BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
kumbe wewe ndo spika?
Umbumbu unakusumbua.....
Hiyo publicity aliyoikosa umeipimaje?Dr Slaa ameanza kutapatapa eti ana nyaraka muhimu za serikali na za ccm
hii ni mbinu mpya ya slaa baada ya kukosa publicity kwa muda mrefu sasa anatafuta
pa kutokea
Spika alikuwa anatumia nyaraka zake sio za slaa
Slaa ni mtapatapaji
Mama, umesahau Gutter politics zilimfanya RA kuachana na Ubunge wa Igunga? Magamba ndiyo wataalamu wa siasa za majitaka.
ningekua na akili km yk ningekunywa sumu!ubunge wa igunga kwa ra na shughuli zake ilikuwa ni kupoteza wakati tu. Sasa hivi raha mustarehe, burdaaan wa sharaba.
Mwambie Mbuzimawe huyo!jifunze kuandika kwanza ndo uje hapa..hasizitoe ndo nini?ndo maana mnarudishiwa mtihani wa form 2
Kwani na wewe una msaada gani kwa Taifa????Je hizo nyaraka zina msaada gani kwa taifa?
Mnahangaika kuvuana magamba. Tumewajuwa wezi wa kitaifa. Mfikilie Jairo na mwenzie... EtcJe hizo nyaraka zina msaada gani kwa taifa?
Dr Slaa ameanza kutapatapa eti ana nyaraka muhimu za serikali na za ccm
hii ni mbinu mpya ya slaa baada ya kukosa publicity kwa muda mrefu sasa anatafuta
pa kutokea
Kama ana nyaraka hizo kwanini hasizitoe?
Mbona nyarak zake zote hazina nguvu mahakamani?
:A S embarassed:
Je kutapatapa huku ndo mwisho wake?:nerd: