Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.
Fine. Je, hivi sasa tumeshaweka Misingi? Je,baba akijenga nyumba ya tope,mkazaliwa mkakulia humo ,mkajajenga ghorofa zenu,mtamlaumu kwa lipi?
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.

Unasumbuliwa na shetani mungu wako. Nyerere ameondoka lini madarakani? Kwa nini hamrekesbishi makosa? Huu ni wendawazimu wa kichawi!.

Kama unatatizo na Nyerere usittake kutushirikisha hapa mtandaoni. Mfuate alipo. Punguani mkubwa.
 
lakini tukubaliane kuwa nyerere hajatufikisha popote na kweli hakuwa na maono. ni kweli alijenga mshikamano wa kitaifa lakini kungine kote alikuwa anaendeshwa na emotions zaidi kul.iko kuangalia ahalisia wa mambo na dunia inakokwenda.
Mkuu mbona ujipinga mwenyewe! Umesema kuwa Nyerere hajatufikisha popote na wakati huo huo unakiri kuwa alijenga mshikamano wa kitaifa!
 
Mwalimu Nyerere

Amefanya jambo kubwa moja ambalo ni la maana kupita yote

Kutuleta pamoja Watanzania kwa kuimarisha UPENDO kati yetu

Leo Tanzania ndiyo nchi ya kwanza Duniani kwa raia wake kupendana.

Ijapokuwa tunaangushwa na viongozi wachache wenye uwezo mdogo wa kuongoza kwa kuweka maslahi yao mbele

Mtanzania wa leo anaweza kuishi sehemu yoyote hapa nchini kwenye kabila lolote na akuchukuliwa kama mtoto wa nyumbani.

Kama atakuwa mwema basi atapewa shamba ajenge, ataozeshwa, atagombea cheo chochote na kuchaguliwa bila ubaguzi wa aina yoyote.

Kwangu mimi upendo huu ni kitu cha msingi kuliko Azimio la Arusha au serikali tatu.

Leo ndugu zetu wazanzibari wanafulahia maisha huku bara bila usumbufu nasisi tunaishi zanzibar kama nyumbani

Upendo huu ni zaidi ya siasa ya ujamaa na kujitegemea, ni zaidi ya udikteta wa Chama kimoja ni zaidi ya Nyerere mwenyewe.

Angalieni kwa wenzetu mara vita vya msituni mara vita vya kikabila na mauaji ya kimbali,

Mara vita vya kidini huko Afrika ya kati hadi watu wanajiita anti baraka, boko haramu, eli shababa sijui

Dhana ni kuwa msingi wa UPENDO haukujengwa, haupo.

Nyerere alifanya hili, wengine wafanye hayo mengine, nchi haikamiliki kujengwa na Raisi mmoja au awamu moja ya utawala.

Kwa hili la kutuweka pamoja kama nchi mimi nimemsamehe Mwalimu kwa kosa lolote alilofanya, yeye sio malaika, hata wewe ulishakosea katika majukumu yako lakini jiulize ushafanya jambo lolote la maana kwenye jamii yako?

Asante Mwalimu Nyerere.
 
Nyerere nchi ilimshinda akaiwacha masikini wa mwisho duniani, nna uhakika hukuwepo wakati wake.
Ndio ccm hiyo bibi tufanyeje sasa maana mlio kula chimvi tunatarajia busara toka kwenu. Na saivi kuna kaharufu aliyepo sasa ana element za unyerere. Na wewe unamuunga mkono na ulimpigia kura. Na inasemekana ni rais bora yaani haijawahi tokea maishani mwako..
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.
Nyerere hakuwa kiongozi pekee.....
 
Hizo zote porojo tu.

Hakuna engineer lakini barabara zilipitika, hakuna madaktari lakini watu walitibiwa.

Tanganyika ilikuwa nchi ya kwanza Afrika kusafirisha mazao nje. Miaka miwili mitatu tu baada ya Uhuru tukaanza kuwa omba-omba wa chakula.

Tanganyika haijawahi kukosa amani na ndiyo maana nchi ikawa na sifa za peponi, mpaka Dar Es Salaam ikawa Dar Es Salaam, unajuwa kuwa Dar Es Salaam ipo kwenye Qur'an na ni peponi?

Ukweli tuuseme kuhusu makosa yaliyofanyika wakati wa utawala wa Nyerere, tutakuwa huru zaidi na kutorudia makosa. Hata Nyerere mwenyewe alikiri kuwa alifanya makosa, seuse sisi tuone hajafanya makosa. Inashangaza.

Mpaka leo tunalia tunataka katiba mpya, kama haina makosa kwanini tunataka katiba mpya? Ulishasikia nchi zenye katiba nzuri zikitaka katiba mpya? USA katiba yao ina miaka mingapi leo? Hiyo katiba ni ya nani? Au huo si msingi aliouweka?
Nashukuru kujua kuwa huna misingi unayoitaja ambayo Mwl Nyerere aliiasisi na kurudisha nyuma maendeleo. Nijibu hoja zako kama ifuatavyo.
Hakuna mainjinia lakini barabara zinapitika. Sawa zilikuwa zinapitika kwa shida. Dar-Tanga saa 12, Geita Mwanza saa 9. Sasa hivi Dar- Tanga unaenda na kurudi siku mojja na Geita- Mwanza unaenda unarudi na kwenda tena. Hii imewezekana kwa msingi wa elimu aliouanzisha Mwalimu.
Ni kweli baada ya uhuru nchi nyingi za kiafrika ziliathirika katika masuala ya kilimo. Ghana zao la kokoa lilishuka pia kwetu. Jibu zuri utalipata kama utasoma kitabu cha hayati Kwame Nkhruma kuhusu athari za ukoloni mamboleo.
Tanzania siyo Dar-es-Salaam pekee. Mapigano ya kikabila yamekuwepo kwa miaka mingi sana miongoni mwa kabila zilizomo Tanzania. Mwalimu aliweka msingi ambao umetuweka pamoja na kusahau magomvi ya zamani. Wangoni wamekuwa watani wa makabila mengi sana hapa Tanzania hasa yale yaliyopigana nao hapo zamani. Mkakati wa utani umesaidia watanzania kuwa wanaambiana ukweli bila kupigana. Watu wa Pwani kutaniana na wasukuma na wanyamwezi. Hii imelainisha nyoyo zetu na kuthaminiana na kupunguza baadhi ya mila zisizofaa kwa hofu ya kutaniwa na kuwa na mila zinazofanana. Watu wameoleana kutoka makabila mbalimbali. Pia kutaifisha kwa baadhi ya shule za kidini nayo ilisaidia kuuweka mchanganyiko wa watu shuleni. Kama ingeachwa tungekuwa tunabaguana.
Mwl Nyerere yapo alikosea. Nikweli alikosea kama mwanadamu. Hata kwenye baadhi ya hotuba zake amekubali hayo hasa utaifishaji wa mashamba ya mkonge na kuwapa waswah/ili ambao hawakujua kuyaendesha. Na ukimsikia vizuri unaona shinikizo la chama lilikuwapo na hapo unang'amua kuwa Nyerere hakuwa akiamua mambo pekee. TBC wanazo hotuba mbili za Mwl Nyerere akilalamika kuhusu baadhi ya mambo hilo la mkonge na la kushindwa kulipia mkopo wa nyumba yake. Hizi hotuba ni uthibitisho wa yeye kutokuwa dikteta bali alifata uwajibikaji wa pamoja.
Hakuna katiba iliyobora duniani kushinda zote. Kinachotakiwa ni kutosheka na mlionayo. Leo hii katiba ya Marekani mgombea aliyepata kura nyingi hawi rais. Wao wamekubali iwe hivyo. Pia katiba yao inayo mabadiliko kadhaa. Mabadiliko hayo yalifanywa ili kuingiza baadhi ya mambo kadiri wanavyoishi. Vipindi viwili vya uongozi viliingizwa baada ya kuonekana umuhimu wake si kamba katiba ya Marekani ilianza na ukomo wa vipindi viwili. Hata sisi katiba yetu ni nzuri sana. Hasa kwa haya yanayoendelea Kenya, hapa ndipo tunaona umuhimu wa kuwa na rais mwenye nguvu (mzizi uliokwenda chini sana).
Mpaka sasa sijaona ubaya wa katiba yetu sijui kwasababu sina wazo la kupindua nchi? Kwa mwenye lengo la kufanya mapinduzi katiba hii kwake ni mbaya sana.
 
Hizo zote porojo tu.

Hakuna engineer lakini barabara zilipitika, hakuna madaktari lakini watu walitibiwa.

Tanganyika ilikuwa nchi ya kwanza Afrika kusafirisha mazao nje. Miaka miwili mitatu tu baada ya Uhuru tukaanza kuwa omba-omba wa chakula.

Tanganyika haijawahi kukosa amani na ndiyo maana nchi ikawa na sifa za peponi, mpaka Dar Es Salaam ikawa Dar Es Salaam, unajuwa kuwa Dar Es Salaam ipo kwenye Qur'an na ni peponi?

Ukweli tuuseme kuhusu makosa yaliyofanyika wakati wa utawala wa Nyerere, tutakuwa huru zaidi na kutorudia makosa. Hata Nyerere mwenyewe alikiri kuwa alifanya makosa, seuse sisi tuone hajafanya makosa. Inashangaza.

Mpaka leo tunalia tunataka katiba mpya, kama haina makosa kwanini tunataka katiba mpya? Ulishasikia nchi zenye katiba nzuri zikitaka katiba mpya? USA katiba yao ina miaka mingapi leo? Hiyo katiba ni ya nani? Au huo si msingi aliouweka?
Nina swali mojantu kwako bibi yangu Faiza Foxy hivi ccm imeshindwa kurekebisha makosa ya nyerere mpaka leo...? mfano kama Nyerere alipendelea upande fulani yaani mpaka leo ccm mnashindwa kulirekebisha kweli? Kama ni mfumo je haufumuliwi kweli? Kama ni elimu upande fulani ulinyimwa..haiwezekani kirekebisha kweli? Kama haiwezekani basi Nyerere hakua tatizo bali Ccm hii !!!
 
Nashukuru kujua kuwa huna misingi unayoitaja ambayo Mwl Nyerere aliiasisi na kurudisha nyuma maendeleo. Nijibu hoja zako kama ifuatavyo.
Hakuna mainjinia lakini barabara zinapitika. Sawa zilikuwa zinapitika kwa shida. Dar-Tanga saa 12, Geita Mwanza saa 9. Sasa hivi Dar- Tanga unaenda na kurudi siku mojja na Geita- Mwanza unaenda unarudi na kwenda tena. Hii imewezekana kwa msingi wa elimu aliouanzisha Mwalimu.
Ni kweli baada ya uhuru nchi nyingi za kiafrika ziliathirika katika masuala ya kilimo. Ghana zao la kokoa lilishuka pia kwetu. Jibu zuri utalipata kama utasoma kitabu cha hayati Kwame Nkhruma kuhusu athari za ukoloni mamboleo.
Tanzania siyo Dar-es-Salaam pekee. Mapigano ya kikabila yamekuwepo kwa miaka mingi sana miongoni mwa kabila zilizomo Tanzania. Mwalimu aliweka msingi ambao umetuweka pamoja na kusahau magomvi ya zamani. Wangoni wamekuwa watani wa makabila mengi sana hapa Tanzania hasa yale yaliyopigana nao hapo zamani. Mkakati wa utani umesaidia watanzania kuwa wanaambiana ukweli bila kupigana. Watu wa Pwani kutaniana na wasukuma na wanyamwezi. Hii imelainisha nyoyo zetu na kuthaminiana na kupunguza baadhi ya mila zisizofaa kwa hofu ya kutaniwa na kuwa na mila zinazofanana. Watu wameoleana kutoka makabila mbalimbali. Pia kutaifisha kwa baadhi ya shule za kidini nayo ilisaidia kuuweka mchanganyiko wa watu shuleni. Kama ingeachwa tungekuwa tunabaguana.
Mwl Nyerere yapo alikosea. Nikweli alikosea kama mwanadamu. Hata kwenye baadhi ya hotuba zake amekubali hayo hasa utaifishaji wa mashamba ya mkonge na kuwapa waswah/ili ambao hawakujua kuyaendesha. Na ukimsikia vizuri unaona shinikizo la chama lilikuwapo na hapo unang'amua kuwa Nyerere hakuwa akiamua mambo pekee. TBC wanazo hotuba mbili za Mwl Nyerere akilalamika kuhusu baadhi ya mambo hilo la mkonge na la kushindwa kulipia mkopo wa nyumba yake. Hizi hotuba ni uthibitisho wa yeye kutokuwa dikteta bali alifata uwajibikaji wa pamoja.
Hakuna katiba iliyobora duniani kushinda zote. Kinachotakiwa ni kutosheka na mlionayo. Leo hii katiba ya Marekani mgombea aliyepata kura nyingi hawi rais. Wao wamekubali iwe hivyo. Pia katiba yao inayo mabadiliko kadhaa. Mabadiliko hayo yalifanywa ili kuingiza baadhi ya mambo kadiri wanavyoishi. Vipindi viwili vya uongozi viliingizwa baada ya kuonekana umuhimu wake si kamba katiba ya Marekani ilianza na ukomo wa vipindi viwili. Hata sisi katiba yetu ni nzuri sana. Hasa kwa haya yanayoendelea Kenya, hapa ndipo tunaona umuhimu wa kuwa na rais mwenye nguvu (mzizi uliokwenda chini sana).
Mpaka sasa sijaona ubaya wa katiba yetu sijui kwasababu sina wazo la kupindua nchi? Kwa mwenye lengo la kufanya mapinduzi katiba hii kwake ni mbaya sana.
Hizo barabara zote unazozisema zilijengwa na makampuni ya nje na 90% hazikujengwa wakati wa Nyerere.

Kikwete ndiye aliyefanya mapinduzi ya barabara Tanzania.

Wakati wa Nyerere hata Dar mjini kulijaa mahandaki na tulizikuta na lami walivyotuachia wakoloni.

Hivi uliziona barabara za Dar alizowachiwa Mwinyi na Nyerere?
 
Mleta mada umemkosoa Nyerere(baba wa Taifa) kuwa hakujenga misingi ya Taifa! Ukiwa kama Msomi, mweledi wa mambo to a suluhisho. Je, ungekuwa wewe in Nyerere ungelifanyia mini Taifa hili ili kujenga msingi imara?
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.
Umemuona JK bungeni leo alivyotulia na kushangiliwa na bunge zima,Historia itamkumbuka!
 
Mwalimu Nyerere

Amefanya jambo kubwa moja ambalo ni la maana kupita yote

Kutuleta pamoja Watanzania kwa kuimarisha UPENDO kati yetu

Leo Tanzania ndiyo nchi ya kwanza Duniani kwa raia wake kupendana.

Ijapokuwa tunaangushwa na viongozi wachache wenye uwezo mdogo wa kuongoza kwa kuweka maslahi yao mbele

Mtanzania wa leo anaweza kuishi sehemu yoyote hapa nchini kwenye kabila lolote na akuchukuliwa kama mtoto wa nyumbani.

Kama atakuwa mwema basi atapewa shamba ajenge, ataozeshwa, atagombea cheo chochote na kuchaguliwa bila ubaguzi wa aina yoyote.

Kwangu mimi upendo huu ni kitu cha msingi kuliko Azimio la Arusha au serikali tatu.

Leo ndugu zetu wazanzibari wanafulahia maisha huku bara bila usumbufu nasisi tunaishi zanzibar kama nyumbani

Upendo huu ni zaidi ya siasa ya ujamaa na kujitegemea, ni zaidi ya udikteta wa Chama kimoja ni zaidi ya Nyerere mwenyewe.

Angalieni kwa wenzetu mara vita vya msituni mara vita vya kikabila na mauaji ya kimbali,

Mara vita vya kidini huko Afrika ya kati hadi watu wanajiita anti baraka, boko haramu, eli shababa sijui

Dhana ni kuwa msingi wa UPENDO haukujengwa, haupo.

Nyerere alifanya hili, wengine wafanye hayo mengine, nchi haikamiliki kujengwa na Raisi mmoja au awamu moja ya utawala.

Kwa hili la kutuweka pamoja kama nchi mimi nimemsamehe Mwalimu kwa kosa lolote alilofanya, yeye sio malaika, hata wewe ulishakosea katika majukumu yako lakini jiulize ushafanya jambo lolote la maana kwenye jamii yako?

Asante Mwalimu Nyerere.
Acha uzushi, upendo ulikuwepo kitamboo, ndio maana hata yeye alikaribishwa pwani na wenyeji na wakamuamini
 
Nina swali mojantu kwako bibi yangu Faiza Foxy hivi ccm imeshindwa kurekebisha makosa ya nyerere mpaka leo...? mfano kama Nyerere alipendelea upande fulani yaani mpaka leo ccm mnashindwa kulirekebisha kweli? Kama ni mfumo je haufumuliwi kweli? Kama ni elimu upande fulani ulinyimwa..haiwezekani kirekebisha kweli? Kama haiwezekani basi Nyerere hakua tatizo bali Ccm hii !!!
Makosa yamebadilishwa na ndiyo maana toka yalivyobadilishwa hatujawa na foleni ya chakula. Kumbuka hilo.
 
Nyerere kuwatoa wazungu alibugi sanaaa hakuona mbele leo watanzania kuongea kingereza tu shidaa na mikataba yote ya kisheria ipo kwa lugha ya kingereza...nilichokiona northen Uganda the karamoja region almost 450 km frm kampala town kati ya watu 10 ,5-8 wanaongea lugha ya kingereza na wanafanya shughuli za kawaida sanaa...Mungu katubariki tanzania sanaa ila kutunyima kingereza ni tatizo...na mifano mingiii sanaaa ila hii lugha ingetusaidia sanaa kimaendeleo
 
Kajifunze kuandika Kiingereza ndio uje nikuelewe una maanisha nini.

Huo ndio msingi uliowekwa na Nyerere. Hujuwi Kiingereza na nna uhakika hata Kiswahili hukijui.
Unajua kwa mtu mzima wa umri wako kuishi Kariakoo ni tatizo sana. Saa zote pale ni makelele ya magari makubwa kwa madogo na miruzi ya makuli huko sokoni wanaposhusha bidhaa alfajiri.

Hivi unaweza kuniambia tija ya kumjadili Hayati Baba wa Taifa wakati wanao wamekushinda kuwalea na sasa ni mateja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom