Noti mpya hazina ubora?

NGULI, HIZI NOTI NAHISI ZIMETENGENEZWA KWA KABONI PEPAJabali;1531618]Wakuu nilieleza hii issue ya hizi noti kabla hata hazijaingia kwenye mzunguko kuwa ni kimeo, watu wakanishambulia hapa jukwaani sana na kusema sijui technolojia ya kisasa. Mmesahau kujaribu kuchana kidogo mwone nini kitatokea.[/QUOTE]</p>
 
Hivi jamani kwani hamjui rationale behind creating such projects? haziwi kwa manufaa ya nchi bali 30% kushibisha matumbo ya waheshimiwa! mpaka sasa hatujui gharama iliyotumika kuchapisha hizo noti na ni kiasi gani zimechapwa tunaambiwa ni siri na hata utangazaji wa tenda pia?
 
Inawezekana hizi noti zimechapwa kule Sharrif Shamba, haiwezekani Mjerumani aka-produce bidhaa yenye kiwango cha chini namna ile...

Haya ni matusi, hili suala lazima lifuatiliwe tujue kama kweli noti zote imechapwa Ujerumani au ni sehemu ndogo tu halafu sehemu kubwa ikawa imechapwa kinyemela humu humu....:A S-fire1:
 
Next time watushirikishe ili tupate angalau fursa ya kuchangia maoni kuhusu muonekano pia yaani design, hii si ni hela yetu wote au, mbona hatuulizwi vitu gani tungependa vionekane kwenye pesa yetu, mfano "TANZANITE" wao wanatuwekea simba kwani ni nchi gani ambayo simba hawazaliwi? halafu naomba kuuliza ni nani huwa wanaenda kwenye panel ya kudesign pesa au wanachagua tu kutoka kwenye templates.
Naomba kutoa hoja
 
Pasco samahani kwa kutumia neno "upotoshaji"

Unavyosema walitumia rangi nyingi ili zipauke baadae una uhakika nalo? kwa hio wewe unanunuaga nguo inayochuja ili ije ipauke itulie kwenye brightness uliokuwa unaihitaji? wewe uliisikia au kuijua wapi hio tekinolojia. Je zilizopita ailikuwa the same? ni nchi gani nyingine duniani imekuwa ikutumia hio style?

Katika HIO attachment iliyotolewa na BOT hakuna sehemu wanayosema fedha zitachuja ili zije zi maintain baadae. Hayo nimeyasikia kwa mara ya kwanza kwako.

Well said Nguli,nimesoma comment ya Pasco nikabaki mdomo wazi! Hiyo assumption ndio kwanza nasikia kutoka kwake.
 
Wakuu nilieleza hii issue ya hizi noti kabla hata hazijaingia kwenye mzunguko kuwa ni kimeo, watu wakanishambulia hapa jukwaani sana na kusema sijui technolojia ya kisasa. Mmesahau kujaribu kuchana kidogo mwone nini kitatokea.

Japo mimi sio mtu wa BOT, ila msiwe na wasiwasi, zililetwa rangi kiwa bado mbichi, inakauka taratibu kila zinavyokaa kwenye mzunguko mpaka vitafikia hazichuji tena.

Karatasi sio ya magome ya miti, ni karatasi ya pamba laini, ikilowa haichaniki kama kitambaa!.

Na hiyo rangi inayochuja, acha tuu ichuje, lakini noti inabaki ikingaa vile vile kama radioctive material!.

Naombeni tusiwe wepesi kulalamika kila kitu, japo naunga mkono kulalamikia genuine issue kama hii, ila pia tuwe tayari kupongeza kwenye jambo zuri, hivyo tuwapongeze BOT kwa Noti Mpya za size ndogo na hazichakachuliki.

tunasubiri jibu la hii:

Pasco samahani kwa kutumia neno "upotoshaji"

Unavyosema walitumia rangi nyingi ili zipauke baadae una uhakika nalo? kwa hio wewe unanunuaga nguo inayochuja ili ije ipauke itulie kwenye brightness uliokuwa unaihitaji? wewe uliisikia au kuijua wapi hio tekinolojia. Je zilizopita ailikuwa the same? ni nchi gani nyingine duniani imekuwa ikutumia hio style?

Katika HIO attachment iliyotolewa na BOT hakuna sehemu wanayosema fedha zitachuja ili zije zi maintain baadae. Hayo nimeyasikia kwa mara ya kwanza kwako.

pili, mkuu Pasco...wewe unasema hazichaniki au hazichaniki zikiwa wet? Maana kwa kuelewa post ya Nguli Jabali...yeye anadai zinachanika...
 
Unashangaa nini wakati mzigo wa zamani mafisadi waligonga copy mzigo wa ziada na baadae ukaingizwa kwenye mzunguko. Utoaji wa tenda za kuchapa huo mzigo ni dili kwa vigogo wa chama na serikali ambao wana percent zao.
 
Pasco,

Naomba uwatake radhi Wa-Tanzania;

Comments zako kwenye hiyo post ni completely mis-leading!

"..zililetwa rangi ikiwa bado mbichi..." That is very very very LOW!

si ndo hapo...kwa hiyo tukinunua nguo zinazotoa rangi tujue ndo bora zaidi maana wameongeza rangi wakijua kuwa zitapauka...hahhahaha!
poor mans mentality...
 
Hivi jamani kwani hamjui rationale behind creating such projects? haziwi kwa manufaa ya nchi bali 30% kushibisha matumbo ya waheshimiwa! mpaka sasa hatujui gharama iliyotumika kuchapisha hizo noti na ni kiasi gani zimechapwa tunaambiwa ni siri na hata utangazaji wa tenda pia?

Ohooo!!! I see kumbe ndio maana cheap is expensive
 
Inawezekana hizi noti zimechapwa kule Sharrif Shamba, haiwezekani Mjerumani aka-produce bidhaa yenye kiwango cha chini namna ile...

Haya ni matusi, hili suala lazima lifuatiliwe tujue kama kweli noti zote imechapwa Ujerumani au ni sehemu ndogo tu halafu sehemu kubwa ikawa imechapwa kinyemela humu humu....:A S-fire1:

Na mimi hapo ndio naingiwa na ulakini kweli kwenye uchapaji wa hela yanafanywa mambo ya mzaha mzaha kama haya this is too much
 
Mhhhhh....yetu macho...muvi ndio kwaaanza limeanza
sijui nani stering nani jambazi
 
hehehe unaweza sikia RA ndo amepewa tenda ya kuzitngeneza au yeye ndo alimleta huyo aliyezitengeneza, kwan juzi si alikua asia anatafuta wawekezaje,tanzania bana tunaijenga wote inaliwa na wachahce

Na nyie muache chuki na ujinga wenu! Hata hamjui utaratibu wa kuchapisha noti! Halafu eti mtu anaijaribu noti kwa kuichana au kuisugua unategemea nini? Hata dola au Euro ingeharibika. Watu wana utunzaji mbaya wa fedha na ndiyo maana hata hizo zinazodaiwa kuwa imara (ingawaje zilipotoka zilipigiwa kelele hivyo hivyo) ukiziweka katika mazingira ya kuziharibu lazima zitaharibika. Sisi wengine tumeziona na kuzitumia na hilo tatizo hatujakumbana nalo. kwa ujumla elimu ya utanzaji wa fedha inahitajika!
 
Hii yote shauri ya ten percent au mnasemaje? kwa sababu makampuni ni mengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom