Nsaidieni jinsi ya kumwacha huyu

Nsaidieni jinsi ya kumwacha huyu

yan.mda wote huo unaish nae kimzaha zaha.. walah ningekua n mm then nayajua hayaaaa!! sumu ya panya ingekuhusuuu!! huu n udharrshaj.. pili jmemfumua marinda mara ngp leo ndo ufunguke hayo?? nawatafta sana pple lyk yu
 
wanaume cjui mpoje yani,mwaka mzma unamtumia usiku na mchana na sasa hivi unamuona hana viwango? huyo mtoto umemjua ghafla au ulikuwa unajua mapema?
ushauri wangu,mwambie kuwa umetafutiwa mchumba na huwez kumkataa hii ni endapo hafahamu kwenu AU fanya kuhama umuache hapo uwe u.arud cku mojamoja ili ajue umemchoka....Mungu.ampe nguvu huyo dada maana mwanaume wewe ni kiboko
 
Nimekusikia nitakufikia, yaani wewe ukae na binti yangu mwaka mzima, umemgeuzageuza wee alafu leo unataka kumuacha kwa visababu vya kuokoteza. Jaribu uone, kuwa na huruma na ujaribu wewe kuwa yeye. Ukithubutu hakika nakutoa kishipa.
 
Wanaume wengi tunapenda sana kupewa papuchi lakini ruala la kuoa linakuwa mtihani hasa kwa demu ambaye umemgegeda kwa muda mrefu bila ndoa.

Kama ni makosa ulisha yafanya kilichobaki ni kufanya maamuzi yatakayo kusaidia ktk maisha yako. Kuna advantage kwa huyo demu uliye naye ambazo nahisi tayari ulisha ziona na ndo maana uliishi naye mwaka mmoja mzima ila kinachokusumbu ni tamaa au maneno ya washikaji zako kazini kuhusu ndoa. Maana ukiweka masikio yako wazi na kufanyia kazi kila unachosikia hutaishi na mwanamke yeyote maana mi ni mfanyakazi najua haya mambo yapo.

Kwanza unatakiwa kutambua kuwa wanawake nao wapo wenye gundu ukimuoa tu mambo yako hayaendi vizur yani kila kitu kinakuwa na mkosi, sasa kwa huyo demu je, shughuli zako zinakwenda vzr? Kama mambo yako yamenyooka mi nakushauri kafunge ndoa kabisa acha uzinzi. Huyo demu anakufaa kwanza kwa sababu umeshamuelewa tabia yake uwezo wake na baadhi ya sifa nyingine amabazo hujatuambia. Acha tamaa unaweza kupata ambaye haeleweki ukajinyonga wewe take care.
 
wanaume cjui mpoje yani,mwaka mzma unamtumia usiku na mchana na sasa hivi unamuona hana viwango? huyo mtoto umemjua ghafla au ulikuwa unajua mapema?
ushauri wangu,mwambie kuwa umetafutiwa mchumba na huwez kumkataa hii ni endapo hafahamu kwenu AU fanya kuhama umuache hapo uwe u.arud cku mojamoja ili ajue umemchoka....Mungu.ampe nguvu huyo dada maana mwanaume wewe ni kiboko

Mi nilidhani kwa lawama ulizozitoa utatoa ushauri wa kuwajenga pamoja kumbe bado unataka ubomoe kabisa? kweli kazi ipo kwa washauri wa siku hizi.
 
The boss hiyo yako imekaa kibedui zaidi, unaweza kuua mtu mkubwa.
 
Selfish mother fuc.ker. Hivi unajua mwaka mmoja maana yake ni nini? halafu unasema usimpotezee muda. Hivi unajua ni wangapi wamemruka kwa kujua upo nae? My ndugu try your level best to identify her talent. Jua kipaje chake na tumia hapo kumuendeleza. Hivi angekuwa dada yako mtu amfikirie hivyo ungejisikiaje? Maisha hayana rehearsal my ndugu. Anzia hapo ulipo msonge mbele. UKimuacha utakayekutana nae ataanzia kukupanda kichwani, ukikohoa tu atasema ndoo maana uliachika wewe. Kama form 3 amekushinda, utaweza A level wewe?
 
Mjinga huyo....sikushauri umuoe hata kwa nini.....atakutishia kujinyonga au kukuua for any and each misunderstanding.

kuna wadada watata ukicheza nae anajiua kweli jamaa kaingia cha kike.inabidi ahame nyumba kimyakimya ndio solution
 
ulijua kuwa amezaa kwa nini ulimpenda? na baadae mkaanza kukaa pamoja?, elimu sio kigezo labda useme ushakula wee sasa unataka new brand na unaona kama anakubania rizki zingine. unaeza ukamuacha ukapata mwenye elimu lakini pia hana akili ya hiyo elimu yake. lakini huyo ushazoeana nae ni rahisi kurekebishana pale mnapokoseana. kwa hiyo angalia sana la sivyo utapata koroma.
 
Habari zenu wana jf, nsiwachoshe na salaam nyingi natumai ni wazimaOk mimi nina girlfriend ambaye kaishia form 3, mapenzi naye nilianza kama mzaa vile, lakini badae nikajikuta nimezama mazima, yeye hana kazi na nmejaribu kumtafutia sehemu nyingi lakini hataki kwenda kwani hajiamini na anaogopa sana ki-english, nami sina sehemu nyingine ya kuntafutia zaidi ya sehu hizo mana ndo wengi nawafahamu.Kiukweli naona napoteza na kumpotezea mda mana siwezi kumuoa kwa sababu hizi1: kwanza hajiamini hata kidogo,2: Alishazaa mtoto mmoja na jamaa flani huko nyuma na mimi siwezi oa mtu aliyesha zaa, ( huu ni uamuzi wangu samahani kwa wale watakaohisi nmewakosea ama siko sahihi)3: Elimu ni changamoto nyingine mana napenda mtu wa kusaidiana maishaSwala lenyewe sasa:Mara nyingi tunapogombana huwa anakimbilia kijiua na alishantamkia kuwa kama ntaamwacha basi maisha yake yataisha siku hiyo, hivi hili limekaa aje kisheria? Will I be held guity?Kwa sasa nina kaa naye na ni mwaka saa natamani haya siku moja niende kazini na nipitilizie huko huko.Jamani niko katika hali ngumu maana sijui nini cha kufanya, wana jf nawategemea sana kwa ushauri wenu juu ya hili, thanks
Ukae na mtu mwaka mzima alafu ndo uone hana sifa! hujukua kuwa ana mtoto?, kwanini uliamua kuishi naye? anyway lakini jaribu kutulia Kwanza sababu ikitokea akajiua mikononi mwako utawajibika mkuu
 
We jamaa mngese kweli. Sasa uliishi naye wa nini kama ulikuwa unajua yote hayo toka mwanzo:angry::angry::angry:
 
Habari zenu wana jf, nsiwachoshe na salaam nyingi natumai ni wazima

Ok mimi nina girlfriend ambaye kaishia form 3, mapenzi naye nilianza kama mzaa vile, lakini badae nikajikuta nimezama mazima,

yeye hana kazi na nmejaribu kumtafutia sehemu nyingi lakini hataki kwenda kwani hajiamini na anaogopa sana ki-english, nami sina sehemu nyingine ya kuntafutia zaidi ya sehu hizo mana ndo wengi nawafahamu.

Kiukweli naona napoteza na kumpotezea mda mana siwezi kumuoa kwa sababu hizi
1: kwanza hajiamini hata kidogo,

2: Alishazaa mtoto mmoja na jamaa flani huko nyuma na mimi siwezi oa mtu aliyesha zaa, ( huu ni uamuzi wangu samahani kwa wale watakaohisi nmewakosea ama siko sahihi)

3: Elimu ni changamoto nyingine mana napenda mtu wa kusaidiana maisha

Swala lenyewe sasa:

Mara nyingi tunapogombana huwa anakimbilia kijiua na alishantamkia kuwa kama ntaamwacha basi maisha yake yataisha siku hiyo, hivi hili limekaa aje kisheria? Will I be held guity?

Kwa sasa nina kaa naye na ni mwaka saa natamani haya siku moja niende kazini na nipitilizie huko huko.

Jamani niko katika hali ngumu maana sijui nini cha kufanya, wana jf nawategemea sana kwa ushauri wenu juu ya hili, thanks
Duuu...hiyo imekaa kushoto kweli,labda uende polisi,uwaambie amesema nikimuacha atajiua ili kweli ukimuacha wasijesema kafa kwa sababu yako then ndio umwambie ukweli,akizingua unampa ile RB ya polisi ajue hata akifa we hauna kwere,hapo anakutishia tu!
 
Anza kujiua wewe maana akijiua yeye kwanza ni matatizo kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom