Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
Mkuu am single jamani mbona una hila nami?????
Wow! Please CAN I WIFE you?
Mkuu am single jamani mbona una hila nami?????
Uoga tu unakusumbua.
Kwani ukipiga deki unakua kilema??
Will you stop that pliizz???
Kupiga deki ni kitu tofauti na kukusupport.
Ukinisaidia kupiga deki haimaanishi kuwa I can't help you achieve your goals as my husband.
au charminglady kila mwanaume anamtaka?
Siamini hivyo Evelyn Salt, ntampata mmoja mzuri na mrembo kama wewe...ila siye na 'challenge' kama wewe! (am even shocked ayo maudhi umeyaita challenge!!!!):nono:
Nani sasa...
- Evelyn Salt anayeniita mbahili
- Smile anayeona kila mwanaume ni mbaya
- Asnam anayetaka shopping Itally alafu tunaishi nyumba ya kupanga
- Kipipi anayetaka haki sawa ndani..yeye akipika mimi napiga deki?
- au nani sasa??!
Siamini hivyo Evelyn Salt, ntampata mmoja mzuri na mrembo kama wewe...ila siye na 'challenge' kama wewe! (am even shocked ayo maudhi umeyaita challenge!!!!):nono:
tatizo lako unacompliketisha mambo wewe shauri ako utazeeka hujapata mke.......
ukitaka mmoja wapo kati ya hawa ni easy tu!!!
Evelyn Salt na Asnam .....tafuta hela uache ubahili na ufanye hiyo shopping inayotakiwa.
Kipipi mi sioni tatizo wewe kudeki wakati ye akiosha vyombo hayo ndo mapenzi yenyewe sasa.
hapo kwa Smile ishu nyingine tena, utahitaji kazi ya ziada ili ajue wewe si kama wanaume wengine.
Hahah bahati nzuri niko very simple but reasonable.
Nani sasa...
- Evelyn Salt anayeniita mbahili
- Smile anayeona kila mwanaume ni mbaya
- Asnam anayetaka shopping Itally alafu tunaishi nyumba ya kupanga
- Kipipi anayetaka haki sawa ndani..yeye akipika mimi napiga deki?
- au nani sasa??!
MMh! Hawa hawapatikani Dar, Mwanza wala Arusha. We nenda ukajipatie raha kijijini ndo wamebaki.
Oooh kumbe..
haya njoeni hapa mueleze mlikotokea wapendwa; charminglady, Asnam, Kipipi, Evelyn Salt na zanzsco!!!:yo:
mie kwetu gamboshi,Bariadi ni mji maarufu hutapotea kabisa ukifika ulizia mzee Mayala teh teh tehOooh kumbe..
haya njoeni hapa mueleze mlikotokea wapendwa; charminglady, Asnam, Kipipi, Evelyn Salt na zanzsco!!!:yo:
kijijini wapo wakina zubeda.....!!!!!!!
mimi natoka MWANZA
naomba ww uwe salama mie Master J nikusaidie kuangalia mwenye unafuu,mi nimejitoa kwenye mashindano lohNgoja nifikirie afadhali ni yupi hapo!!!
simple n reasonable...:A S 39:
kumpata unayemtaka kwa kupitia macho na maneno ya watu utasubiri sana rafiki weka kitu ndani ujionee mwenyewe
Mentor too much theories bana just amua and utaona.
hivi huoni dada zako jamani tunavyoish ama unafikiri tuliondoka home na akili za mama ama mama yetu ndo alilea kwa maadili pekee??