Nunua gari kali, jenga ghorofa

Nunua gari kali, jenga ghorofa

Binafsi naona gari ni mahitaji muhimu ya binadamu ili kurahisisha shughuli zake tu kama zilivyo simu tu , sema Kuna namna kwenye jamii zetu ukiwa na kagari Cha kuzugia wanakuabudu kabisa
Bwashee naona unatoka kwenye point,

Point ni kwamba,ukiwa huna Gari kisha ukafanya juhudi ukaipata hiyo Gari,
Je hayo ni mafanikio kwako au sio mafanikio?

Yani mtu kafanya juhudi akaja kununua Gari akajiona kua amefanikisha lengo lake na hayo ni mafanikio kwake,ila anakuja mtu mwingine anamwambia Gari sio mafanikio!!
 
Bwashee,kwenye huu uzi naona wengi wanashindwa kujua au kutafsiri neno Mafanikio ni nini?

Tungeanza kujadili tafsiri ya neno Mafanikio,basi hata kusingekua na mabishano ya kusema kumiliki kitu fulani sio mafanikio au ni mafanikio.
Suala la mafanikio, Kila mtu ana tafsiri yake, kulingana na mtazamo wake.
 
Yeah sure.

Nchi kama USA kuwa na gari ni basic need tu. Wala sio utajiri.

Wakati fulani hapa Tanzania 🇹🇿, miaka ile ya 70, 80 mpaka 90. Kwenu mkiwa na baiskeli zile za phoenix nyie wakishua hatari.

Au hata mkiwa na TV 📺 tu, nyie wakishua.

Umaskini sio poa. Kitu kidogo tu kinakufanya uone fulani wakishua. Kumbe ni kawaida sana.
Acha uongo.kuwa na gari Kali ni kiashiria kuwa maisha yako ni mazuri.Mfano huwezi kutembelea gari la BILIONI Moja kama hauna mafanikio.Labda ungesema siyo mafanikio kulingana na aina ya gari.maana Kuna gari Hadi za milioni tatu
 
Bwashee naona unatoka kwenye point,

Point ni kwamba,ukiwa huna Gari kisha ukafanya juhudi ukaipata hiyo Gari,
Je hayo ni mafanikio kwako au sio mafanikio?

Yani mtu kafanya juhudi akaja kununua Gari akajiona kua amefanikisha lengo lake na hayo ni mafanikio kwake,ila anakuja mtu mwingine anamwambia Gari sio mafanikio!!
images (15).jpeg
 
Acha uongo.kuwa na gari Kali ni kiashiria kuwa maisha yako ni mazuri.Mfano huwezi kutembelea gari la BILIONI Moja kama hauna mafanikio.Labda ungesema siyo mafanikio kulingana na aina ya gari.maana Kuna gari Hadi za milioni tatu
Marekani unaweza kutembelea gari la billion kwa kukodi au kwa kulipa mdogo mdogo.

Kwa hiyo kutembelea gari kali tu, si kipimo cha utajiri.
 
Na hapa ndipo kwenye point yangu,

Unapomuhukumu mtu kua kununua Gari sio mafanikio,unakua unaingilia uhuru wake,kama yeye anaona kununua Gari ni mafanikio basi hakuna mwenye haki ya kumwambia kua Gari alilolinunua sio mafanikio.
Wamatumbi wengi hupima mafanikio kwa kigezo kimoja Cha kumiliki gari tu
 
Na hapa ndipo kwenye point yangu,

Unapomuhukumu mtu kua kununua Gari sio mafanikio,unakua unaingilia uhuru wake,kama yeye anaona kununua Gari ni mafanikio basi hakuna mwenye haki ya kumwambia kua Gari alilolinunua sio mafanikio.
Anatakiwa aambiwe hivyo kwa sababu kumuacha aendelee kuamini kumiliki gari ndiyo mafanikio kutamharibu akili yake siku za mbeleni
 
🇺🇸 USA.
Mkuu gari ya kifahari ni tofauti na gari. Nakubali USA gari sio issue ila ukizungumzia gari ya kifahari hata USA inam define mtu.
Unataka kusema mtu anaetumia Honda Accord ni sawa na anaetia Rolls Royce?
Kuna gari na gari ya kifahari. Watu wanatumia magari ya kifahari kuonesha mafanikio yao.
Huwezi kuendesha gari ya $500,000 kama hauko vizuri kiuchumi.
 
Na hapa ndipo kwenye point yangu,

Unapomuhukumu mtu kua kununua Gari sio mafanikio,unakua unaingilia uhuru wake,kama yeye anaona kununua Gari ni mafanikio basi hakuna mwenye haki ya kumwambia kua Gari alilolinunua sio mafanikio.
Hapa, kila mtu anajaribu kuelezea tafsiri ya neno Mafanikio.

Hakuna anaye hukumiwa au kuingiliwa uhuru wake.

Mtu kama anaona kununua gari ni mafanikio, ni sawa kwa upande wake na mtazamo wake.
 
Mkuu gari ya kifahari ni tofauti na gari. Nakubali USA gari sio issue ila ukizungumzia gari ya kifahari hata USA inam define mtu.
Unataka kusema mtu anaetumia Honda Accord ni sawa na anaetia Rolls Royce?
Kuna gari na gari ya kifahari. Watu wanatumia magari ya kifahari kuonesha mafanikio yao.
Huwezi kuendesha gari ya $500,000 kama hauko vizuri kiuchumi.
Na sio Gari tu,hasa Saa ya mkononi watu hununua zile za ghali ili kunyesha mafanikio yao, status.
 
Marekani unaweza kutembelea gari la billion kwa kukodi au kwa kulipa mdogo mdogo.

Kwa hiyo kutembelea gari kali tu, si kipimo cha utajiri.
Unafikiri gari ya bilioni unslipia kama gari ya 10m? Kukopa gari kunafuata taratibu za mikopo. Kajamba nani huwezi kukopeshwa gari la bilioni.
 
Mkuu gari ya kifahari ni tofauti na gari. Nakubali USA gari sio issue ila ukizungumzia gari ya kifahari hata USA inam define mtu.
Unataka kusema mtu anaetumia Honda Accord ni sawa na anaetia Rolls Royce?
Kuna gari na gari ya kifahari. Watu wanatumia magari ya kifahari kuonesha mafanikio yao.
Huwezi kuendesha gari ya $500,000 kama hauko vizuri kiuchumi.
Ni kweli, kwa sababu hata mwenye ist au Rav 4 anaweza kujiona tajiri, kumbe bado ni maskini tu, hawezi kumiliki Cadillac escalade.
 
Na sio Gari tu,hasa Saa ya mkononi watu hununua zile za ghali ili kunyesha mafanikio yao, status.
Ni kweli watu wanafanya hayo, siyo kwamba wanajipendea, ni matokeo ya mafundisho potofu ya zamani kuhusu mafanikio

Wewe unatakiwa usifanane na hao

Wewe Nunua gari kali lakini usiseme ni mafanikio, jenga ghorofa lakini usiseme ni mafanikio

Mimi sioni ubaya wowote kumiliki hivyo vitu kama hela unayo, mhimu usiviunganishe hivyo vitu na mafanikio.
 
Unafikiri gari ya bilioni unslipia kama gari ya 10m? Kukopa gari kunafuata taratibu za mikopo. Kajamba nani huwezi kukopeshwa gari la bilioni.
Huwezi ndio. Lazima waangalie credit score yako na kazi yako.
 
Ni kweli, kwa sababu hata mwenye ist au Rav 4 anaweza kujiona tajiri, kumbe bado ni maskini tu, hawezi kumiliki Cadillac escalade.
Ndio hivyo. Mleta mada gari anayo ila mtoto wake kamwambia anunue gari kali ambalo si kila mtu anaweza.
Unafikiri kwanini IST zimejaa kuliko LC300? Kwamba watu wanapenda sana IST?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom