Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Kwanza pole sana kwa sad story yako. Pili, sina tatizo na US wakiwa na Father au Fathers. Hilo sipo kabisa huko.

Mimi nipo na imani yangu ya Kiislaam, siruhusiwi kumuita mtu yeyote baba zaidi ya aliyenizaa. Na pia hapa Tanzania Waislaam wenye msimamo kama wangu ni wengi sana, kwanini basi hawa wasio Waislaam walazimishe tumuite Nyerere "baba" wa Taifa wakati imani yetu hairuhusu? na hicho ni cheo kinachpatikana katika Ukristo na Kikatoliki ndio kabisa, nadhani nimeainisha mara nyingi na Ritz hapo juu kaweka list kamili ya u "baba".

Hili Waislaam hatukubaliani nalo, labda wale wasiojuwa maana.

Nilikujibu huko nyuma kuwa Waislam wenzio wa Pakstani wanamwita Jinna baba wa taifa mbona hauelewi na mpotoshaji. Ndio maana nilisema wewe ni kama dalali wa shetani. Ulisema waislam wa Pakstani walioamua kumpa heshima Jinna kama baba wao wa Taifa la Pakstani hawaujui uislam. Kwa akili zako uislam ni according to namna unavyofikiria wewe. Huu ni ufinyu wa mawazo uliovuka viwango vyote. Ni ujinga kufikiri kuwa wewe ndiyo mwenye mamlaka ya kutoa tafsiri ya nani anaujua uislam na nani haujui uislam. Akili za namna hii ni za wale waliopungukiwa na akili. Wewe FF hauna na wala hautakuwa kamwe na mamlaka ya mwisho kusema ulimwengu huu ni kadri ya unavyou-define wewe. Wewe si binadamu pekee unayeishi katika real world. Fikira zako they are okay kwa dunia ya watu waliopungukiwa na akili, extremist and fundamentalists, ulimwengu wa waovu
 
Naona unatoka povu. Kumuita mtu baba ambae si baba yako ni "heshima" mnayojazwa nayo vichwani kutoka Kanisani. Kumuita mtu baba ambae si baba yako si heshima bali ni kumvunjia heshima mama yako. Kama nyinyi mnajazwa huo ujinga makanisani wa kuwa kila mmoja ni baba yenu, ni huko huko kanisani na msituletee sisi heshima zisizokuwa na adabu.

Unasema Nyerere kafanya mengi mazuri, mimi nakuambia mabaya ni mengi zaidi aliyoyafanya kuliko mazuri, kama unabisha weka list, tuone yepi yatazidi na tuchambuwe kama kweli hayo unayosema kayafanya kayafanya yeye na yalikuwa hayapo na kama kweli kapita kiwango ya yaliyokuwepo kabla yake. Mimi nakuambia huwezi hata pakuanzia.

You still haven't answered my question. What are the achievements of this administration?
 
Kwanza kabisa inabidi utuombe msamaha kwa kutaka kupotosha hiyo aya si Kutoka Surat Al Hujurat 49:12 nakuomba uombe msamaha kama ni Muislaam:

Qur'an 49:12 ni hii hapa:
O you who have believed, avoid much [negative] assumption. Indeed, some assumption is sin. And do not spy or backbite each other. Would one of you like to eat the flesh of his brother when dead? You would detest it. And fear Allah ; indeed, Allah is Accepting of repentance and Merciful.

Kiswahili chake ni hii hapa:

Qur'an 49:12
Enyi mlio amini! Jiepusheni na dhana nyingi, kwani baadhi ya dhana ni dhambi. Wala msipelelezane, wala msisengenyane nyinyi kwa nyinyi. Je! Yupo katika nyinyi anaye penda kuila nyama ya nduguye aliye kufa? Mnalichukia hilo! Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Kumbuka! huwa sikisii. Tena hii aya ina maana sana kwako, isome vizuri.

Kwanza jirekebishe uombe msamaha halafu tuendelee na mengine.


Wewe ndio uombe msamaha acha unafiki sio heri nzuri kwa mtoto wa Kiislamu tena mwanamke unataka hata kubishana na Quran ninapokwambia kitu usifikiri mimi chizi maarifa. Haya ni maneno ya Mola pingana nayo unavyotaka lakini yamo ndani Surat Al- Hujurat iwe aya 1 au ya 9 lakini yamo.Nyie ndio mnaopotosha aya Mwenyezi Mungu kwa faida zenu binafsi, sasa nenda kwa wale washeikh wako wa Gerezani waulize usituletee Kufur hapa ambazo hazina maana yeyote ile; nilishakuambia DINI na siasa haviendani; kama hutaki kumwita Mwl. Nyerere BABA wa Taifa hiyo haki hakuna anayekulazimisha sawa na katiba yetu hailamizimshi mtu kumwita Mwl. Nyerere BABA wa TAIFA. Inshallah Mola atakuondelea ugonjwa wa ubishi uliokuwa nao.

[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TD]
border_r1_c2.gif

[/TD]
[TD="width: 48"]
border_r1_c3.gif

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41"]
border_r2_c1.gif

[/TD]
[TD="align: center"]

[TD="class: sr, colspan: 2"]
speaker.gif
049-011.png
[49:11] Surely all believers are brothers. So make peace between brothers, and fear Allah that mercy may be shown to you.
[49:11] مومن تو بھائی بھائی ہی ہوتے ہیں۔ پس اپنے دو بھائیوں کے درمیان صلح کروایا کرو اور اللہ کا تقویٰ اختیار کرو تاکہ تم پر رحم کیا جائے ۔
[/TD]

[TD="class: sr, colspan: 2"]
speaker.gif
049-012.png
[49:12] O ye who believe! let not one people deride another people, who may be better than they, nor let women deride other women, who may be better than they. And defame not your own people, nor call one another by nicknames. Bad indeed is evil reputation after the profession of belief; and those who repent not are the wrongdoers.
[49:12] اے لوگو جو ایمان لائے ہو! (تم میں س&#1746😉 کوئی قوم کسی قوم پر تمسخر نہ کرے۔ ممکن ہے وہ ان سے بہتر ہوجائیں۔ اور نہ عورتیں عورتوں سے (تمسخر کری&#1722😉۔ ہو سکتا ہے کہ وہ ان سے بہتر ہوجائیں۔ اور اپنے لوگوں پر عیب مت لگایا کرو اور ایک دوسرے کو نام بگاڑ کر نہ پکارا کرو۔ ایمان کے بعد فسوق کا داغ لگ جانا بہت بری بات ہے۔ اور جس نے توبہ نہ کی تو یہی وہ لوگ ہیں جو ظالم ہیں ۔
[/TD]

[TD="class: sr, width: 740, colspan: 2"]
speaker.gif
049-013.png
[49:13] O ye who believe! avoid most of suspicions; for suspicion in some cases is a sin. And spy not, nor back-bite one another. Would any of you like to eat the flesh of his brother who is dead? Certainly you would loathe it. And fear Allah, surely, Allah is Oft-Returning with compassion and is Merciful.
[49:13] اے لوگو جو ایمان لائے ہو! ظن سے بکثرت اجتناب کیا کرو۔ یقیناً بعض ظن گناہ ہوتے ہیں۔ اور تجسس نہ کیا کرو۔ اور تم میں سے کوئی کسی دوسرے کی غیبت نہ کرے۔ کیا تم میں سے کوئی یہ پسند کرتا ہے کہ اپنے مردہ بھائی کا گوشت کھائے؟ پس تم اس سے سخت کراہت کرتے ہو۔ اور اللہ کا تقویٰ اختیار کرو۔ یقیناً اللہ بہت توبہ قبول کرنے والا (او&#1585😉 بار بار رحم کرنے والا ہے ۔
[/TD]

[TD="class: sr, width: 740, colspan: 2"][/TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Asione haya aombe msamaha kwa kutaka kupotosha Qur'an.

Sipo hapa kwa kuungwa mkono wala mguu. Nipo hapa kuwapa darsa watu kama wewe.
Darsa gani hilo unaloongelea? Darsa lililojaa uongo, unafik, upotofu na uzandiki? Hunipati kirahisi kama ufikiriavyo!
 
Mchambuzi; salute! I don't get emotional easily this one just moved me. I thought tumebakia wachache sana wenye heshima isiyotisikwa kwa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere. Its a classic piece of such an intellectual caliber, thought-provoking, and jaw-dropping proposition. Tatizo ni kuwa vita dhidi ya Nyerere inaendeshwa kwa makusudi na makusudi ni kuhalalisha uhalifu na ufisadi unaofanywa sasa hivi. Wao wanaamini Nyerere anasimama kama Mleta mashtaka dhidi yao na njia pekee ni kujaribu kumdestroy Nyerere and his legacy.
Well said! Mimi naamini bila shaka kwamba vita ya kumpinga Nyerere inaendeshwa na kikundi fulani cha watu ambacho kupitia udhaifu wa kutungwa wa Nyerere, wanataka kuhalalisha maovu yao mbele ya jamii. Washindwe tena washindwe kabisa na walegeee.
 
FaizaFoxy.
Bora umejitokeza huyu jamaa wa gongolamboto kila akiongea pumba zake anakutaja wewe kama ushaidi..

Najiuliza Kariakoo na Gongolamboto wapi na wapi...

Ritz,
Upeo wako ni mdogo sana wahenga wetu walisema HAKUNA PUMBA ZISIZOKUWA NA CHENGA maana yake ni ndani ya hizo pumba jaribu kuangalia utaokoteza chenga zitakufaa; hivi kwenye maisha yako KARIAKOO tu ndio umeona bora? Kuna watu Gongolamboto wanatesa kiulaini; hata kwenye nchi zilizoendelea kuna watu wanaishi city na wengine wameamua kuishi suburban ama hilo hulijui? Umemshiriki sana FAIZA FIX huyo dada ni debe tupu kelele nyingi tu lakini hamna kitu; siku nyingine kaa chini ufikiri kabla hujaandika kitu.


Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
Nadhani kama tungeacha vitu alivyovifanya Nyerere vilevile lakini jina lake lingekuwa ni Abdallah Masoud , leo hii watanzania wote tungekuwa tunathamini mchango wake bila ya kuwa na hizi chokochoko zinazoendelea.
Mimi bado ninajiuliza hii chuki ya Kanisa Katoliki waislam wameitolea wapi maana wengi wao bila kusoma shule za mission(nyingi zikiwa za katoliki ) sijui leo hii wangekuwa wapi.
Nipo hapa nasoma kitabu kinaitwa NYERERE, FREEDOM AND SOCIALISM| UHURU NA UJAMAA.
Alichoanza nacho Nyerere wakati tunapata uhuru na changamoto alizokutana nazo nadhani kama wangekuwa ndiyo hawa marais wetu wa awamu zilizofuata ingekuwa ni bonge la disaster.

Page ya 58 imenikumbusha jinsi baadhi ya waislam wanavyomlalamika Nyerere kuwa aliirudisha nyuma kimaendeleo mikoa ya kusini(yenye waislam wengi) .
Haya ni maneno yake kwenye ufunguzi wa Hospitali ya kutibu Ukoma huko Mtwara...26 July 1965.

...This is a Christian mission , but the leprosarium is not for Christians only - the majority of the patients are in fact adherents to the Muslim faith. I do not believe there is anything wrong in this , on either side. On the contrary , I believe it is a recognition that whatever our particular beliefs about God and His Prophets we can best worship Him by living together, and working together, in harmony , and in His service...

Hapo baadhi ya ndugu zetu hata shukran kidogo hakuna. Ukoma wa akina Moody kwishney lakini shukrani ni mateke tu...!

page 224: Hapa anafungua matawi ya Morogoro Teachers College...27 August 1966

...The days when our people chose between accepting the Christian religion or remaining uneducated have now gone.
I am convinced that this is a good thing both for the nation and for the different churches. Serving the needy because they are needy , regardless of race , tribe or religion , can do nothing but the good. This attitude may be termed secular, but it is by no means irreligious. All it means is that in our society Muslims,pagans, Hindus, Protestants , and Catholics , all have an equal chance to enter such institutions as this Teacher's College, and that none of them need fear that an attempt will be made to seduce them from their own beliefs . The Morogoro Teacher's College , as much as the Dar es Salaam Teacher's College , is now open to all our educationally qualified citizens regardless of their religion . It is part of our nationally integrated education system...

Hapa na kwenyewe hakuna shukran na watasema Nyerere ni mdini na baba wa Kanisa
Hakuna hata shukran kwa jitihada zake za kuondoa upungufu wa wataalam mbalimbali katika nyanja tofauti wakiwemo walimu enzi hizo.
Tuondolee udini wako hapa. Kwa kuwa ww unamsifia Nyerere kwa sababu ya 'ukristo' wake, basi unadhani na wengine wanamsema vizuri/vibaya Nyerere au yeyote yule kulingana na dini yake? Huo ni upuuuzi. Kisha bado tena unatuletea porojo zile zile za 'zidumu'. Hatudanganyiki na udini wenu wa waziwazi.
 
Mi nashauri mkubaliane kutokukubaliana. Mwandishi ameelezea utofauti kati ya Baba na Rais bora wa Taifa,kila mtu ameelewa,labda kama mtu hakubali. Halafu ameonyesha kuwa asili ya ubaba wa taifa ama jina hilo haikutokea kanisa katoliki wala si Roma wanaotoa jina hilo kwa viongozi wa nchi hapa duniani,iwe za kiislamu au kikristo. Hata hatukuwahi kusikia aliyetoa jina hilo alikuwa kardinali Rugambwa au Pengo! Mi nadhani imechukuliwa kifamilia zaidi kwamba...kiongozi wa familia huwa ni mwanamume. Na kwa bahati ni kwamba wanaharakati wengi katika ukombozi na mapinduzi ya nchi zao,walikuwa wanaume... Kifamilia kuna mambo ambayo hayakamiliki hadi baba aje.. Heshima ya ubaba,ni kuonesha uongozi,msimamo,ujasiri,vision,na maamuzi ambayo hata kama yatapingwa na watoto au wake zake,ya baba yanakuwa ya mwisho.. Someone can correct me ila huo ndiyo ufahamu wangu.
no argument on this?
 
...rejea vizuri hiyo Qur'an ui compare na zingine ina walakin amma wa makusudi kabisa amma wa uchapishaji. Kazi ni kwako. Inawezekana kabisa kuwa unatumia cjhapisho la makadiani ambalo halitambuliki kokote...
Ama kweli wewe FaizaFoxy hamnazo. Kwani wewe unawadhifa au mamlaka gani katika Uislamu hadi uweze kusema hiyo Qur'an ina walakin?
 
Hivi bado mnalazimisha na kuomba kwa nguvu nyerere awe baba?? aargh
 
Unaijuwa nani? Hakuna kulazimishana kumpa mtu u baba asiokuwa nao, pelekeni hukohuko kanisani.
Na ninyi jitafutieni nchi yenu ambako Nyerere siyo founding father. As far as history is concerned and as far as the majority of upright and fair minded Tanzanians know and accept, Julius Kambarage Nyerere is our founding father. Eat that!
 
Na ninyi jitafutieni nchi yenu ambako Nyerere siyo founding father. As far as history is concerned and as far as the majority of upright and fair minded Tanzanians know and accept, Julius Kambarage Nyerere is our founding father. Eat that!

And they should learn to live with it! hahahaha ahahahah
 
Na ninyi jitafutieni nchi yenu ambako Nyerere siyo founding father. As far as history is concerned and as far as the majority of upright and fair minded Tanzanians know and accept, Julius Kambarage Nyerere is our founding father. Eat that!

Tutakuwa Tanzania na hatutamuita hivyo zaidi ya kuwa Rais wa kwanza wa Tanzania..

Mtafanyaje?..tutabanana hapa hapa nchini nyinyi muiteni baba sisi tutamwita rais wa kwanza period..hakuna mtu ataondoka tanzania
Eat that too!
 
Alikuwa founder wa umasikini.

Hivi kuna sifa ipi haswa Nyerere aliyokuwa nayo zaidi? mimi nawaona mnajisumbuwa kutetea yasiyokuwepo. Katuacha nvhi nyang'anyang'a, hata mjaribu vipi kum "sanitize" haosheki.

Naona mnaleta viroja tu. Hivi binaadam gani anapoteza wenzake halafu anapanda jukwaani anacheka? nyinyi huwa mnafikiri kweli? hata sabababu za hizo sifa mnazojaribu kumpa hazipo. Ji dikteta lile kinasifa zipi za maana? limedhulumu mali za watu, roho za watu, na bado mnalisifu? amma kweli nyinyi mna matatizo. Na mkiambiwa mapungufu yake mnakataa. Nani asiyoyajuwa kwa sasa? labda nyinyi mnaokaa mkadanganywa mkadanyika, mnaambiwa huyu "baba" nyie mnakubali tu bila hata kufikiria.
Kijiba cha roho! He was the founding father of modern Tanzania. Eat that.
 
Kijiba cha roho! He was the founding father of modern Tanzania. Eat that.

Unaonaje nikikwambia mimi, watoto wangu hakuna hata moja anamuita baba na wala hakuna atakayemuita baba, let alone a good well informed Tanzanians
Swallow it...
 
Unaonaje nikikwambia mimi, watoto wangu hakuna hata moja anamuita baba na wala hakuna atakayemuita baba, let alone a good well informed Tanzanians
Swallow it...
Nitakujibu, wewe, watoto wako, wajukuu zako, wajomba zako, mna haki ya kufanya kila mnachotaka. Ila ukweli utabaki pale pale kwamba Julius Nyerere ndiye founding father of modern Tanzania. Hilo halikwepeki.
 
Back
Top Bottom