Nunua gari kali, jenga ghorofa

Nunua gari kali, jenga ghorofa

Nimekubali nini?

Nimekuambia wewe una low standards, unaendekeza maisha ya kuona kununua subwoofer ni achievement.

Wewe ni limbukeni na unamrithisha mwanao ulimbukeni.
Umebadilika! America teaches you kila unachokifanya ni achievement na unakubali, ila TZ inakufanya uone kila unachofanya kifiche, most of the people I have met, they never wanted nije niandike their inspirational stories ili watz nao wapambane kuja huko. So I understand the African social life ilivyoathiri, while you know bragging is just the life.
 
Unanikumbusha kitabu cha Paulo Coelho, The Winner Stands Alone... anasmea matajiri kuna muda wanatamani wasingekuwa na mali, ila wanashindwa kuzitupa hizo mali iliwaendelee na simple life.

It is greener on the other side... lakini hata wewe bado unaogopa kuacha simu yako ya gharama kwenda kuishi kama Chabba walau kwa mwezi tu... unaogopa hata kujichallenge kwa miezi mitatu (Sio life time)
Kama porini hakunipi furaha kwa nini nikaishi huko?

Chaaba anaishi porini na ana furaha. Porini ni sehemu yake inayompa furaha.

Ukimleta chaaba uraiani, atakosa ile furaha yake ya porini aliyoizoea.

The same way, ukinipeleka mimi nikaishi porini, nitakosa ile furaha yangu ya uraiani niliyoizoea.

Happiness comes from inside. Unaweza kuwa na mali usiwe na furaha. Na kuna wenye mali wana furaha.

Kuna maskini hawana furaha, kuna maskini wana furaha.

Furaha hutoka ndani ya mtu. Bila kujali yeye ni maskini au tajiri.
 
Umebadilika! America teaches you kila unachokifanya ni achievement na unakubali, ila TZ inakufanya uone kila unachofanya kifiche, most of the people I have met, they never wanted nije niandike their inspirational stories ili watz nao wapambane kuja huko. So I understand the African social life ilivyoathiri, while you know bragging is just the life.
Wewe na mimi hatujatoka katika class moja kwa hiyo kitu unachoona wewe achievement , ambacho kweli kinaweza kuwa achievement kwako, mimi kwa kuangalia standards za maisha zinavyotakiwa kuwa, naona ulimbukeni.

Na katika mimi kukuambia hilo, natumia haki yangu ya kujieleza tu.
 
Nilizurura naye sana kwa kuwa matokeo yake ya kidato cha pili ni mazuri. Kama umesoma zamani zangu taarifa ni kuwa siku hizi kidato cha pili kuna mitihani na matokeo yanatoka kitaifa, angalia necta utayaona. So, ilikuwa ni namna ya kumpongeza kwa matokeo yake pia
Mitihani yenyewe ya miaka hii ni rahisi sana huhitaji kutumia akili nyingi kama nyakati zetu

Mitihani rahisi sana kuna multiple choices hadi kwenye hesabu!

Ndiyo maana unaona hadi serikali imeruhusu waliofeli huo mtihani waendelee tu na kidato cha tatu, hii ni kwa sababu hata wao serikali hawachukulii serious sana mitihani hiyo, lakini wewe ukapoteza mafuta na muda kumtembeza mtoto kisa amefaulu form two
 
Mitihani yenyewe ya miaka hii ni rahisi sana huhitaji kutumia akili nyingi kama nyakati zetu

Mitihani rahisi sana kuna multiple choices hadi kwenye hesabu!

Ndiyo maana unaona hadi serikali imeruhusu waliofeli huo mtihani waendelee tu na kidato cha tatu, hii ni kwa sababu hata wao serikali hawachukulii serious sana mitihani hiyo, lakini wewe ukapoteza mafuta na muda kumtembeza mtoto kisa amefaulu form two
Ni falsafa tofauti!

Mimi napongeza mtoto kwa kila hatua, ila namshauri afanye zaidi. Inaleta sense kwamba nyumbani wanajali. Tofauti nilivyolelewa nakuja na A nyumbani full shangwe nakutana na kesi sijui sijafua nguo au sijui nimepiga nani and nobody cares kuhusu nilichofanikiwa. So ni kweli mitihani ni rahisi, ila wako waliopata zero.

And I value having quality time na mtoto.
 
Ni umaskini wa nchi zetu tu , ndio unasababisha watu Kuona kuwa na magari ndio mafanikio makubwa kiuchumi .
Viongozi wachawi wanaona kuweka makodi makubwa ndio ujanja yaani kana kwamba kuwa na gari ni anasa, wakati hayo magari yanakunywa mafuta ambayo nayo yana makodi kibao. Sheenzi kabisa mbwa hawa .
 
Magari yangemilikiwa kwa kupiga dua, hakuna ambaye angetembea kwa miguu!!!

NB:Nyuma ya hayo magari makali kuna hadithi kali pia.

Mwambie dogo akomae tu na kitabu atakuja kumiliki hata yeye!😀
 
Kifupi US gari kwa sehemu kubwa ni liability si asset. Asset ni nyumba.

Gari ukiinunua tu inashuka thamani na itaendelea kushuka thamani, ila nyumba kwa kiasi kikubwa inapanda thamani.

Mimi nilijifunza hilo nikiwa na miaka 13 kwa kusoma kitabu cha business cha baba yangu kinaitwa "Swim With The Sharks Without Being Eaten Alive" cha Harvey Mackay. Kuna sehemu alielezea kuwa unatakiwa kununua nyumba ya bei mbaya na gari la kawaida.

Ila kama unapenda magari na unataka kufurahisha mtoto ni sawa, mimi mwenyewe nime park BMW X5 na Mercedes Benz GLE 450 4Matic hapo nje. Ila siwezi kununua Tesla maishani mwangu ingawa uwezo wa kununua ninao.

Gari ni kifaa cha usafiri tu, ila kimasikini ndiyo inakuwa status symbol.
JF unaweza ukatishwa, ukashinda na mawazo siku nzima.
 
Kwanza USA 🇺🇸 hakuna mtu mwenye time na maisha ya mtu.

Hakuna wa kukupa heshima, eti kisa gari unalo endesha.

Usidanganye. It seems you haven't been there.

Gari ni kipimo cha mafanikio kwa maskini wengi Afrika. Sio USA.
Unaelewa maana yaneno “Fahari” ?

Jamaa hajazungumzia ili mradi gari anazungumzia gari za kifahari
 
Ni umaskini wa nchi zetu tu , ndio unasababisha watu Kuona kuwa na magari ndio mafanikio makubwa kiuchumi .
Marekani nilikwenda pahala kupata Gahwa....Yule aliyenihudumia anamiliki bonge la Chevrolet Silver rado.....
Baadae ndio nikaja gundua magari siyo issue..ukiwa na Credit card ina soma vyema ...wapewa mkopo..kila mwezi unawanyunyuzia mpunga kiduchu...

..Mfanya biashara atakaye tumia wazo hili bongo atapiga hela sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom