NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

Status
Not open for further replies.
ingawa baadhi ya comment na thread za "Gentamycine" ni za kipumbavu ila huwa naheshimu sana baadhi ya mambo anayopost na ku comment, huyu GENTAMYCINE aliwahi kuleta thread hapa ya udini hapo nssf watu wakampinga na wengine kumtukana, ila kubali kataa gentamycine aliongea ukweli kabisa.
 
Mnaanza kutoa shindikizo ili kila shirika kubwa awekwe mkristo. Rais ni mtu wa wote msianzishe udini nyie mletao hoja.

Kuna watu humu wa nadhani.kuwa hatua zinachukuliwa kwa misingi ya udini, Hapana. Msilete hoja za kidini leteni hoja zenye maslahi ya taifa. Taifa hili ni moja na watu wake ni wamoja. Mimi nilidhani kuna hoja ya ubadhilifu nssf kumbe mleta Uzi analeta hoja ya kidini. Wote waliochukuliwa hata serikali imetoa maelezo ya kutosha. Tuiunge mkono serikali kwa kuhimiza umoja wa kitaifa.
 
Mtoa post utakuwa na matatizo makubwa ndani ya ubongo wako maana unaandika vitu hata taahira hawezi kuviandika na hayo ni matokeo ya chuki na udini unaokusumbua ambao umetengeza tatizo linalokaribiana na kansa ya ubongo kwa kushindwa hata kuandika vitu vyenye kueleweka ! Unatia mashaka hata uwezo wako wa kitaaluma na huenda hata hiyo kazi yenyewe ulibebwa!Unafikiri dkt.magufuri ni rais wa wakristo tu au wadhani wakristo ndio wanye haki pekee ya kufaidika na rasilimali za nchi hii na kushika nafasi za uongozi katika serikali na taasisi zake ?Au unadhani rais anafanya kazi kwa kutumia taarifa za kimajungumajungu na wivu wa kike kama zako?Kwanza tuambie wewe ni nani ndani ya shirika na upo kitengo kipi na ofisi ipi?Pili tuambie nani na nani walifukuzwa kwa sababu ya dini zao ndani ya shirika?na hao staff wanatoka idara zipi? mkoa ama wilaya ipi? Halafu zaidi kama unaona una ishu serious si uziandikie mamlaka husika juu ya suala hilo? Nakutahadharisha kuwa makini na posts zako kwani majukwaa haya si kwa ajili ya uchochezi na wala usidhani ukipost upumbavu na mambo ya kibaguzi kama yako na kutaka kuharibu image za watu wengine dola itakunyamazia! Kwa kifupi inaonyesha wewe ndio kati ya wale mnaohujumu shirika kwa dhumuni la kumkomoa dg ili aonekane hafai na kwa bahati mbaya sana hila zenu,matendo yenu machafu yanafahamika si tu na dg bali hata na idara nyeti ndani ya serikali yetu. Kumbuka aliyepewa kapewa tu na huwezi kumpokonya kwa chuki zako za kijinga! Kadhalika fahamu huyo unaemchukia ataondoka hapo kwa mipango ya mungu tu na pale muda wake ukifika na wala si kwa vipost vya kishambenga kwani tumeshawazoea!!!
 
Kuna Siku Nilieleza Humu Huo Udhaifu Wa NSSF Hasa Kwa Kiongozi Wake Mkuu Kwa Tabia Yake Ya Kuendekeza UDINI Nikaeleweka Vibaya Sasa Leo Mkuu Huyu Amelileta Hivyo Bishieni Na Hili Tena. Dau ACHA UDINI Unawakwaza Watu Mno Hapo Hivi HUJISHTUKII Tu?

Wewe na huyo tutajuaje kama siyo team moja ya udini au multiple ID?! By the way, hawa watu wa cross ni wabinafsi sana. Kila taasisi wanataka wawe wengi peke yao, hivi ni kwa nini?! Nakumbuka kwa kuwa Mkuu wa Udom na Mkuu wa mambo ya Utawala pale Udom nae ni Islam, zilianzishwa thread za kidini humu Jamii Forums zikijadili Udini UDOM.Inafika wakati hadi inatia kinyaa!.Acheni udini huo!
 
Ni kumbukumbu zangu hata niliposajiliwa shule ya msingi niliulizwa jina, dini, na kabila. Nahisi kipindi hicho kwa hoja zako ubaguzi utakua ulikua mkubwa sana
 
Tafakuri makini, nakuusia ndugu yangu fanya kazi ili urithi cheo cha doc dau ili urekebishe hilo tatizo
 
Huu UDINI mnaouzungumzia ndugu zangu ni wa aina gani!? Mr Dau amefanya nini kuashiria huo UDINI wake!? Wafanyakazi mnalazimishwa kuswali Swala 5 kazini? Toeni ufafanuzi ili tujue tunawasaidia vipi ndugu zetu. Otherwise itaonekana Kama ni Majungu na chuki binafsi.

Na kwa kuongezea tu, jee hakuna wawakilishi wa vyama vya wafanyakazi wa kuwatetea hao wasio waisilamu wanaofukuzwa ovyo?

Hebu wacheni majungu jamani
 
Mh Rais naomba nilete yangu malalamiko maana najua hili utalisikia,katika huu utawala ni wakuwasikiliza wanyonge sisi watumishi wa NSSF tunabaguliwa sana hasa wale ambao si waislam wengi wamefukuzwa kazi kwa sababu za udini tunaomba ofisi yako uingilie kati hili tatizo NSSF nishirika la umma lakini utadhani ni shirika la BAKWATA hii inatia simanzi katika hili taifa lisilo kuwa na udini!.Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais Magufuli kwani yupo katika mapambano makali yanayohitaji maombi ya taifa.

Wewe ni Adui wa Dr.Magufuli unajaribu kutaka kumtoa kwenye Ajenda ya kupambana na wezi na wabadhirifu. Eleza uovu wa Dr.Dau kiudini ili ueleweke badala ya kutaka kumtoa kwny ajenda.kuna adui mwingine kasema Bade wa TRA kafukuzwa kwa Uislam wake, Adui mwingine anaitwa Ben saanane nae kasema bade kafukuzwa kwa ..... Sio ishu ya makontena ya bandari. Kuweni wazalendo
 
Mkuu kwakuwa serikali ina idara za usalama watajua ni nini tunaongelea kama unajitoa fahamu kutojua tunacho ongelea maana hata kama ujui kusoma basi picha uoni???basi kwakuwa kasema kila mtumishi wa serikali ataeleza mali zake kazipataje tusubiri hata gorofa la mkurugenzi ataulizwa pia hapa kazi tu! Maana interview wanaulizwa majina ya kiislam leo unajifanya ujui???

Gorofa lake pia ni udini..funguka kafanya nn..acha kubwabwaja tu
 
BAKWATA na NSSF wapi na wapi? wewe unayelalamika inaonesha ndiyo mdini mkubwa! mbona hujaeleza huo udini mnaofanyiwa?
 
Tatizo la Wakirsto wa Tanzania uwa wanaona wanawafanyia hisani Waislam.

Kuanzia sasa hivi tuangalie idara zote za serikali, wizara mashirika ya umma tuwe na ratio kati ya Waislam na Wakirsto.

Yaani sehemu Waislam wakipata ajira ndiyo udini lakini wizara zote na mashirika ya umma kujaa wafanyakazi Wakirsto ni sawa

Hii nchi tunapoelekea siyo kuzuri Waislam nao wakianza kutoa madai yao wanavyo kosa ajira serikalini sijui itakuaje.
 
hii dini ya mazombie haina hata aibu,hivi nchi hii tukisema twende 50/50 si mtalia nyie,toka enzi za mkatoliki mwenzenu ni mfumo kristo kila mahala,we mleta mada upo katika siku zako sio bure,upuuzi mtupu.
 
Mkuu si chuki binafsi mimi ni mdau mkubwa wa NSSF pale kuna shida kubwa sana bil ushabiki wowote NSSF ni tofauti na mashirika ya umma ya kawaida wana udini mkubwa sana wa hadharani

sasa heading mbona inaongelea upande mmoja?
 
Wengi humu watabisha kuhusu asemalo mtoa mada lakini sisi ambao tumepita ktk korido za nssf tunamuunga mkono kua pale kuna tatizo tena kubwaa. Jaribu kwenda pale makao makuu utapata picha ya akisemacho mtoa mada,yaani ni akina Salim..Hamis na ni ushungi na ma hina tuu ndo tele palee. Si kwamba wanafanya kazi vibaya hapana ni kawaida tuu lakini kibaya ni dhana ya ubaguzi wa dini ktk kupata fursa pale. Kwa kweli watu niwajuao ktk kazi pale 90% Muslims. Labda ni macho yangu ya ki binadamu yaliona vibaya na nikawa biased ktk udini japo mimi syo mdini na ninaamini ktk usawa wa binadamu. Niko tayari kukosolewa kwa hoja ktk hilo suala la hapo nssf

Leteni data kamili za idadi ya wafanyakazi wa dini mbali mbali kwa mashirika kama kumi hivi halafu tulinganishe ratios.
 
Wengi humu watabisha kuhusu asemalo mtoa mada lakini sisi ambao tumepita ktk korido za nssf tunamuunga mkono kua pale kuna tatizo tena kubwaa. Jaribu kwenda pale makao makuu utapata picha ya akisemacho mtoa mada,yaani ni akina Salim..Hamis na ni ushungi na ma hina tuu ndo tele palee. Si kwamba wanafanya kazi vibaya hapana ni kawaida tuu lakini kibaya ni dhana ya ubaguzi wa dini ktk kupata fursa pale. Kwa kweli watu niwajuao ktk kazi pale 90% Muslims. Labda ni macho yangu ya ki binadamu yaliona vibaya na nikawa biased ktk udini japo mimi syo mdini na ninaamini ktk usawa wa binadamu. Niko tayari kukosolewa kwa hoja ktk hilo suala la hapo nssf

pumbavu wewe,kila ofisi ya umma mmejazana nyie hata hizo chache ambako waislam wapo pia mwazitaka mnawashwa sio bure.
 
Wengi humu watabisha kuhusu asemalo mtoa mada lakini sisi ambao tumepita ktk korido za nssf tunamuunga mkono kua pale kuna tatizo tena kubwaa. Jaribu kwenda pale makao makuu utapata picha ya akisemacho mtoa mada,yaani ni akina Salim..Hamis na ni ushungi na ma hina tuu ndo tele palee. Si kwamba wanafanya kazi vibaya hapana ni kawaida tuu lakini kibaya ni dhana ya ubaguzi wa dini ktk kupata fursa pale. Kwa kweli watu niwajuao ktk kazi pale 90% Muslims. Labda ni macho yangu ya ki binadamu yaliona vibaya na nikawa biased ktk udini japo mimi syo mdini na ninaamini ktk usawa wa binadamu. Niko tayari kukosolewa kwa hoja ktk hilo suala la hapo nssf
Nyie viumbe mna roho mbaya sana ulitaka uone majina ya Paul, Steven, Peter na wamevaa misalaba ndiyo roho yako ifurahi? Upendi kumuona mtanzania kavaa hijabu utaka atembee mabaja wazi na maziwa wazi ndiyo siyo udini nyie mapunguani ipo siku mtafanya hii nchi watu wachinjane.
 
Hesabu ma RC, Ma DC na wakurugenzi wa majiji, manispaa, miji na h/wilaya ikiwemo RPC na OCDs, utaona waislam ni wangapi?
 
Kua mdau mkubwa wa nssf bado haijawa hoja ya udini was dr dau. Au ndo mlizoea kupiga mnaona anaziba mianya mnaanza majungu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom