NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

Status
Not open for further replies.
Binafsi nilifanya field nssf pindi nikiwa chuo..nimeliona hilo sio kitu cha ajabu kwao,management imechanganyika lakini asilimia kubwa ni udini umetawala kwa wafanyakazi wake yaani udini upo hili jambo lipo naongea sibahatishi wala kukurupuka nimeliona na kulithibitisha.
 
Kwahiyo udini ukitokea tukae kimya eee, eti kisa kuogopa karn au kwa vile kuna ufukara MTU akitenda maovu lazma aambiwe hata kama ni karn ya 30

Moja ya dalili ya mtu aliyekata tamaa na fukara wa mawazo ni kulalamika...by the way nchi yetu ina utaratibu wa kupeleka mawazo pale ambapo unaushahid wa jambo ok tu ashumu nssf wanafanyya hvyo umebwatuka hapa imekusaidia nn mi nadhani nssf haiwez kuwa daraja la kukuvusha kwenda kipato cha kati pigeni kaz maendeleo hayataletwa na taasisi flan kila mtu atakula jasho lake ukitegemea kuajiriwa utaishia kulalamika cjui umekula maharagwe ya wapi weweeee..unawaya waya weweee
 
Waambie waambie!wameanza kisa DAU ni muislamu.


2011 walitangaza kazi zaisi ya 100, walioitwa kwa ajiri ya Interview walipewa namba ila walipofika chumba cha kupigia pepa (written) wakasisitizwa waandike MAJINA YAO..sasa zile namba walizopewa mara ya kwanza zilikua ni kwa ajiri ya nini?
Ijumaa office nzima imevaa sendoz, kanzu na baragashia.
 
unapotoa mada kama hizi inabida uwe na ushahidi sio kukurupuka tu, unataka kuniambia walioajiriwa NSSF ni waislamu pekee? hii kitu haingii akilini kwa mtu mwenye kufikiri kwa kina. Udini unauanzisha wewe.....................................
 
2011 walitangaza kazi zaisi ya 100, walioitwa kwa ajiri ya Interview walipewa namba ila walipofika chumba cha kupigia pepa (written) wakasisitizwa waandike MAJINA YAO..sasa zile namba walizopewa mara ya kwanza zilikua ni kwa ajiri ya nini?
Ijumaa office nzima imevaa sendoz, kanzu na baragashia.

Kama kuandika majina ni udini tarehe 6 mwezi huu interview ya PPF tumeandika majina then kwani sandles, kofia na kanzu umemeza kuwa anayevaa ni muislam hayo nimavazi kama mavazi mingine kwani uoni ambao sio waislam wanavaa au umeambiwa ukivaa kofia, kanzu na sandles utapata zambi vaa na ww! Wacha jazba jiandae ukienda kwenye interview ufaulu upate kazi visingizio bila uthibitisho ni chuki hizo
 
Kama kuandika majina ni udini tarehe 6 mwezi huu interview ya PPF tumeandika majina then kwani sandles, kofia na kanzu umemeza kuwa anayevaa ni muislam hayo nimavazi kama mavazi mingine kwani uoni ambao sio waislam wanavaa au umeambiwa ukivaa kofia, kanzu na sandles utapata zambi vaa na ww! Wacha jazba jiandae ukienda kwenye interview ufaulu upate kazi visingizio bila uthibitisho ni chuki hizo

Huu ndo tunauitaga "ubishi wa jihad"! Hata hilo nalo linahaja ya kutolewa maelezo kweli?
 
Kama kuandika majina ni udini tarehe 6 mwezi huu interview ya PPF tumeandika majina then kwani sandles, kofia na kanzu umemeza kuwa anayevaa ni muislam hayo nimavazi kama mavazi mingine kwani uoni ambao sio waislam wanavaa au umeambiwa ukivaa kofia, kanzu na sandles utapata zambi vaa na ww! Wacha jazba jiandae ukienda kwenye interview ufaulu upate kazi visingizio bila uthibitisho ni chuki hizo

Aisee umeambiwa kila ijumaa saa 7 ofisi zinafungwa wanaenda kusali, jibu vizuri sio unachagua kipengele cha kujibu ,
Tupe majibu bwana
 
Kama kuandika majina ni udini tarehe 6 mwezi huu interview ya PPF tumeandika majina then kwani sandles, kofia na kanzu umemeza kuwa anayevaa ni muislam hayo nimavazi kama mavazi mingine kwani uoni ambao sio waislam wanavaa au umeambiwa ukivaa kofia, kanzu na sandles utapata zambi vaa na ww! Wacha jazba jiandae ukienda kwenye interview ufaulu upate kazi visingizio bila uthibitisho ni chuki hizo

What was the essence ya kutupatia namba before?
 
Aisee umeambiwa kila ijumaa saa 7 ofisi zinafungwa wanaenda kusali, jibu vizuri sio unachagua kipengele cha kujibu ,
Tupe majibu bwana

Mkuu kwa kawaida tunajua ijumaa sa7 ni muda wa swala kwa wale muslims na hata jumapili ni muda wa sala kwa wale walio wakristo tatizo unaloona wewe ni kwanini wafunge ofisi sa7 waende kuswali me naona sidhani kama wakisha swali hawarudi kazini na kama hawa rudi ilo ni kosa napia sifikirii kama katika nchi yetu kuna muajiri anaye mkataza mfanyakazi wake kufanya ibada awe muslim ama mkristo au dini yeyote ile hususani hatakama yuko kazini na kurudi kuendelea na kazi!
 
Tatizo mmezoea kuona wakristo wengi kwenye maofisi,mkiona waislamu watano wamevaa hijab mnalalamika eti kampuni ni ya waislamu.Na kama unajua NSSF wanavaa kanzu kwa nini na wewe ulipokwenda kwenye usaili usivae hiyo kanzu ili uchaguliwe?
Acha fikra potofu NSSF hakuna udini wala ukabila uzuri wake mkurugenzi wao ni muislam anyejitambua ndio mana mnasema kuna udini mbona kuna wakristo wengi tu tena kushinda hata ho waislam.
 
Ally kombo uislam ni dini ya kweli kwako siyo kwa wote usidhani wote wanaamin uislam,ndo maana hata mm siyo muislam.Wala si wote wanaolalamikia udini kwani ushahidi siyo wote wanao.
 
Kwa dsm branches and HQ ni kweli kama alivyoandika mtoa mada, sasa sijui kwa Upcountry Branches
 
Tatizo ni mfumo kristo haukuzoea kuona tasisi moja kuingozwa na muislam kwa mafanikio. Mara nyingi huwa wanatamani wawe wao tuuu kila mahali.
Mifuko hii ya penseni ipo zaidi ya 6 na yote ukiondoa nssf inaongozwa na wakristo na majority ya wafanyakazi ni wa mfumo.

Sasa hivi waajiriwa katika serikali na taasisi zale waajiriwa zaidi ya asilimia 80 ni wakristo na bado tuna amani japo tunalalamika. Asilimia hii sio kwa kigezo cha elimu bali upendeleo wa dini na ukabila.
Waislam wapo kimya juu ya ombwe hilo....
Sijui itakuwaje siku wakristo ndio wawe 20% !!
Sidhani kama mtakaa kama sisi ....hamtivumilia
 
Binafsi nilifanya field nssf pindi nikiwa chuo..nimeliona hilo sio kitu cha ajabu kwao,management imechanganyika lakini asilimia kubwa ni udini umetawala kwa wafanyakazi wake yaani udini upo hili jambo lipo naongea sibahatishi wala kukurupuka nimeliona na kulithibitisha.

kuna msomali yuko pale nssf kisa ni muislam ni hatar sana pale.
 
Acheni uchochezi na wivu wa kike, crdb na mashirika mengine mengi tu wala haina haja ya kuyaweka kwasababu si busara kufanya hivyo yana wakristo hadi 90% hamuoni?, ila mkiona mtu kavaa hijab tu nyie mnaumia acheni hizo bana
Unabisha kitu gani wakati mambo yako wazi hijabu hijabu Kila kona
 
Unabisha kitu gani wakati mambo yako wazi hijabu hijabu Kila kona

Ulitaka wave vimini na visinglendi makwapa wazi kama wanavyovaa dada zako pale TRA au? Kuna tatizo gani wakivaa hijabu?? Sijui umekula maharage ya Wapi weweeee!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom