Hapa Wilaya ya Bunda;Kata ya Nyasura Mgombea wa Chadema Ndugu Magambo Webiro amepitishwa na Chama chake kuwania nafasi ya Udiwani katika uchaguzi mdogo uliotangazwa na Tume ifikapo tarehe 9/02/2014 siku ya kupiga kura.
Mgombea huyu Magambo Webiro kazi yake inayomuingizia kipato ni Uganga wa Kienyeji ambayo ndio shughuli yake ya kila siku, Baadhi ya watu hufika kwake kupata huduma hiyo lakini hatujui kama wanapona au hawaponi.
Siku za hivi karibuni Mganga huyu wa Kinyeji amejipachika jina jipya la Wassira ambalo ambalo analitumia kama jina maarufu ili kuendelea kuvuta wateja, watu walioko Bunda na baadhi wakazi wa Kata ya Nyasura wanamtambua huyu Bwana kama Magambo Webiro "Mganga" maneno yake mengi ni ya kitapeli na haijulikani kama kazi anayofanya imesajiliwa na Chama cha Waganga wa Tiba Asili, inasadikika huwa anatumia Mizimu na Majini kufanikisha shughuli zake.
Kutokana na Ukweli huo Huyu Bwana sio Wassira kama jina lake bali ni jina Maarufu analojipachika ili limuongezee umaarufu, haijajulikana ama kwa kazi yake ya kutibu watu(sio wengi) au kwa kazi ya uchaguzi huu uliyo mbele yake kwa chama chake cha CHADEMA, Hii labda kwa sababu Wassira ni jina kubwa na Maarufu kwa Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara na Tanzania.
Ikumbukwe kwamba Stephen Masato Wassira(MB) jimbo la Bunda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu hajawahi kuwa na Mtoto anayeitwa Magambo Webiro, na wala hana Mtoto anayefanya kazi za Uganga wa Kinyeji.
Watoto wake wote wanafanya kazi zinazoeleweka na kujitegemea.
Uchaguzi wa udiwani Kata ya Nyasura(Bunda) na zigine kata 28 Tanzania; unatarajiwa kufanyika tarehe 09/02/2014.
Hapa Bunda CCM inaungwa mkono na Maelfu wakati Vyama vingine vinawafuasi wa kuokoteza.
Mgombea huyu Magambo Webiro kazi yake inayomuingizia kipato ni Uganga wa Kienyeji ambayo ndio shughuli yake ya kila siku, Baadhi ya watu hufika kwake kupata huduma hiyo lakini hatujui kama wanapona au hawaponi.
Siku za hivi karibuni Mganga huyu wa Kinyeji amejipachika jina jipya la Wassira ambalo ambalo analitumia kama jina maarufu ili kuendelea kuvuta wateja, watu walioko Bunda na baadhi wakazi wa Kata ya Nyasura wanamtambua huyu Bwana kama Magambo Webiro "Mganga" maneno yake mengi ni ya kitapeli na haijulikani kama kazi anayofanya imesajiliwa na Chama cha Waganga wa Tiba Asili, inasadikika huwa anatumia Mizimu na Majini kufanikisha shughuli zake.
Kutokana na Ukweli huo Huyu Bwana sio Wassira kama jina lake bali ni jina Maarufu analojipachika ili limuongezee umaarufu, haijajulikana ama kwa kazi yake ya kutibu watu(sio wengi) au kwa kazi ya uchaguzi huu uliyo mbele yake kwa chama chake cha CHADEMA, Hii labda kwa sababu Wassira ni jina kubwa na Maarufu kwa Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara na Tanzania.
Ikumbukwe kwamba Stephen Masato Wassira(MB) jimbo la Bunda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu hajawahi kuwa na Mtoto anayeitwa Magambo Webiro, na wala hana Mtoto anayefanya kazi za Uganga wa Kinyeji.
Watoto wake wote wanafanya kazi zinazoeleweka na kujitegemea.
Uchaguzi wa udiwani Kata ya Nyasura(Bunda) na zigine kata 28 Tanzania; unatarajiwa kufanyika tarehe 09/02/2014.
Hapa Bunda CCM inaungwa mkono na Maelfu wakati Vyama vingine vinawafuasi wa kuokoteza.