- Thread starter
- #21
Ndio ukome kucheza na hisia za watu. Hata yeye anajijua kuwa soko limeshadoda ndio maana amekuganda mkuu huyo ni mkeo huna jinsi.
Sheri ya ndoa inasema ukiishi na mwanamke kwa mda wa miezi6 huyo tayar ni mkeo hata bila ya cheti cha ndoa hata kama utamwacha utalazmika kugawana vitu vyote hata kama ulikuwa na nyumba au shamba mtauza na mtagawana.......
Ndg acha kucheza na hisia za watu ni mwiko kabisa
Hapa kaka naona kitu, kweli mim nina kosa kwenye hili la hisia, wajua mtu anaweza kuwa serious wakati wew wamwona wa kuzugia, hawa ambao soko limedoda hawakuachi kirahsi, nliwah kuwa na girlfriend ila nlipomzingua alikuwa tayari kuniacha mda wowote, ila huyu mhuuu, yye mawazo yake yote ni kujiua ama mambo ya ushirikina(japo sina uhakika sana na hili)