Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Dr Slaa ameanza kutapatapa eti ana nyaraka muhimu za serikali na za ccm
hii ni mbinu mpya ya slaa baada ya kukosa publicity kwa muda mrefu sasa anatafuta
pa kutokea
Kama ana nyaraka hizo kwanini hasizitoe?
Mbona nyarak zake zote hazina nguvu mahakamani?
:A S embarassed:
Je kutapatapa huku ndo mwisho wake?:nerd:
hii ni mbinu mpya ya slaa baada ya kukosa publicity kwa muda mrefu sasa anatafuta
pa kutokea
Kama ana nyaraka hizo kwanini hasizitoe?
Mbona nyarak zake zote hazina nguvu mahakamani?
:A S embarassed:
Je kutapatapa huku ndo mwisho wake?:nerd: