Kwanini alishangaa CDF kushindwa kuwaamuru madaktari ili aondolewe Hosptal?
Yeye kama AMIRI JESHI kwanini hakutoa amri hiyo?
Je,ni kwanini alikuwa na uwezo wa kufanya maandalizi ya kifo? Au kuna kitu alikiona kisicho kuwa sawa alitamani kukiepuka lakini protocol za kitabibu zilimzuia?
Vyovyote itakavyokuwa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Yeye kama AMIRI JESHI kwanini hakutoa amri hiyo?
Je,ni kwanini alikuwa na uwezo wa kufanya maandalizi ya kifo? Au kuna kitu alikiona kisicho kuwa sawa alitamani kukiepuka lakini protocol za kitabibu zilimzuia?
Vyovyote itakavyokuwa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.