trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
kwenda kwenye aya naona ni mbali sana tuanzie hapa..
kwenda kwenye aya naona ni mbali sana tuanzie hapa..
Nilikuwa nimeandika maneno makali kuwahi kuandika katika maisha yangu ... lkn nilibonyeza delete kuyazuia kuingia hewani...Alikuwa founder wa umasikini.
Hivi kuna sifa ipi haswa Nyerere aliyokuwa nayo zaidi? mimi nawaona mnajisumbuwa kutetea yasiyokuwepo. Katuacha nvhi nyang'anyang'a, hata mjaribu vipi kum "sanitize" haosheki.
Naona mnaleta viroja tu. Hivi binaadam gani anapoteza wenzake halafu anapanda jukwaani anacheka? nyinyi huwa mnafikiri kweli? hata sabababu za hizo sifa mnazojaribu kumpa hazipo. Ji dikteta lile kinasifa zipi za maana? limedhulumu mali za watu, roho za watu, na bado mnalisifu? amma kweli nyinyi mna matatizo. Na mkiambiwa mapungufu yake mnakataa. Nani asiyoyajuwa kwa sasa? labda nyinyi mnaokaa mkadanganywa mkadanyika, mnaambiwa huyu "baba" nyie mnakubali tu bila hata kufikiria.
Tatizo la akina FaizaFoxy, ritz & co wanafikiria kumuita Nyerere Baba wa Taifa ni sawa na kusema Nyerere alilala na mama zao. Kwa hiyo wanaogopa hiyo na wanaanza kutumia dini kuhalalisha akili zao zilizojaa uozo. Inanshangaza kuona hata Mufti Mkuu hajatoa mwongozo kwa hili lakini vijitu kama FaizaFoxy vyenye kufikiria vinaujua Uislamu zaidi ya Waislamu wengine wote hapa duniani vinang'ang'ania kutupotosha!...busara ni kitu tofauti sana na elimu na ndiyo maana wisdom iko na wachache. poleni sana but nyerere ni founder na baba wa taifa na si baba wa nyie mmoja mmoja.
Acha hizo. Hazitakusaidia. Nimemuuliza huyo Mr. Right swali ni nchi gani za magharibi zinazomuita Nyerere dikteta na ameshindwa kujibu sasa na wewe ndio kabisaa unaongea kama kichaa wa Mirembe (umechanganyikiwa)!Wewe ndio muongo tena mzandik unaejaribu kupinda pinda maneno. Tanzania ilianzishwa na Nyerere pekee? kivipi? na Karume umemsahau? na hata mkataba ulisainiwa Zanzibar au hujuwi hilo? mnataka kujaza watu uongo eti "modern" kna u modern upi huo aliouacha nyerere? Ilinganishe Tanzania na nchi zilizopata Uhuru wakati wake uone, hata Kenya hatuipati kwa u "modern" tena bota alipoondoka Nyerere ndio tunaona tunapiga hatua za kimaendeleo, wakati wake Kenya ilikuwa hatuipati kwa lolote, si elimu, si chochote kingine, na sisi ndio tulipata Uhuru kabla yao. Mnanini nyinyi kukaa kuzuwa humu. kuna mema yepi aliofanya Nyerere kwa nchi hii?
Hilo "darsa" unipe wewe. Unataka na mimi nizibuke/nichanganyikiwe kama wewe sio?Kuktambuwa nini na nimeshakuambia zamani, kama ni mzee basi akili bado ni za kitoto. Huna unachokielewa zaidi yakupinga au kusifia usichokijuwa mradi tu uwepo. Kaa hapa upate darsa.
Ndio hayo nnayosema mimi, kwanini kiongozi aliyefanya mabaya yasisemwe? Hapa tunasikia kila siku viongozi ambao hata hawana makosa wakisemwa na kukejeliwa leo mtu ambae makosa yake yapo waziwazi mnakataa kusema ukweli, kwanini? ina uhusiano upi na Uraia mwema? Raia mwema ni yule anaempaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa? huyo atakuwa raia mnafik.
Hata makanisani tunasikia kuna kitu kinaitwa "confession" kuungama, hivi kama hamjakaa na kuungama kuwa kweli kuna mabaya ameyafanya nafsi zenu huwa haziwasuti?
Mnaweza kujibu kuhusu Hanga?
Mnaweza kujibu kuhusu kina Kambona na kukimbia nchi miaka na miaka?
Mnaweza kujibu kuhusu roho zote za watu zilizotoka kwa vita aliyoipika na kuipauwa mwenyewe na hata CIA wanasema ilikuwa ni issue "personal" baina yake na Iddi Amin?
Mnaweza kujibu kuhusu mpenda "muungano" ambae aliisadia Biafra kutaka kujitenga na Nigeria?
Mnaweza kujibu kuhusu kuitia nchi kwenye umasikini mpaka tukakosa chakula?
Mnaweza kujibu kuhusu kudhulumu mali za wengine (kuwataifisha bila kuwalipa na wengine akawalipa? kwanini isiwe kwa wote?
Na mengine mabaya chungu nzima tutazaja page hizi tukianza kuyachambuwa.
Uzalendo? mnaweza kujibu uzalendo wenu wa kuficha mabaya ya kiongozi na kutetea maovu amma kwa kuwa hamkuyaona mabaya yake au kwa kuwa tuu ni Mkristo mwenzenu basi ni lazima mumtetee hata kama ni muovu?
Tulikuwa tunatishwa hata pakuongelea hatuna, au hamjamsikia Kikwete hotuba yake juzi? wakati wa udikteta tumeuwacha huko.
Halafu bado anakuja mtu kusema eti "baba" wa Taifa. eti Rais "bora". Ana ubaba upi dhalim yule? na ubora upi? wa kuwacha nchi haina hata senti mbovu na kuichoma moto BOT kabla ya kuondoka? wakati wa kudanganyana umekwisha.
Huu unafik ndio ulimpelekea hata yule mzee Mwinyi akazabwa kofi mbele ya halaiki ya watu, wacheni unafik kuweni wa kweli. Historia itawasuta tu. Hata mjaribu vipi kuficha maovu yake yatajulikana tu.
Faiza, mimi ni mzee kuliko wewe, hakuna utakachoweza kunisimulia kuhusu Nyerere...Ndio hayo nnayosema mimi, kwanini kiongozi aliyrfanya mabaya yasisemwe? Hapa tunasikia kila siku viongozi ambao hata hawana makosa wakisemwa na kukejeliwa leo mtu ambae makosa yake yapo waziwazi mnakataa kusema ukweli, kwanini? inauhusiano upi na Uraia mwema? Raian ni yule anampaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa? huyo atakuwa raia mnafik.
Hata makanisani tunasikia kuna kitu kinaitwa "confession" kuungama, hivi kama hamjakaa na kuungama kuwa kweli kuna mabaya ameyanfanya nafsi zenu huwa haziwasuti?
Mnaweza kujibu kuhusu Hanga?
Mnaweza kujibu kuhusu kina Kambona na kukimbia nchi miaka na miaka?
Mnaweza kujibu kuhusu roho zote za watu zilizotoka kwa vita aliyoipika na kuipauwa mwenyewe na hata CIA wanasema ilikuwa ni issue "personal" baina yake na Iddi Amin?
Mnaweza kujibu kuhusu mpenda "muungano" ambae aliisadia Biafra kutaka kujitenga na Nigeria?
Mnaweza kujibu kuhusu kuitia nchi kwenye umasikini mpaka tukakosa chakula?
Mnaweza kujibu kuhusu kudhulumu mali za wengine (kuwataifisha bila kuwali na wengine akawalipa? kwanini isiwe kwa wote?
Na mengine mabaya chungu nzima tutazaja page hizi tukianza kuyachambuwa.
Uzalendo? mnaweza kujibu uzalendo wenu wa kuficha mabaya yakiongozi na kutetea maovu amma kwa kuwa hamkuyaona mabaya yake au kwa kuwa tuu ni Mkristo mwenzenu basi ni lazima mumtetee hata kama ni muovu?
Tulikuwa tunatishwa hata pakuongelea hatuna, au hamjamsikia Kikwete hoatuba yake juzi? wakati wa udikteta tumeuwacha huko.
Halafu bado anakuja mtu kusema "baba" wa Taifa. Rais "bora" Ana ubaba upi dhalim yule? na ubora upi? wa kuwacha nchi haina hata senti mbovu na kuichoma moto BOT kabla ya kuondoka? wakati wa kudanganyana umekwisha.
Huu unafik ndio ulimpelekea hata yule mzee Mwinyi akazabwa kofi mbele ya halaiki ya watu, wacheni unafik kuweni wa kweli.
Na sasa naanza kuelewa eweje wewe faizafoxy licha ya kujifanya una maadili ya Kiislamu huachi kuchangia huko kwenye jukwa la wakubwa. Na kama wasemavyo walokole: ushindwe na ulegee!Nyie wengine hata hawara za mama zenu ambao si baba zenu mnawaita "baba". Wapii na wapi na FaizaFoxy?
Uislaam nnaujuwa sana tena na si kama wewe, nna uhakika huujuwi Uislaam wala Ukristo na umeshushuka, ulifikiri watu humu wanaingia tu kila utalolisema wewe basi ndio hilohilo hata kama sivyo. Huo wakati tumeuwacha kuleeeee. si leo.
Mimi ndio FF na ukija hapa uje kikamilifu na si "kimjingimjingi" utatafuta pakutokea. Unabaki "faizafoxy" hivi, "faizafoxy" vile. Hoja zimekuishia na jina limekukaa midomoni. Huna zaidi na wala sikushangai.
Siku njema, bi mdogo!Tena nimezibuka kweli kweli na wala usinipime, huwezi kuja tu hapa bila hoja za maana na kuanza "eti" mdogo, wewe umeona la maaana hilo, nnaweza kuwa mdogo ki umri lakini si ki akili kama wewe. Chunga hilo na uje na vitu unavyoweza kuvitetea. FF haburuzwi.
Sikiliza wewe, kwanini nisimchukie? kuna sababu zozote za kumpenda Rais aliyepoteza watu na hawajulikani walipo?
Kuna sababu za kumpenda Rais aliyedhulumu watu?
Kuna sababu za kumpenda Rais aliyetuwacha maskini. Jibu hoja wacha viroja.
Mjengwablog ndio mataifa ya kimagharibi sio?Mtabaki kutukana tu lakini ukweli unawashinda kusema soma hapa:
Hakika mwandishi umenikuna....nakumbuka bibi yangu akinieleza jinsi walivyotupwa vijiji vya ujamaa na kuliwa na simba,ilihali wakiacha utajiri mkubwa eneo waliloondelewa na nyumba za kudumu...only to find that walipopelekwa hakuna hata hema la kulala acha hizo huduma muhimu za kijamii...Nyerere baba wa Taifa...i hate this...i hate the guy...Ni zaidi ya Dictator jamani..period...
Source: http://www.mjengwablog.com/2011/06/hapa-nyerere-anashambuliwa.html
Tatizo la akina FaizaFoxy, ritz & co wanafikiria kumuita Nyerere Baba wa Taifa ni sawa na kusema Nyerere alilala na mama zao. Kwa hiyo wanaogopa hiyo na wanaanza kutumia dini kuhalalisha akili zao zilizojaa uozo. Inanshangaza kuona hata Mufti Mkuu hajatoa mwongozo kwa hili lakini vijitu kama FaizaFoxy vyenye kufikiria vinaujua Uislamu zaidi ya Waislamu wengine wote hapa duniani vinang'ang'ania kutupotosha!
Mkuu asante kwa "kunijuwa vizuri". Nadhani hapa napo umekutana na copy & paste zangu nyingi tu, au sio?!Askari Kanzu,
Nikipita kule jukwaa la International nakutana na Copy anad paste zako nikawa nadhani wewe ni mtu Decent kumbe mapuya matupu aisee!
Kweli ukitaka kujua upuuzi na umakini wa mtu akiaongea tu utamjua, wewe nilikuwa sikujui, bahati mbaya thread zako nyingi uwa ni za Copy and Paste..
Ulivyoanza kuwanga mataputapu kwenye hii thread ndio nimekujua vizuri..
The remedy of fire is fire...
Siku njema, bi mdogo!
Jibu unalo mwenyewe!Kwa hiyo wewe una Baba wa ngapi?
Ninazidi kuamini wewe umechanganyikiwa. Acha kunijibu kwa papara. Tuliza akili zako kwanzaKwani Nyerere alikuwa Rais wa Mataifa ya Magharibi au Tanzania? Nyie ndi wale hata nzi mkubwa ni wa "kizungu", kama hilo halikutoshi pokea na hii:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-lay-siasa/146897-video-nyerere-akiri-alikuwa-dictator.html
Na link ya Nyerere kukiri yeye mwenyewe kuwa ni dikteta imo humo, unataka nani zaidi yake mwenyewe? watu hawakisii.
Hilo la kupotezwa wala hujakosea, huyo ndio Nyerere nimjuwae.
Haki sawa kwa wote wakati wengine kawataifisha wengine kawalipa? unanchekesha.
Soma hapa ujuwe udhalim wa nyerere sina haja ya kuurudia rudia: Hapa Nyerere Anashambuliwa | Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
Nna uhakika hukuwepo wakati wake unajazwa uongo tu, hakuwa na wema wowote.
Kama unaamini kila kitabu kilichotungwa inakuwaje wewe ni "muumini" mzuri wa Qur'an?Kama hayo ya yeye mwenyewe kukiri bado hayakutoshi nakuuliza swali, jepesi tu; umeshawahi kuisikia encyclopedia of modern dictators?
Si unapenda kusikia kwa wa magharibi? ushindwe mwenyewe:
Encyclopedia of modern dictators ... - Frank J. Coppa - Google Books
Safi sana, ni afadhali umuache na chuki zake binafsi. Chuki zinamtafuna na mpaka zitammaliza!...Ila ngoja nikuache na chuki zako binafsi.
Be careful though: the hate in your heart will consume you too.