Nukuu 10 za Jenerali Mabeyo

Nukuu 10 za Jenerali Mabeyo

10. Kulikuwa na baadhi ya mawazo, kwamba inakuwaje juu ya makamu wa rais kushika nafasi ya urais. Nadhani walisahau kuwa katiba ya nchi inasema nini, ikiwa rais aliye madarakani anafariki au akishindwa kuongoza. Nami nilisema ni vema utaratibu huo ukafuatwa na ni jambo jema
Waliokutana pamoja naye wote walikuwa viongozi wakubwa ambao wameapa kuilinda Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Lakini lilipofika suala la urais wote wamesahau viapo vyao.
 
Mzee Jenerali Mabeyo Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema, uishi maisha marefu yenye furaha.
Mzee umetimiza jukumu lako kizalendo, umeonyesha njia, vijana waige weledi na Uzalendo wako.
 
1. Magufuli aliomba akafie nyumbani kwake, maana alisema hawezi kupona.

2. Alishangaa nilipomwambia sina mamlaka ya kuruhusu hilo.

3. Aliomba aitiwe Paroko wake, Pd Makubi na Kard. Pengo ambao walifika na kumpa upako wa wagonjwa!

4. Alikata roho mbele yetu wakuu wote watatu wa vyombo vya usalama.

5. Makamu wa rais, Waziri Mkuu na Katibu Mkuu kiongozi hawakuwepo Dar. Tukaamua kuwaita Waziri Mkuu na Katibu Mkuu kiongozi ambao walifika na kuwapa taarifa ya msiba.

6. Ilibidi tutumie njia nyingine kumjulisha makamu wa rais ambaye ndiye alitakiwa kutangaza taarifa ya msiba.

7. Kulikuwa na mjadala kipi kianze kati ya mazishi na kumwapisha makamu wa rais kuwa rais.

8. Wengi walishauri yafanyike mazishi kwanza, lakini nilishauri uapisho uanze kwanza, kwa sababu marais wa nchi nyingine walitakiwa wapokelewe na rais wa nchi.

9. Lilikuja suala la gwaride la uapisho ambapo walishauri kusiwe na gwaride. NILIWAKATALIWA kwa sababu aliyekuwa anaapishwa ni amiri jeshi mkuu,na lazima bendera ya amiri jeshi mkuu ipandishwe kwa gwaride. Kinyume na hilo, jeshi LISINGEMTAMBUA kama amiri jeshi mkuu.

10. Kulikuwa na baadhi ya mawazo, kwamba inakuwaje juu ya makamu wa rais kushika nafasi ya urais. Nadhani walisahau kuwa katiba ya nchi inasema nini, ikiwa rais aliye madarakani anafariki au akishindwa kuongoza. Nami nilisema ni vema utaratibu huo ukafuatwa na ni jambo jema.
Hapo no 2 hapo kuna kitu kikubwa sana kilicho beba kifo cha jpm sema wasomaji akili hamna wala amjiulizi vp mkuu wa majeshi aseme sina mamlaka ya kutii amri ya RAIS (je mamlaka ilikuwa imeshikwa na wahaini)
 
Waliopaswa kutoa taarifa wote walikuwa Kenya kwa Uhuru Kenyata …
Waliogopa misheni yao ikibumburuka wata uliwa watu walikuwa wanatembea na pass port zao mkononi ....soma no 2 mkuu wa majeshi ana mjibu Rais sina mamlaka ya kukutii ....mnajua nini maana yake ? Je mamlaka ya mkuu wa majeshi ya kumtii rais iliondokaje tena kaandika kabisa Rais akashangaa ilo jibu ...watanzania tuwe tunatumia akili akili akili akili
 
Hapo no 2 hapo kuna kitu kikubwa sana kilicho beba kifo cha jpm sema wasomaji akili hamna wala amjiulizi vp mkuu wa majeshi aseme sina mamlaka ya kutii amri ya RAIS (je mamlaka ilikuwa imeshikwa na wahaini)
Ungekuwa wewe ndio CDF boss wako Yuko mahututi kazungukwa na ma Dr wabobezi katika hospital inayoaminika na viongozi wa serikali kwa ubora wake ungeamuru apelekwe Chato akatibiwe hospital ya mkoa?
 
Ungekuwa wewe ndio CDF boss wako Yuko mahututi kazungukwa na ma Dr wabobezi katika hospital inayoaminika na viongozi wa serikali kwa ubora wake ungeamuru apelekwe Chato akatibiwe hospital ya mkoa?
Hapo kuna tofauti ya kukataa amri na ushauri huyo cdf kakataa amri kwa mtindo alio tumia amesema hana mamlaka...sasa hapo kwenye mamlaka ndiyo kwenye shida hadi JPM akagundua kuna kitu ...swali mamlaka yalikuwa chini ya nani? Maana cdf alitakiwa tu kumkatalia kwa sababu za kimatibabu..
Pia niambie kwanini kipindi cha mwisho kuna viongozi walikuwa mbali tena wakiwa na pass port zao kabisa kama samia nk tayari kukimbia nchi ..pia niambie kwanini mke wake au watoto hatuoni wakiwa hapo karibu na mgonjwa nyakati za mwisho kwani jpm alikuwa anauguzwa na cdf kwanini mke wake asiwepo karibu .. wewe uoni kuwa kuna udhibiti ulifanyika hapo hospital ndiyo maana hadi sasa kuna sinto fahamu ...kuna siku mke wake kakanusha kuhusu ugonjwa alio sema samia
 
Hii namba kumi ndiyo inayochafua hadhi na heshima ya akina Kabudi, Bashiru na Ndugai.
Nani kamtaja bashiru, kabudi na ndugai kwenye hoja ya mabeyo?!. Au mabeyo mwenyewe umemsikia akiwa taja hao watu?!.ni kweli ujinga ni mzigo,lkn upumbavu wako ni janga.
 
1. Magufuli aliomba akafie nyumbani kwake, maana alisema hawezi kupona.

2. Alishangaa nilipomwambia sina mamlaka ya kuruhusu hilo.

3. Aliomba aitiwe Paroko wake, Pd Makubi na Kard. Pengo ambao walifika na kumpa upako wa wagonjwa!

4. Alikata roho mbele yetu wakuu wote watatu wa vyombo vya usalama.

5. Makamu wa rais, Waziri Mkuu na Katibu Mkuu kiongozi hawakuwepo Dar. Tukaamua kuwaita Waziri Mkuu na Katibu Mkuu kiongozi ambao walifika na kuwapa taarifa ya msiba.

6. Ilibidi tutumie njia nyingine kumjulisha makamu wa rais ambaye ndiye alitakiwa kutangaza taarifa ya msiba.

7. Kulikuwa na mjadala kipi kianze kati ya mazishi na kumwapisha makamu wa rais kuwa rais.

8. Wengi walishauri yafanyike mazishi kwanza, lakini nilishauri uapisho uanze kwanza, kwa sababu marais wa nchi nyingine walitakiwa wapokelewe na rais wa nchi.

9. Lilikuja suala la gwaride la uapisho ambapo walishauri kusiwe na gwaride. NILIWAKATALIWA kwa sababu aliyekuwa anaapishwa ni amiri jeshi mkuu,na lazima bendera ya amiri jeshi mkuu ipandishwe kwa gwaride. Kinyume na hilo, jeshi LISINGEMTAMBUA kama amiri jeshi mkuu.

10. Kulikuwa na baadhi ya mawazo, kwamba inakuwaje juu ya makamu wa rais kushika nafasi ya urais. Nadhani walisahau kuwa katiba ya nchi inasema nini, ikiwa rais aliye madarakani anafariki au akishindwa kuongoza. Nami nilisema ni vema utaratibu huo ukafuatwa na ni jambo jema.
Namba moja #1..ndio point kubwa....Magufuli ni mwanasayansi aliona wazi kilichofanyika akapata uhakika kwamba wamemmaliza....
 
Samia amshukuru Mungu kwa kuwepo mtu kama Mabeyo.

Ila baada ya hiyo mbeleko alichokifanya ni kukimbilia lile genge la mafisadi ya msoga.
Halafu kuna umbea wao ndio....ndege kudunguliwa....wakajiving roll mama alirudi dar kwa njia ya maji.
 
Nani kamtaja bashiru, kabudi na ndugai kwenye hoja ya mabeyo?!. Au mabeyo mwenyewe umemsikia akiwa taja hao watu?!.ni kweli ujinga ni mzigo,lkn upumbavu wako ni janga.
Pole sana ndugu Bashiru kwa maumivu ya jiwe la gizani.
 
Back
Top Bottom