Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,949
- 103,302
Unashangaa nini wakati umesikia kuna mwingine aliagiza mashine zaidi za kuharibu noti. Na bado endeleeni kuichagua ccm ambayo ni wezi na wanashindwa kusimamia wezi kwani wakiwabana na wao watokosa hela. Hushangai majengo marefu yanaibuka kwenye miji mikubwa nchini na wenyewe hawajulikani vizuri.