Please people nimeamua kufanya hivi kwa sababu za usalama wangu tu,
Najua kesi za wanasiasa kesho nitang'olewa meno watajitokeza na kusema ni ccm wametumia mwanya wa mgogoro uliopo ili wachafue viongozi wa cdm, sasa it is better kusema ili likitokea liwe na pa kuanzia.
only for my safety
Mkuu mbona kama vile wang'oa meno nilisikia walitajwa na gazeti moja lililofungiwa, au kuna wengine?