Nsaidieni jinsi ya kumwacha huyu

Nsaidieni jinsi ya kumwacha huyu

Tatizo hapa ni kuwa nakaa naye, waweza nipa maujanja ya kumpotezea? Mana kila jion lazima nrudi home
kwa kua unaishi nae,
beba nguo na viatu vyako sepa
wewe si ndio humtaki? mwachie
rum na samani zilizopo!!gud luck
 
Tatizo hapa ni kuwa nakaa naye, waweza nipa maujanja ya kumpotezea? Mana kila jion lazima nrudi home

nkupe life experience yangu labda itasaidia, jifanye kama umepata safari ya ghafla...usiogope kumuaga na kumjulisha hali yako kwa kipindi chote cha safari ili ajue ni yy tu hakuna mwngine, ukiwa safarin(yaani siyo necessary safari bt uakua umebana tu kwa mashkaj au sehem yyte) anza kupunguza kiwango cha kuwasiliana nae, kama ulikua unawasiliana nae kwa siku mara mbili basi iwe mara moja na iwe kwa mda mfupi sana(akikuuliza sababu, mwambie ubize wa majukumu...hawezi uliza baada ya hapo since elimu ya kuchanganua mambometi doi)..then akiendelea kukutafta kwnye simu mpe rafki yako ambaye unajua ana ushawishi mkubwa sana hasa akiwa anaongea na wanawake(dhumuni ni kwamba amwambie kuwa ww u bize sana..huku akimpa uchokozi wa yale mambo yetu ili kumsahaulisha kila kitu kuhusu ww) then potea ghafla na usipatkane kwa muda wa mwez mmoja wakati huo uwe unafanya mpango wa kuwa na makazi mapya(tafadhali jaribu hili suala afu uone kama kutakua na msaada ila mwenzako nlifanikiwa sana tena kwa demu aliyehitimu kidato cha sita, akafeli). Naomba kutoa hoja
 
Asante sna, hili lilikuwa kichwani mwangu la kwanza baada ya kuzama na kuachana na wazo la kuachana naye siku ambayo ingefuata, akakubali kurudi shule, lakin baadae akaomba nimfudishe garo kwanza, baada ya hapo kila nkimwambia akatafute shule aanze anasema kesho kesho, hatimaye akaniambia shule siyo dili kama vip nimpe mtaji afanye biashara, dah nkachoka kabisa. Some more bro hapa please

Ukimpeleka shule mtu ambaye hajajitambua utasumbuka sana, lakini pia unaweza kutumia kigezo cha kuishi nae kama changamoto ya yeye kurudi shule nikimaanisha kuwa kaa nae ukiwa sirious kama kichwa cha familia mwambie jinsi ambavyo mnatofautiana kimtazamo
kuhusiana na swala elimu na jinsi unavyojitahidi na jinsi unavyopenda awe na mafanikio.

Pamoja na jitihada unazofanya endeles kujitahidi usimwache akiwa hana mbele wala nyuma mjengee msingi wa maisha!
 
sasa wewe nae bhana... binti wa watu umemkuta tayari ana mtoto (kitu ambacho kwako ni disqualification), pili umemkuta kaishia form 3 (kitu ambacho kwako ni disqualification pia), sa ilikuwaje mpaka ukaanza kuishi nae chini ya paa moja (chumba/kitanda kimoja) kama mume na mke for the year now??!!! ushamtafuna weeee, ulimpa ahadi nyingi feki binti akajiachia kwako mazima, umemzeesha kwa migegedo yako... afu now unataka kumdump!! jamani wanaume tufikie hatua tuache kuwanyanyasa hawa ndugu zetu, it's a real 'hurt therapy' kwa anaetendewa.

On the other side of the coin... mkifikisha two years ukiishi nae ivyo kama mke na mume (yaani consecutive two years ndani ya chumba kimoja kama mume na mke) na majirani zetu wakiwa wanajua nyie ni mke na mume, then kisheria utakuwa bound na kitu kinaitwa 'Presumption of Marriage' (dhana ya ndoa).

Presumption of Marriage (dhana ya ndoa) ni ile hali ya watu wawili (ke na me) kudhaniwa au to be considered kwamba wapo kwenye ndoa halali, though in reality hawajawahi kufunga ndoa rasmi. Yaani jamii inayowazunguka inawachukulia kama wanandoa halali, japo bado hamjafunga ndoa rasmi. Viashiria (indicators) vikuu vya 'Dhana ya Ndoa' ni hivi:

(a) Parties (yaani me & ke) wawe wameishi pamoja kama mume & mke, chini ya paa moja (yaani chumba au nyumba moja) kwa muda wa miaka miwili au zaidi. i.e. The parties to cohabit for over two years.

(b) Majirani wawatambue kama mume & mke (ndani ya hiyo miaka miwili). i.e. The parties have acquired the reputation of husband and wife

(c) There was no formal marriage ceremony between the said couples/parties.

Essence kubwa ya hii 'dhana ya ndoa' ni mambo mawili:
MOJA, inatoa unafuu kwa both parties/couples kuachana kirahisi pale wanapoona kuwa hawawezani kuishi kwenye ndoa. Hasa kwa wakristo ambao dini hairuhusu kuachana, yaani ktk ukristo ndoa ni kitu cha milele, haitambui talaka, ukishaingia kwenye ndoa, ndo basi. As such, dhana ya ndoa (presumption of marriage) inatoa loop-hole kwa both parties kuachana kirahisi pale wanaposhindana, bila legal implication. Yaani apa hakuna kuombana talaka, bcoz there's no marriage at all, but it's just a mere presumption of marriage. So mkishindana, then any party yupo kusepa kirahisi! And for the interest of truth, kwa sasa ndoa za aina hii (presumption of marriage) ndo zipo nyingi ktk jamii, wenyewe wanaita 'kupimana kwanza before hujaingia rasmi'. lol

PILI, dhana ya ndoa inalenga kumlinda mwanamke towards maslahi na haki zake. Yaani unapoishi na mwanamke under presumption of marriage na ikatokea kwamba mmechuma mali (jointly acquired properties), utapotaka kumuacha basi izo mali mtagawana pasu regardless kwamba hamkuwahi kufunga ndoa rasmi. Miaka ya nyuma wakati sheria ya ndoa ilipokuwa haija-incorporate presumption of marraige, wanawake wengi waliokuwa wakiishi under cohabitation walikuwa wakidhulumiwa sana haki zao. Mfano mwanaume anamchukua mwanamke, anaishi nae ata miaka 6 na zaidi huku mwanamke huyo akizaa na kuzalisha mali, but mwisho wa siku dume likimchoka linamdump bila kumpa chochote. As such, baadae sheria ya ndoa ndo ikaingiza kipengele icho cha 'presumption of marriage' ili kuwapa legal back-up wanawake wanaoishi ktk muungano huo.

Mkuu Allency, so chukua maamuzi now ili usizidi kumpotezea muda na kumzeesha binti wa watu. Ebu na wewe imagine upate mchumba/mwanamke akuchune haswaa vizuri,


umuhudumie na kumgharamia mambo mengi kwa some years, afu siku anakutamkia kuwa hakutaki na hataki umuoe, utafeel vipi? Si ndo utamfanya kama Ufo Saro? Wakati mwingine tujifunze kuwa wakweli mapema kwa wenzetu.

N:B. I stand to be corrected!
Thanks so much bra for yo time u spent on writting all of these, i really appreciate yo concern.
Kwanza umenijuza mambo mengi mim na wengine kama mim.
As you advised kufanya maamuzi haraka kabla sijachelewa zaidi, je ni maamuzi gani hasa nifanye bila kumuumiza ama kuumiza any part involved mana mwanza mim nlichukulia ni swala dgo, nasikitika kusema hii inanitokea mara ya pili sasa, kweli wanaume tuwe makini sna,
mwanzo nlihisi labda ngeikabili hali hasa aliponidanganya kuwa kamaliza form 4, ila haikuwa kweli,
Kwa ushauri wako ambao ntaujumuisha kwenye upi hasa nifate ungeshauri lipi ama njia gani itumike na kama akijiua mim nko upande upi kwenye swala hili kisheria?
 
Ukimpeleka shule mtu ambaye hajajitambua utasumbuka sana, lakini pia unaweza kutumia kigezo cha kuishi nae kama changamoto ya yeye kurudi shule nikimaanisha kuwa kaa nae ukiwa sirious kama kichwa cha familia mwambie jinsi ambavyo mnatofautiana kimtazamo
kuhusiana na swala elimu na jinsi unavyojitahidi na jinsi unavyopenda awe na mafanikio.
Pamoja na jitihada unazofanya endeles kujitahidi usimwache akiwa hana mbele wala nyuma mjengee msingi wa maisha!
Asante sna, hili pia ni wazo zuri kimsing, hata nionavyo mim kujiua ama kuning'ang'ania hivi ni juu ya kiwa hana mbele wala nyuma,
nkisema aende shule mpaka amalize vp kuhusu mda huo pamoja na sheria ya ndoa kwa sasa pind ntakapo amua kumwacha?
 
nkupe life experience yangu labda itasaidia, jifanye kama umepata safari ya ghafla...usiogope kumuaga na kumjulisha hali yako kwa kipindi chote cha safari ili ajue ni yy tu hakuna mwngine, ukiwa safarin(yaani siyo necessary safari bt uakua umebana tu kwa mashkaj au sehem yyte) anza kupunguza kiwango cha kuwasiliana nae, kama ulikua unawasiliana nae kwa siku mara mbili basi iwe mara moja na iwe kwa mda mfupi sana(akikuuliza sababu, mwambie ubize wa majukumu...hawezi uliza baada ya hapo since elimu ya kuchanganua mambometi doi)..then akiendelea kukutafta kwnye simu mpe rafki yako ambaye unajua ana ushawishi mkubwa sana hasa akiwa anaongea na wanawake(dhumuni ni kwamba amwambie kuwa ww u bize sana..huku akimpa uchokozi wa yale mambo yetu ili kumsahaulisha kila kitu kuhusu ww) then potea ghafla na usipatkane kwa muda wa mwez mmoja wakati huo uwe unafanya mpango wa kuwa na makazi mapya(tafadhali jaribu hili suala afu uone kama kutakua na msaada ila mwenzako nlifanikiwa sana tena kwa demu aliyehitimu kidato cha sita, akafeli). Naomba kutoa hoja
Hili nalipa 90% kwa mtazamo wangu lakin so dont get me wrong,
Je vitu vyangu ntavipataje baada ya hatua hii?
Advice please
 
kwa kua unaishi nae,
beba nguo na viatu vyako sepa
wewe si ndio humtaki? mwachie
rum na samani zilizopo!!gud luck

mhuu hili nalo neno lakin vitu hivi nmevichuma toka miaka ming tena sikuwa naye, toka nko naye nlichoongeza ni gari tu, labda niliache hilo kama mtazamo ni sahii
 
Asante sna, hili pia ni wazo zuri kimsing, hata nionavyo mim kujiua ama kuning'ang'ania hivi ni juu ya kiwa hana mbele wala nyuma,
nkisema aende shule mpaka amalize vp kuhusu mda huo pamoja na sheria ya ndoa kwa sasa pind ntakapo amua kumwacha?

mpaka sasa sheria inakufunga, nilivyoelewa ni kwamba hata akisoma awe na PHD huwezi kumuoa, FANYA KAMA UNATOA MSAADA ukiona hana muelekeo wa kusoma mfungulie biashara mpe ikiwa kamili then anza utaratibu wa kuchapa mwendo ila hata hivyo ulivyofanya ni kitu kibaya!!
 
Kaka hapa kwa mim si kuweka sifa ila ni kuangalia maisha zaidi ya leo, kama nina familia vp itaishi pindi nsipokuwepo? I know mapenz si elimu wala kitu chochote na pia maisha si mapenz pekee ni zaidi ya hapo yakiwa na mapenzi ndani yake, maisha navyojua mim yana mpangilio na i can say structured wakati mapenzi ya kweli haya angalii wala kufungaman na lolote. Mim kwa sasa sitafuti mapenz ila naangalia maisha kwa asilimia kubwa, ushauri please kaka

Jinsi ya kumwacha
Mfungulie kiduka kama una uwezo
Mtafute rafiki yeyote umpe no. Ya simu amtongoze mwezi mzima mpe fedha amtumie kwa m- Pesa kuanzia kama ten hivi.
Jifanye kumstukia akituma message. Baadaye mwambie amtumie ujumbe ukiwepo home ukisikia inaingia jifanye kuwa na wasiwas
 
kuna sentensi yako cijaipenda
ati huwez oa mwanamke aliezaa? duuuuuu kazi tunayo
 
Habari zenu wana jf, nsiwachoshe na salaam nyingi natumai ni wazima

Ok mim nina girlfriend ambaye kaishia form 3, mapenz naye nlianza kama mzaa vile, lakini badae nkajikuta nmezama mazima, yeye hana kazi na nmejaribu kumtafutia sehemi nyingi lakin hataki kwenda kwani hajiamini na anaogopa sna ki-english, nami sina sehemu nyingine ya kuntafutia zaidi ya sehu hizo mana ndo wengi nawafahamu.
Kiukweli naona napoteza na kumpotezea mda mana siwez kumuoa kwa sababu hizi
1: kwanza hajiamin hata kidgo
2: Alishazaa mtoto mmoja ja jamaa flani huko nyuma na mim siwezi oa mtu aliyesha zaa, ( huu ni uamuzi wangu samahan kwa wale watakaohis nmewakosea ama siko sahh)
3: Elimu ni changamoto nyingine mana nhependa mtu wa kusaidiana maisha

Swala lenyewe sasa
Mara nyingi tunapogombana huwa anakimbilia kijiua na alishantamkia kuwa kama ntaamwacha basi maisha yake yataisha siku hiyo, hivi hili limekaa aje kisheria? Will i be held guity?
Kwa sasa nina kaa naye na ni mwaka saa nataman haya siku moja niende kazin na nipitilizie huko huko

Jamani niko katika hali ngumu ma sijui nin cha kufanya, wana jf nawategemea sna kwa ushauri wenu juu ya hili, thanks

Wakibosho wanaomiliki Maduka huko Kariakoo NA Miji mingine wana elimu gani? Maisha siyo kuajiriwa tuu
 
Tatizo hapa ni kuwa nakaa naye, waweza nipa maujanja ya kumpotezea? Mana kila jion lazima nrudi home

yani cjawahi ona mpuuzi kama wewe huu uzi umeandika baada ya kula alichopika na kumtumia na minguo umemwekea natamani ajue mawazo yako akupoteze tu ufe kabla yake...m.....a......v.....i.... wewe
 
Kwanza wewe huna huruma hata kidogo,eti oonhooo(bana pua) nishaurini namna ya kumuacha,pumbaf weye....Leo hii ndo unatmbua principles zako kuwa huna mpngo wakuoa aliyekwisha zaa mtoto!una wazimu kwelikweli....Wakati huo unamuomba mambo na kuzamia kwake hukuyajua hayo?

Huyo wa kwako ndugu,tena ningelikuwa namfahamu ningelimwambia akaze kamba,mbanane hapohapo!
 
Nyooooo ushambinua chin .
Ushakagua kama zigo LA bangi...ushamlinda na kupiga simu na kumbana utafikiri serikali inavyolinda tembo
Leo dushelele lako linakuongoza au akili
Hukujua ana mototo
Kaishia kidato cha tatu
Oooh hajiami ooor elimu kidogo .

Utaoa huyo aliyesoma na kujiamin na hana mtoto ila kumbuka tabia ndo kila kitu mkuu
Ushampotezea Dada wa watu mda daaaa
 
Habari zenu wana jf, nsiwachoshe na salaam nyingi natumai ni wazima

Ok mim nina girlfriend ambaye kaishia form 3, mapenz naye nlianza kama mzaa vile, lakini badae nkajikuta nmezama mazima, yeye hana kazi na nmejaribu kumtafutia sehemi nyingi lakin hataki kwenda kwani hajiamini na anaogopa sna ki-english, nami sina sehemu nyingine ya kuntafutia zaidi ya sehu hizo mana ndo wengi nawafahamu.
Kiukweli naona napoteza na kumpotezea mda mana siwez kumuoa kwa sababu hizi
1: kwanza hajiamin hata kidgo
2: Alishazaa mtoto mmoja ja jamaa flani huko nyuma na mim siwezi oa mtu aliyesha zaa, ( huu ni uamuzi wangu samahan kwa wale watakaohis nmewakosea ama siko sahh)
3: Elimu ni changamoto nyingine mana nhependa mtu wa kusaidiana maisha

Swala lenyewe sasa
Mara nyingi tunapogombana huwa anakimbilia kijiua na alishantamkia kuwa kama ntaamwacha basi maisha yake yataisha siku hiyo, hivi hili limekaa aje kisheria? Will i be held guity?
Kwa sasa nina kaa naye na ni mwaka saa nataman haya siku moja niende kazin na nipitilizie huko huko

Jamani niko katika hali ngumu ma sijui nin cha kufanya, wana jf nawategemea sna kwa ushauri wenu juu ya hili, thanks

Mkuu how old are u?
 
Habari zenu wana jf, nsiwachoshe na salaam nyingi natumai ni wazima

Ok mim nina girlfriend ambaye kaishia form 3, mapenz naye nlianza kama mzaa vile, lakini badae nkajikuta nmezama mazima, yeye hana kazi na nmejaribu kumtafutia sehemi nyingi lakin hataki kwenda kwani hajiamini na anaogopa sna ki-english, nami sina sehemu nyingine ya kuntafutia zaidi ya sehu hizo mana ndo wengi nawafahamu.
Kiukweli naona napoteza na kumpotezea mda mana siwez kumuoa kwa sababu hizi
1: kwanza hajiamin hata kidgo
2: Alishazaa mtoto mmoja ja jamaa flani huko nyuma na mim siwezi oa mtu aliyesha zaa, ( huu ni uamuzi wangu samahan kwa wale watakaohis nmewakosea ama siko sahh)
3: Elimu ni changamoto nyingine mana nhependa mtu wa kusaidiana maisha

Swala lenyewe sasa
Mara nyingi tunapogombana huwa anakimbilia kijiua na alishantamkia kuwa kama ntaamwacha basi maisha yake yataisha siku hiyo, hivi hili limekaa aje kisheria? Will i be held guity?
Kwa sasa nina kaa naye na ni mwaka saa nataman haya siku moja niende kazin na nipitilizie huko huko

Jamani niko katika hali ngumu ma sijui nin cha kufanya, wana jf nawategemea sna kwa ushauri wenu juu ya hili, thanks

Mbona kitu rahisi tu.....punguza mazoea nae mdgo mdgo....itafika a point mwenyewe atang'atuka mwenyewe. usimtamkie wazi hutaki tena kuwa nae. We punguza ukaribu kidgo kidgo. Nshaachana na wengi kwa style hyo na bahati nzuri hawaja niwekea vinyongo.
 
Elimu sio kigezo kwangu ilimradi nikikufungulia biashara ufanye na faida niione

Mtoto kwangu ndo ishu, sijajiandaa kisaikolojia

NB

Mwambie tu ukweli, hana jinsi zaidi ya kukubali
 
Habari zenu wana jf, nsiwachoshe na salaam nyingi natumai ni wazima

Ok mim nina girlfriend ambaye kaishia form 3, mapenz naye nlianza kama mzaa vile, lakini badae nkajikuta nmezama mazima, yeye hana kazi na nmejaribu kumtafutia sehemi nyingi lakin hataki kwenda kwani hajiamini na anaogopa sna ki-english, nami sina sehemu nyingine ya kuntafutia zaidi ya sehu hizo mana ndo wengi nawafahamu.
Kiukweli naona napoteza na kumpotezea mda mana siwez kumuoa kwa sababu hizi
1: kwanza hajiamin hata kidgo
2: Alishazaa mtoto mmoja ja jamaa flani huko nyuma na mim siwezi oa mtu aliyesha zaa, ( huu ni uamuzi wangu samahan kwa wale watakaohis nmewakosea ama siko sahh)
3: Elimu ni changamoto nyingine mana nhependa mtu wa kusaidiana maisha

Swala lenyewe sasa
Mara nyingi tunapogombana huwa anakimbilia kijiua na alishantamkia kuwa kama ntaamwacha basi maisha yake yataisha siku hiyo, hivi hili limekaa aje kisheria? Will i be held guity?
Kwa sasa nina kaa naye na ni mwaka saa nataman haya siku moja niende kazin na nipitilizie huko huko

Jamani niko katika hali ngumu ma sijui nin cha kufanya, wana jf nawategemea sna kwa ushauri wenu juu ya hili, thanks

mtume kariakoo halafu ww lete fuso beba kilicho chako hamia kwingine.no ya cm badilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom