Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Kwanza huyu FaizaFoxy ashukuru yuko Tanzania na anaweza kulumbana na wanaume mitandaoni kwa sababu hii nchi sio ya kidini. Ninamhakikishia kama angekuwa kwenye nchi ya kiislamu asingepata hiyo ruksa. Nadhani hilo nalo analijua fika, ingawa kama kawaida yake; atabisha!
Umeongea ukweli mtupu, nadhani magari ndo wanaanza kuruhusiwa kuendesha sasa.
 
Jibu la swali la tatu



Jibu la swali la pili- Marekani kuna "Fathers" as plural na siyo singular "Father" huyo Gorge Washington unaemzunguzia siyo official "Father of the Nation" ni opinion. Naraduia tena, Marekani ina official "Founding Fathers"

Kabla ya kujenga hoja please, soma kwanza kwenye textbook na siyo kusoma kwenye Wikipedia.
Marekani ina founding fathers with Washington at the top/helm

Huwezi kufananisha United States vs. Just a State...

Ndo maana hatuna Fathers kwasababu tuna state, hatuna states, ama?
 
Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.

Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?

Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga.
Ama kweli wewe ndiye mjinga uliyejazwa ujinga wa madrasa! Hamia somalia kama unaona vipi, mbona jamaa zenu waliokula mkong'oto enzi za brother ben wakakimbilia somalia wakijua wanaenda kwenye nchi ya kiislamu maisha yao yakakuwa bombo mbona walilalamika? acheni hizo hulka za kiislamu, kuwa modern islam!
 
Una matatizo makubwa!
1:Mdini
2:Mvivu wa kusoma
3😛imbi wa ubongo!
Kwa kifupi na "mwehu sana"!
ngoja niishie hapa maana umeshachoka kusoma!
 
Mchambuzi!
Naunga mkono hoja ila next time jaribu kufupisha hii ni ndeefu sana!

Nampa big up mleta thread niliwahi kucomment juu ya watu kupewa shule juu ya Late Nyerere,bado darasa zaidi tutaendelea kulitoa naimani wachache wenye akili na waliotayari kuelewa basi wataelewa!!
 
Mchambuzi!
Naunga mkono hoja ila next time jaribu kufupisha hii ni ndeefu sana!

Nampa big up mleta thread niliwahi kucomment juu ya watu kupewa shule juu ya Late Nyerere,bado darasa zaidi tutaendelea kulitoa naimani wachache wenye akili na waliotayari kuelewa basi wataelewa!!
 
Mi nashauri mkubaliane kutokukubaliana. Mwandishi ameelezea utofauti kati ya Baba na Rais bora wa Taifa,kila mtu ameelewa,labda kama mtu hakubali. Halafu ameonyesha kuwa asili ya ubaba wa taifa ama jina hilo haikutokea kanisa katoliki wala si Roma wanaotoa jina hilo kwa viongozi wa nchi hapa duniani,iwe za kiislamu au kikristo. Hata hatukuwahi kusikia aliyetoa jina hilo alikuwa kardinali Rugambwa au Pengo! Mi nadhani imechukuliwa kifamilia zaidi kwamba...kiongozi wa familia huwa ni mwanamume. Na kwa bahati ni kwamba wanaharakati wengi katika ukombozi na mapinduzi ya nchi zao,walikuwa wanaume... Kifamilia kuna mambo ambayo hayakamiliki hadi baba aje.. Heshima ya ubaba,ni kuonesha uongozi,msimamo,ujasiri,vision,na maamuzi ambayo hata kama yatapingwa na watoto au wake zake,ya baba yanakuwa ya mwisho.. Someone can correct me ila huo ndiyo ufahamu wangu.

Tafsiri yangu ya baba..
 
Umeongea ukweli mtupu, nadhani magari ndo wanaanza kuruhusiwa kuendesha sasa.
Kuna sehemu huko Afghanistan wanawake hawarusiwi japo kuonyesha uso. Huo sio uislamu bali ni tafsiri potofu kama hizo alizonazo FaizaFoxy. Utafikiria yeye ndiye aliyegundua uislamu, na wengine wote tuliobaki ni makanjanja tu!
 
Hayo hayanipi shida wanaomwita hilo jina hawaujui Uislaam. Mimi kumuita mtu baba asiyenizaa ni NO. Na nnauhakika ni wengi wengine walio kama mimi.

Unasema waislam wa Pakstani walioamua kumpa heshima Jinna kama baba wao wa Taifa la Pakstani hawaujui uislam. Kwa akili zako uislam ni according to namna unavyofikiria wewe. Huu ni ufinyu wa mawazo uliovuka viwango vyote kufikiri kuwa wewe ndiyo mwenye mamlaka ya kutoa tafsiri ya nani anaujua uislam na nani haujui uislam. Akili za namna hii ni za wale waliopungukiwa na akili. Wewe FF hauna na wala hautakuwa kamwe na mamlaka ya mwisho kusema ulimwengu huu ni kadri ya unavyou-define wewe. Wewe si binadamu pekee unayeishi katika real world. Fikira zako they are okay kwa dunia ya watu waliopungukiwa na akili, extremist and fundamentalists, ulimwengu wa waovu.
 
najiuliza halafu sipati jibu,wote mlochangia mmechangia vizuri kwasababu unachangia kitu unachokielewa isitoshe tuko kwenye mawazo huria,ila NAJIULIZA kumwita mtu BABA kuna uhusiano gani na UKRISTO?mh natia shaka vijana wenzangu mnaofikiria hilo huku mkihusianisha hizo concepts mbili inaonesha jinsi gani mlivyo na mawazo mgando,ila siwabezi mitazamo yenu kwa maana ni sehemu ya kujifunza.
 
Najua porojo zina kikomo rudi tena kwa ustaadh wako muulize kuhusu nickname labda kwa kukufanulia zaidi Uislamu hauendani na nickname ambazo haziendani na utamaduni wa dini yetu. Foxy keshajua naongelea nini niliwahi kumshauri atumie jina kama waridi ama asumini nilikuwa na sababu sikutaka kulumbana JF.
Ukipata majibu rudi

Chama
Gongo la Mboto DSM

Naona unazidi kujichanganya Ustadhi ni nani kwenye Uislam? Niwekee quote yoyote kutoka kwenye Quran inayokataza nickname...

Kingine sitaki habari ya FaizaFoxy, mimi nachotaka ni ushahidi wa maandiko kutoka kwenye Quran na Sunna..

Zaidi ya apo utakuwa unaleta porojo JF...tunasubiri jibu mkuu
 
Mi nashauri mkubaliane kutokukubaliana. Mwandishi ameelezea utofauti kati ya Baba na Rais bora wa Taifa,kila mtu ameelewa,labda kama mtu hakubali. Halafu ameonyesha kuwa asili ya ubaba wa taifa ama jina hilo haikutokea kanisa katoliki wala si Roma wanaotoa jina hilo kwa viongozi wa nchi hapa duniani,iwe za kiislamu au kikristo. Hata hatukuwahi kusikia aliyetoa jina hilo alikuwa kardinali Rugambwa au Pengo! Mi nadhani imechukuliwa kifamilia zaidi kwamba...kiongozi wa familia huwa ni mwanamume. Na kwa bahati ni kwamba wanaharakati wengi katika ukombozi na mapinduzi ya nchi zao,walikuwa wanaume... Kifamilia kuna mambo ambayo hayakamiliki hadi baba aje.. Heshima ya ubaba,ni kuonesha uongozi,msimamo,ujasiri,vision,na maamuzi ambayo hata kama yatapingwa na watoto au wake zake,ya baba yanakuwa ya mwisho.. Someone can correct me ila huo ndiyo ufahamu wangu.

Vipi hii haichangiliki?????
 
It is a pity our leaders run for election as a means to serve themselves rather than become servants of the Tanzanian people. Mwl. Nyerere left a great legacy of mineral wealth untouched, throughout his leadership. The real question is what legacy will the current administration leave for the next generation to inherit?
 
unashindwa hata kuelewa maana kamili ya hiyo sentenci. Hiyo ni opinion unashindwa hata kutafsiri. Marekani haina "father" as singular, bali kuna plural as "fathers" "founding fathers"

soma vizuri historia ya marekani kabla ya kuanza kubisha kwa kucopy sentenc ambazo hujui hata maana yake.
mkuu nimesoma marekani tangu high school. Don;t even go there!
 
Naona unazidi kujichanganya Ustadhi ni nani kwenye Uislam? Niwekee quote yoyote kutoka kwenye Quran inayokataza nickname...

Kingine sitaki habari ya FaizaFoxy, mimi nachotaka ni ushahidi wa maandiko kutoka kwenye Quran na Sunna..

Zaidi ya apo utakuwa unaleta porojo JF...tunasubiri jibu mkuu

Ni rahisi kumjaza hekima mtu mjinga kuliko hayawani; baba alikupa urith wa nyumba tatu lakini umekosa hekima naamini mzee wako (mungu amrehemu) alikuwa mtu wa hekima lakini hukuwahi kujifunza kutoka kwake labda ulikuwa mdogo; Waislamu tunapata mafundisho yetu kutoka kwenye kitabu chetu kitukufu Quran na kwenye hadith; narudia mama Faiza Foxy amenyamaza kimya kwenye hili anafahamu fika naaminisha kitu gani; usitumie JF kama uwanja wa majibizano tu jifunze yanayosemwa humu mengine yana maana sana kwako kimaisha; nimekwambia nenda kwa ustaadh wako unaye mwamini muulize yeye atakufungulia kutoka kwenye Quran ama hadith sawia nikakwambia mimi tutaendelea na majibizano ambayo hayana mwisho kama haya ya Baba wa Taifa, tutaingia kwenye kufur za bure ilhali dini na siasa haviendani, tumia mtandao ujielemishe ndugu ya wa Kiislam; siku zote Waislam tumeelekezwa kutumia hekima na busara pale hitilafu za maelewano. nipo safarini najianda kukrosi Pacific inshallah nikifika salama tutawasiliana

Chama.
Gongo la Mboto DSM
 
Kwaaaaakwkakwkaaaaakwa, umenifanya nicheke sana, pole sana naomba soma kuhusu "The kunyah (الكني&#1577😉" au "nick name". Usikurupuke. Sikisii.

Sijakurupuka nenda mbali zaidi usiishie pale unapopataka wewe

Chama
 
Praise should be given to colonials in this case, why not? the minerals were not there during Arabs, Portuguese, Germans, English? who have been here for centuries before Nyerere.

So what legacy does the current administration leave for this country?
 
Ni rahisi kumjaza hekima mtu mjinga kuliko hayawani; baba alikupa urith wa nyumba tatu lakini umekosa hekima naamini mzee wako (mungu amrehemu) alikuwa mtu wa hekima lakini hukuwahi kujifunza kutoka kwake labda ulikuwa mdogo; Waislamu tunapata mafundisho yetu kutoka kwenye kitabu chetu kitukufu Quran na kwenye hadith; narudia mama Faiza Foxy amenyamaza kimya kwenye hili anafahamu fika naaminisha kitu gani; usitumie JF kama uwanja wa majibizano tu jifunze yanayosemwa humu mengine yana maana sana kwako kimaisha; nimekwambia nenda kwa ustaadh wako unaye mwamini muulize yeye atakufungulia kutoka kwenye Quran ama hadith sawia nikakwambia mimi tutaendelea na majibizano ambayo hayana mwisho kama haya ya Baba wa Taifa, tutaingia kwenye kufur za bure ilhali dini na siasa haviendani, tumia mtandao ujielemishe ndugu ya wa Kiislam; siku zote Waislam tumeelekezwa kutumia hekima na busara pale hitilafu za maelewano. nipo safarini najianda kukrosi Pacific inshallah nikifika salama tutawasiliana

Chama.
Gongo la Mboto DSM

Mkuu wangu, naona unaandika maneno mengi bila sababu ya msingi..

Wala mimi sina ungomvi na wewe mkuu wangu, nimeomba kitu kimoja tu...ushahidi wa maneno yako.

Wewe umesema Uislam umekataza nickname mimi nikaja na nickname za maswaaba wa mtume Mohammad..

Nikakuambia sio kweli Uislam kama Uislam hakuna mahali umekataza nickname..

Kama una ushahidi weka humu Jamvini, umeshindwa kuweka unaleta porojo, eti ata FaizaFoxy, anajua ili ndio maana kakaa kimya..

Bahati nzuri FaizaFoxy kakujibu...

Mkuu ushauri wangu kwako masuala ya dini kama una elimu nayo usiyotolee ufafanuzi..

Ushahidi wa mambo ya dini ya kislam upo kwenye vitu viwili tu Quran na hadith..

Hakuna zaidi ya apo...JF kuna Great Thinkers huwezi kuokota maneno kwenye vijiwe vya Gongolamboto then unayaleta JF bila data au facts zozote!

Kajipange upya...mimi ndio Ritz wa JF
 
Back
Top Bottom