini basi hawa wasio Waislaam walazimishe tumuite Nyerere "baba" wa Taifa wakati imani yetu hairuhusu? na hicho ni cheo kinachpatikana katika Ukristo na Kikatoliki ndio kabisa, nadhani nimeainisha mara nyingi na Ritz hapo juu kaweka list kamili ya u "baba".

Hili Waislaam hatukubaliani nalo, labda wale wasiojuwa maana.

FF
Mohamed said( Anayeejita muislam sahihi na si wale wa bakwata) anavyomuita Sykes baba anatumia nini. Je atahukumiwa adhabu gani kiislam sababu ya kosa hilo?

.Umeshajaribu kumuelismiaha Mohamed saidi scholar aliyetuletea historia iliyofichwa kuacha kumuita n kupotsha kuwa Sykes ni "baba". A
 
Hakuna pahala katika Uislaam panapokataza kufunika uso. Tunatakiwa tujifunike nywele na tuvae nguo za stara, zisiwe za kubana mpaka kuonesha maungo, zistiri mpaka kwenye vifundo vya mkono (panapoishia viganja) na mpaka kwenye vifundo vya miguu (ankle). Hijab (stara) imeamrishwa kwa mote, Mwanamme na Mwanamke. Hakuna aliye mbora kati yetu ila yule amchae Mwenyeezi Mungu.
Hebu kawaambie jamaa wa Taleban huko Afghanistan hilo usemalo labda watakusikiliza, kwa sababu wewe inaonekana unajua maswala ya kidini kuliko wao!
 
Afghanistan wana mila na utamaduni wao na huwezi kuhusisha mila na tamaduni za watu na Uislaam. Uislaam haukatazi mtu kujifunika uso, lakini mwenyewe akipenda kufanya ziada na mradi havunji sharia basi yote ni kheri. Ubaya ikiwa sharia inasema jistiri wewe uiondoe hiyo stara.
Taleban hawafuati mila na utamaduni wa Afghanistan (kwanza wao wamepikwa toka kambi za wakimbizi Pakistan, kwenye shule za Jamiat Ulema-e-Islam chini ya Mullah Omar) bali wanatafsiri Uislam kama waujuavyo wao. Sasa wewe FaizaFoxy hujui kama kuongopa ni dhambi kwa Mwenyezi Mungu?
 
Sasa ikiwa mtu anatafsiri Uislaam kwa matakwa yake na kama havunji sharia. Kuna tatizo lipi? Kama wangekuwa wanawaambia msivae nguo, hapo kungekuwa na tatizo. Kwani wa Afghanistan sharia ipi wanayoivunja? Au wewe hujaona hata Tanzani wanaopiga "Ninja"? Unanshangaza.
Naona hapa unazidi kuteleza. Haya, hebu nijibu hoja yangu niliyokuomba unipe kiungo cha forum yeyote ya katika nchi za kiislamu inayoruhusu malumbano kati ya wanaume na wanawake kama uonavyo hapa Tanzania, (najua na hii nayo utashindwa lakini ninajaribu).

Angalizo:
mimi sipo katika madhehebu ya kikiristo!
 
Naona hapa unazidi kuteleza. Haya, hebu nijibu hoja yangu niliyokuomba unipe kiungo cha forum yeyote ya katika nchi za kiislamu inayoruhusu malumbano kati ya wanaume na wanawake kama uonavyo hapa Tanzania, (najua na hii nayo utashindwa lakini ninajaribu).

Angalizo:
mimi sipo katika madhehebu ya kikiristo!


Shindana kwa hoja na acha hayo mambo ya jinsia. Hapa unaonesha dalili ya kushindwa; ndiyo maana unaanza kwenda kwenye sexism.
 
Shindana kwa hoja na acha hayo mambo ya jinsia. Hapa unaonesha dalili ya kushindwa; ndiyo maana unaanza kwenda kwenye sexism.
Wewe kibwengu na wewe umekurupukia wapi? Soma kwanza mtiririko wa mjadala kabla hujaanza kutapika hayo mataputapu uliyobwia huko vichochoroni!
 
Nadhani umejipatia Ilmu ya kutosha lakini unajifanya tu kuwa huioni. Kwa kukuongezea tu, usichanganye Mila na Desturi za mataifa na Uislaam. Kwa kuwa fulani anamuita baba mume wa mama yake ambae si baba'ke aliomzaa ki mila basi wewe ndio ukaona huo ndio Uislaam au mafundisho ya Kiislaam. Kwa kukujuza tu, hata "shikamoo" hakuna katika Uislaam lakini tunapeana. Na hata imefikia mtu anaekuzidi umri anashindwa kumpa Asalaam Aleykum mtoto au aliyechini ki umri na yeye kwa kuwa tu shikamoo imezoeleka kutoka kwa mdogo kwenda kwa mkubwa.
Jibu hoja yangu. Nimekuomba ulete kiungo cha mtandao angalau mmoja tu. Mbona unazunguka mbuyu?
 
Sasa ikiwa mtu anatafsiri Uislaam kwa matakwa yake na kama havunji sharia. Kuna tatizo lipi? Kama wangekuwa wanawaambia msivae nguo, hapo kungekuwa na tatizo. Kwani wa Afghanistan sharia ipi wanayoivunja? Au wewe hujaona hata Tanzania wanaopiga "Ninja"? Unanshangaza.
Maana hata sijui sasa huko wapi na hizi hadithi zako wewe ungesema in simple tone kwamba ukubali kama yeye baba muasisisi umkubali (without religious points) na ungeachana na hiyo tafsiri ya baba halafu ungetuachie wengine tu-deal na the rest of the pumba ambazo mchambuzi kaandika maana anazungumza mambol ya IMF na Arusha declaration na mambo ya good dialogue huko ilikuwa ndio hatujibu na maana halisi za siasa lakini wewe Faiza Fox ni pumba tupu ukiamua nimekuweka kwenye mtu wa tatu sasa akitoka rev masa, wewe then superstar wetu.
 
Panapokupa shida ni pale unapotaka kufanya kitendo cha mmoja kuwa ndiyo mafundisho ya Uislaam.

Jee hujawahi kuwaona Waislaam wanaokunywa pombe? Kama jibu ni umewahi, Jee, hayo ndio mafundisho ya Uislaam?

Nadhani hapo utakuwa umenielewa.

Kwa hiyo hivyo wewe FF unavyoandika hapo unakuwa umeandika kwa niaba ya watu wangapi tofauti na wengine ili tujue unachoandika wewe ndio sahihi zaidi ya wengine wanajiona sahihi.

BTN
kuhusu wanywa pombe huwa nawashangaa zaidi hawajiulizi mara mbili kunywa pombe lakini kiti moto wanaogopa hata kuigusa. Hivi mafundisho yenu yanasemaje kipi haramu zaidi kati ya pombe na kitimoto? Kipi katika shida muislam anaweza kusamehewa akikitumia na kipi hakiruhusiwi kabisa.?

Nahakika pombe muislam hatakiwi kugusakatika hali yoyote lakini kuna vifungu vinaruhusu kitimito katika hali fulani. Lakini huku mtaani mbona maigizo yao ni tofauti
 
Nadhani umejipatia Ilmu ya kutosha lakini unajifanya tu kuwa huioni. Kwa kukuongezea tu, usichanganye Mila na Desturi za mataifa na Uislaam. Kwa kuwa fulani anamuita baba mume wa mama yake ambae si baba'ke aliomzaa ki mila basi wewe ndio ukaona huo ndio Uislaam au mafundisho ya Kiislaam. Kwa kukujuza tu, hata "shikamoo" hakuna katika Uislaam lakini tunapeana. Na hata imefikia mtu anaekuzidi umri anashindwa kumpa Asalaam Aleykum mtoto au aliyechini ki umri na yeye kwa kuwa tu shikamoo imezoeleka kutoka kwa mdogo kwenda kwa mkubwa.

FF
Unajuwa hawa jamaa hata Halloween wameshaanza kusherehekea hapa TZ. Baadaye watasema iwe sikukuu ya kitaifa!! Halafu wakiulizwa kwa nini mnashereheka? watesema mbona nchi nyengine duniani za ... zinasherehekea!!
 
Back
Top Bottom