Wakuu nilieleza hii issue ya hizi noti kabla hata hazijaingia kwenye mzunguko kuwa ni kimeo, watu wakanishambulia hapa jukwaani sana na kusema sijui technolojia ya kisasa. Mmesahau kujaribu kuchana kidogo mwone nini kitatokea.
Kama rais ni msanii na wasaidizi aliowachagua wanamsaidia kuendeleza usanii kwa ari mpya..nguvu mpya na kasi zaidi mnategemea nini zaidi ya muendelezo wa usanii kutoka mmoja kwenda mwingine!?Kwenye usanii ndipo tulipopiga hatua!
Mkuu Nguli, nasikia zinachanika kirahisi sana pia; nini kifanyike sasa? Serikali izuie mzunguko wa noti hizi mapema?
Hivi hakuna testing kabla ya kupeleka kwenye mzunguko? Wanadhani watanzania ni vilaza kutoangalia ubora wa kitu walicholetewa na wamekilipia hela nyingi kufikia kinaingizwa sokoni?
Nani wanatakiwa kubebeshwa lawama hizi? BoT? Hazina? Serikali kuu?
Bongo tambarare!
Nadhani huo ulikuwa ni utabiri tu na wala si utafiti wa kisayansi
Laiti tungekuwa na uwezo wa kumfufua....!Aliyeiroga TZ aliishakufa
Ha ha ha ha ha TBS my @$%*