Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,748
Huenda
Mbona hata alivyokuwa madarakani nchi ilifeli kama ulikuwepo nadhani uliona au unaweza kutupa mafanikio ya Nyerere kiuchumi wakati yupo madarakani.Nyerere katoka madarakani 1984 hadi leo kufeli kwa nchi mnamsingizia Nyerere. Huu ni upuuzi na chuki kijinga haijapata kutokea.
Sio Nyerere bali neo-colonialism. Nchi zote za kiafrika zilizotawaliwa zinafanana tu, sio east africa, central wala west africa kuliko na ahueni.Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.
Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?
Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?
Tujadili.
Misingi yote aliyoiweka ilikuwa imara na madhubuti ndio maana amani umoja bado unadumu mpaka leo. Hali ya utulivu tuliyonayo leo si tukio la nasibu ni misingi iliyowekwa na waasisi.Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.
Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?
Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?
Tujadili.
umekurupuka,,,anaongelea misingi ambayo hutawala miaka na miaka,,like napoleon ,,,,washington,,,rosevelt,,,lincolin...na wengine,,,jadili kama huna maoni basi pitaHe has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?
And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?
Misingi yote aliyoiweka ilikuwa imara na madhubuti ndio maana amani umoja bado unadumu mpaka leo. Hali ya utulivu tuliyonayo leo si tukio la naibu ni misingi iliyowekwa na waasisi.
Ngoja tukumbushane nchi aliliyoipokea Mwl Nyerere, halafu tuone hatukuendelea? Katika hotuba moja ya Mwl Nyerere anasema kunamtaalam mmoja wa kizungu aliwahi kuifananisha nchi yetu na mdudu mmoja aitwaye kwa kiingereza bamboo bee. Anasema mdudu huyo hana sifa za kuruka/kupaa lakini anapaa. Na Tanganyika haikuwa na sifa za kuitwa nchi lakini ilikuwa nchi. Watu milioni tisa lakini injinia 2. Hapa unapata picha kuwa jamii yote ni kama ilikuwa haijaelimika vya kutosha. Mwalimu aliweka msingi wa kuelimisha watu na kupatikana wasomi wa mwanzo mpaka nawe ukapatikana sijui hapaswi kujivuna kwa msingi wake aliouweka kukuzalisha msomi wewe.
Kwa kuwa hukubainisha misingi ambayo Mwl Nyerere aliiweka na kushindwa. Niwe nimekuchokoza uitaje nipate kuitazama kwa jicholako na langu. Asubuhi njema
Safi.He has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?
And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?
Hoja nzuri sana hii,
Kimsingi siasa yetu imebadilika. Siasa za siku hizi zinahitaji kiongozi kuinvest kwenye kupendwa na watu.
Mwanasiasa wa leo can not afford too many enemies, anatakiwa kujenga kundi la "marafiki". Hapo ndipo mambo yanapoharibika, kwa sababu kwenye urafiki kuna "kuvumiliana" na kuoneana aibu. Nakumbuka Nyerere alisema mtu akienda Ikulu inabidi awaambie marafiki zake kuwa Ikulu ni mahala patakatifu, that is not practical today kwa sababu bila kuwa na hao marafiki watakaompigania hata Ikulu mtu hawezi kuiwaza. Kuwageuka marafiki hao baada ya kuingia Ikulu is a political suicide.
Nyerere hakuhitaji "kambi" ndani ya chama ili aendelee kuwa kiongozi ili ashinde uchaguzi. Siku hizi bila kuwa na "kambi" mgombea haambulii kitu.
Vilevile viongozi siasa wa leo wanapatwa na changamoto zaidi ya maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano.
Kwahiyo si sahihi viongozi hawa kuwafananisha kwa kutumia jedwali. By the way, kifalsafa hawa wote ni viongozi wa mfumo uleule. Mfumo wetu wa uongozi tangu Uhuru kimsingi haujabadilika.
yaani yote unayoona ni matokeo ya makosa yake so lazima tuangalie pale tulipojikwaa sio hapa tulipoangukiaHe has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?
And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?
HujuwiKajifunze kuandika Kiingereza ndio uje nikuelewe una maanisha nini.
Huo ndio msingi uliowekwa na Nyerere. Hujuwi Kiingereza na nna uhakika hata Kiswahili hukijui.
Nataka nikubaliane na nyie mnaosema Nyerere alishindwa. Lakini Nyerere ameshaondoka kwenye utawala miaka mingi sasa, na in fact, ameshakufa na hayupo tena hapa duniani! Sasa nini kimetufanya tuendelee kushindwa miaka mingi hata baada ya yule aliyesababisha tushindwe kuondoka?? Use common sense please....
huu uzi wa 2013 kuuleta tena 2017 haifanyi watu kubadilisha mtazamo wao kuhusu mwalimu nyerere.Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.
Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?
Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?
Tujadili.
Wewe hua unaona raha sana kuwakosoa wenzio ilhali wewe hutaki kukosolewa. Huo nao ni ujinga ulioenda kusomeaTamka kwa sauti mara tatu mpaka tano, utaamuwa wewe ipi sahihi baada ya hapo.