Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,243
- 12,767
Kwenye kitabu elimu ya kujitegemea Mwalimu Nyerere alitoa hoja nyingi juu ya mustakabali wa elimu yetu. Moja ya hoja yake ulihusu umri wa mwanafunzi kuanza shule.
Alisema kuwa kuanza shule na miaka 5 au 6 haifai sababu mtoto anamaliza na miaka 12-13. Umri ambao hawezi kuwa na manufaa yoyote kwa jamii. Kwanza nchi ya kijamaa inahitaji wafanyakazi(wakulima).
Mtoto wa 12 hawezi kuwa na manufaa yoyote. Pili asilimia kubwa sana ya watoto waliomaliza shule ya msingi enzi hizo, asilimia 87 walikuwa hawaendelei na sekondari, hivyo ni bora wanapomaliza shule ya msingi wawe na uwezo wa kufanya kazi.
Huo ndiyo mwanzo wa kuanza shule na miaka 7. Unaweza soma kitabu chake hicho na vingine vingi bure ndani ya maktaba app. Ipakue playstore.
Alisema kuwa kuanza shule na miaka 5 au 6 haifai sababu mtoto anamaliza na miaka 12-13. Umri ambao hawezi kuwa na manufaa yoyote kwa jamii. Kwanza nchi ya kijamaa inahitaji wafanyakazi(wakulima).
Mtoto wa 12 hawezi kuwa na manufaa yoyote. Pili asilimia kubwa sana ya watoto waliomaliza shule ya msingi enzi hizo, asilimia 87 walikuwa hawaendelei na sekondari, hivyo ni bora wanapomaliza shule ya msingi wawe na uwezo wa kufanya kazi.
Huo ndiyo mwanzo wa kuanza shule na miaka 7. Unaweza soma kitabu chake hicho na vingine vingi bure ndani ya maktaba app. Ipakue playstore.