NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

The problem ni kuwa Nk hawana busara...dudes are ready for war, with the recently tested ICBMs lets pray for US to calm down otherwise tutegemee vita ya 3 ya dunia.

Busara za Us ni muhimu sana kumaliza huu mgogoro.

Mkuu hapa hakuna cha kupray eti US a-calm down. Hapo alipo mwenyewe anaogopa. Hakuna kitu ambacho US hataki kitokee kama kumpiga mtu ambaye anaweza kuja kuharibu na kwake pia.
Jamaa now anauwezo wa kuhit kwake na kuua maelfu ya watu. Najua Trump ni chizi, ila sidhani kafikia level ya kuanzisha vita na huyu psychopath.
 
mkuu hapo kwenye red ni kwamba hakujawahi kuwepo vita ya kwanza na ya pili ya dunia,zilikuwa ni vita za ulaya
Sasa kwa uelewa wako uadhani World ni wapi, Unaishi sehemu hata Huduma ya maji shida utasema vipi unaishi duniani

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Inakuwa vyema tunapoongelea nuke tuwe pamoja
Tusome kwanza hapa:
Nuclear weapon - Wikipedia
kweli kabisa mkuu ngoja tutumie lugha ya mama Tanzania
Mabomu ya Haidrojeni ndiyo yenye nguvu zaidi kuwahi kuundwa duniani. Ni ya nyuklia lakini huwa na tofauti kidogo na mabomu ya atomiki.

Bomu la Haidrojeni kutoa nishati yake kutokana na kuunganishwa kwa atomu mbili ilhali la atomiki hutokana na kupasuliwa kwa atomu.
Bomu la kawaida la nyuklia huwa na nguvu sawa na mlipuko wa tani 10,000 za TNT, na mabomu haya ya Haidrojeni huwa na nguvu zadii ya mara 10 ya bomu la kawaida," anasema Paddy Regan, profesa wa fizikia katika Chuo Kikuu cha Surrey.
 
Hawa jamaa sjawahi kusikia wamezindua kitu chochote chenye faida na binaadamu zaidi ya mabomu,inamaana kila wakiamka wanafikiria silaha tu?
 
Hawa jamaa sjawahi kusikia wamezindua kitu chochote chenye faida na binaadamu zaidi ya mabomu,inamaana kila wakiamka wanafikiria silaha tu?
wana zinduaga mkuu sema vingi kwa ajili yao huwa hawategemei sana watu wengine hawa jamaa wana akili sana kushinda pengine mataifa mengi ya ulaya
wapo wa chache lakini kwenye ubongo wao kumejaa madini ambayo siyo atarishi!!!
kujenga nyumba ambayo haiwezi kukukinga na jua na mvua na simba na chui siyo sawa mkuu wakisha jirizisha kuwa kicheche aina ya USA hawezi ingia tena ndani kwao utaona mambo mengi mazuri kutoka kwao!!!
 
Asee mkuu mbona umelinisha maneno, embu niQuote wapi nilishawahi sema ICBM ni bomu, wapi?!

Pili NK bado hawajaweza kuweka bomu kwenye ICBM ndo wapo kwenye hizo process
d5bff1f16328765dee4a0b9d11dace87.jpg


Ukishaweka bomu kwenye kombora lazima uhakikishe linahimili joto kwenye re-entry process. Ndo jamaa wanahangaika na hilo hivi sasa.
089141fb958fa213fa1077e47074a97b.jpg


Ps: ICBM ni moja ya njia ya usafirishaji wa nyuklia, maana inaweza pia kusafirishwa hata kwa ndege kwenda kushambulia kama ambavyo Marekani ilifanya WWII, ilitumia B-29 bomber kusafirisha mabomu toka Marekani kwenda kushambulia Japan.

fundi25 nadhan utakua umenipata
Mkuu suala la ku solve issue ya re entry kwa dunia ya sasa hivi sio issue kubwa kulingana na fact kwamba kama ilishakuwa solved zamani na nchi kama us, china na russia ina maana itakuwa ni kitu rahisi zaidi wala hakiwezi kuchukua mda.

Ndo mana N.K wao walikuwa wame concentrate sana kwenye kuunda Missiles na war head. Reentry problem ni easy kuwa solved kwa zama hizi.. So sio issue sana..

Halafu ikitokea vita hata kama hana reentry technology nzuri still anaweza kutumia hizo war head kuzifikisha south korea kwa technology ndogo tu so bado kuna hatar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi Tanzania tukitaka kutengeneza bom la hydrogen au nyuklia wataalam si tutawapata hukuhku JF?
 
Hawa jamaa sjawahi kusikia wamezindua kitu chochote chenye faida na binaadamu zaidi ya mabomu,inamaana kila wakiamka wanafikiria silaha tu?
Inawezekana kwa sababu hufatilii mambo kwa undani.

Ipo hivi Kim alivoingia madarakani 2011 alikuja na Policy inaitwa Byungjin Line ambayo kwa tafsiri ni "parallel development of nuclear weapons and economic development"

Kwa sasa hivi uchumi wa Korea kaskazini kwa wataalam wa mambo unakuwa kwa kasi na mwaka jana ulikuwa kwa 3.7% kiwango kikubwa kwa miaka 17 iliyopita.

Consumer culture tayar inamea mizizi, food production imeongezeka na wataalam wa mambo wanasema at least kwa sasa maisha ya wakorea kaskazini yanaunafuu mkubwa na hata ile rate ya watu kukimbia nchi imepungua kwa nusu tangu kiduku alivoingia madarakani.

Dogo ameweza sana kujenga uchumi wa korea na kuboresha ulinzi na jeshi.

Na kwa sasa approval rating yake miongoni mwa wakorea ni kubwa mno ikifikia ile ya babu yake.

Angalia project za hawa jamaa za miundombinu na viwanda vyao na technolojia utaungana na mimi kwamba wametuacha mbali sana..

Kuna huu mtaa ukifunguliwa mwenzi april embu u google.. Romyong street utaona vitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kwa sababu hufatilii mambo kwa undani.

Ipo hivi Kim alivoingia madarakani 2011 alikuja na Policy inaitwa Byungjin Line ambayo kwa tafsiri ni "parallel development of nuclear weapons and economic development"

Kwa sasa hivi uchumi wa Korea kaskazini kwa wataalam wa mambo unakuwa kwa kasi na mwaka jana ulikuwa kwa 3.7% kiwango kikubwa kwa miaka 17 iliyopita.

Consumer culture tayar inamea mizizi, food production imeongezeka na wataalam wa mambo wanasema at least kwa sasa maisha ya wakorea kaskazini yanaunafuu mkubwa na hata ile rate ya watu kukimbia nchi imepungua kwa nusu tangu kiduku alivoingia madarakani.

Dogo ameweza sana kujenga uchumi wa korea na kuboresha ulinzi na jeshi.

Na kwa sasa approval rating yake miongoni mwa wakorea ni kubwa mno ikifikia ile ya babu yake.

Angalia project za hawa jamaa za miundombinu na viwanda vyao na technolojia utaungana na mimi kwamba wametuacha mbali sana..

Kuna huu mtaa ukifunguliwa mwenzi april embu u google.. Romyong street utaona vitu

Sent using Jamii Forums mobile app


Asee mkuu nimekukubali acha watu wanao kariri propaganda za USA

NORTH KOREA iko vzr sana

ce11d18b644e9a65920b7f1fde29932f.jpg
276778fe0cb60190ca8c888b14e757ea.jpg
60aa18a71f6650cf81d5be5f9f9b6e01.jpg
f0e90d66637829dd1ff00d32265ddb78.jpg



Duh hizo ni baadhi ya picha za huo mtaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba nikurekebishe hapo. Hydrogen ni moja kati ya aina ya nuclear bombs.
Kuna aina mbili tu za Nuclear (Nukes) bombs
1. Atomic Bombs ambayo inatumia Nuclear fission, hapa atoms zina-split. Haya ndio yale yaliyopiga Nagasaki na Hiroshima.
2. Hydrogen bombs ambayo inatumia Nuclear fusion, hapa atoms are fused together together hivyo kufanya multiple reactions in a single action na ndiyo maana aina hii ya bomb inakuwa powerful zaidi ya Atomic bombs.

Sema nina haraka, ila next time nitaelezea kwa kirefu zaidi.
Masomo ya sayansi ni tatizo la kitaifa mkuu.
Wapi gharib bilal!
 
The problem ni kuwa Nk hawana busara...dudes are ready for war, with the recently tested ICBMs lets pray for US to calm down otherwise tutegemee vita ya 3 ya dunia.

Busara za Us ni muhimu sana kumaliza huu mgogoro.


Yaani, USA ndiyo kibwengo hana busara kabisa.

Hello, guy check this , NK and Kim Jong-Un, they have never killed any foreign citizen out side their borders while USA she is killing millions and millions of innocent people across the globe.

Kwa kweli, yaani naombea Kim Jong-Un, ashushe ICBM, Hydrogen na mapochopocho yote yaangukie USA yote ndiyo tutaheshimiana kwenye hii dunia.
 
Hawa jamaa sjawahi kusikia wamezindua kitu chochote chenye faida na binaadamu zaidi ya mabomu,inamaana kila wakiamka wanafikiria silaha tu?
Red Star 3.0 OS from North Korea

maxresdefault.jpg


red-star-os-3-100537613-orig.png
 
ryonghung ipad from North Korea



40F7DA8C00000578-0-image-a-6_1496246091422.jpg
 
Back
Top Bottom