NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

Yaani unaamini kabisa N. Korea kashindwa kufunga nuke kwenye ICBM?
Hahahahaha ni vichekesho vya karne mkuu.. Yaani mtu aweze kuunda nuke then ashindwe kuifunga kwenye ICBM wakati tayari uzoefu huo anao..

Yaani ni sawasawa na dereva wa Hiace udhani atashindwa kuendesha Costa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani U.S na ubabe wake wote ananywea kwa kiduku? Ngoja tuone mwisho wake
 
Turejee kwenye swala la India na Pakistan,je kulikua na mtu nyuma yao anaeleta shida..?hawa wawili walikua wanafujo wao kama wao binafsi

NK amejifunza na kilichotokea during Korea war,fikiria Libya au Iraq,hivi wangekua na hizi kitu wangepigwa na US kama kuku,wamefanywa kitu kibaya sana,angalia Syria alipotumia gesi ya sumu tu US karusha kombora zake sababu anajua huna cha kumfanya,lakini sababu Syria ni mdhaifu wanamchezea wanavotaka

NK katengeneza silaha kwa ajili ya kujilinda na US lakini sio kwamba ana uwezo wa kupigana na US 100% one against one,kua na Nuclear inamaanisha kua we ni mbabe sawa nifumue nikufume,tufumuane lakini sio kunionea
Upo sahihi kabisa mkuu... Machungu ya vita vya Korea ndo inamfanya jamaa kung'ang'ania nukes.
 
Upo sahihi kabisa mkuu.Pia upande mwingine naona Marekani anafaidika sana na huu mgogoro ndo maana kila siku anazidisha uchochezi.
NK anaona Marekani kama adui yake, hajasahau kilichomkuta kwenye vita vya Korea ambapo mamilioni ya wakorea walikufa kutokana na mabomu ya US.
Ndugu dunia ilishabadilika sasa. Issue za cold war zinaanza kuibuka kwa namna nyingine. Cold ilikuwa domant tu maana mmarekani alishindwa kiaina. Sasa anataka kuiamsha. Bahati mbaya sasa hivi mchina ananguvu zake, Iran yupo imara, N. Korea yupo ngangali. ujeruman yupo kimya kama haoni huku kwa chinichini akisupport n. Korea.

angalia kwa makini magari ya n. Korea utajua ninamaanisha nini kuhusu ujeruman.

Jamaa zake USA france, UK na canada wapo kimya. USA akiliamsha dude mvua itamyeshea. Atashangaa mexico na cuba wanatumiwa kumgonga.
 
Upo sahihi kabisa mkuu.Pia upande mwingine naona Marekani anafaidika sana na huu mgogoro ndo maana kila siku anazidisha uchochezi.
NK anaona Marekani kama adui yake, hajasahau kilichomkuta kwenye vita vya Korea ambapo mamilioni ya wakorea walikufa kutokana na mabomu ya US.
Asante kwa kua mkweli,ata NK aache kutest Nuclear weapon,US hawezi kuondoka Japan au SK miaka elfu,akiondoka kule ataleta vipi ushawishi wake bara Asia,hizi fujo zote ananufaika US
 
Ndugu dunia ilishabadilika sasa. Issue za cold war zinaanza kuibuka kwa namna nyingine. Cold ilikuwa domant tu maana mmarekani alishindwa kiaina. Sasa anataka kuiamsha. Bahati mbaya sasa hivi mchina ananguvu zake, Iran yupo imara, N. Korea yupo ngangali. ujeruman yupo kimya kama haoni huku kwa chinichini akisupport n. Korea.

angalia kwa makini magari ya n. Korea utajua ninamaanisha nini kuhusu ujeruman.

Jamaa zake USA france, UK na canada wapo kimya. USA akiliamsha dude mvua itamyeshea. Atashangaa mexico na cuba wanatumiwa kumgonga.
Nadhani uliona mwaka huu mwanzoni UK alivyotishia kuipiga NK kwa nukes km itatishia tena Australia had Urusi akaamua kuingilia Kati.
Hata aliposhambulia Syria baadae akina France ndo wakaanza kumpongeza US. Achana na wazungu mkuu linapokuja swala la maslahi ya mataifa yao. Wanaungana wanakua kitu kimoja.
 
Asante kwa kua mkweli,ata NK aache kutest Nuclear weapon,US hawezi kuondoka Japan au SK miaka elfu,akiondoka kule ataleta vipi ushawishi wake bara Asia,hizi fujo zote ananufaika US
Kabisa... Pia ukizingatia kwa sasa uchumi wa China ukiongezeka na anazidi kukua kijeshi. Hii pia ni sababu inayomfanya Marekani kuotea mizizi hapo kwenye eneo hilo. Maaana akisema aondoke bhas China atakua na ushawishi mkubwa katika eneo hilo.
Mfano mzuri leo tunaona eti Marekani anataka urafiki na Vietnam kisa tu wana mgogoro na China.
 
Nadhani uliona mwaka huu mwanzoni UK alivyotishia kuipiga NK kwa nukes km itatishia tena Australia had Urusi akaamua kuingilia Kati.
Hata aliposhambulia Syria baadae akina France ndo wakaanza kumpongeza US. Achana na wazungu mkuu linapokuja swala la maslahi ya mataifa yao. Wanaungana wanakua kitu kimoja.
Mambo yanabadilika sana kwa sasa. Amini usiamini.
Nakuhakikishia kuna nchi nyingi zinamtamani USA. zipo nchi za Mexico, Cuba, Iran, Pakstan na hapo ulaya zipo nchi za uturuki, ujeruman nk nakuhakikishia anasubiriwa tu USA amwage mchanga.

China ameshatoa maelezo straight kwamba USA akimgusa tu N.Korea atakuwa upande wa N. Korea. Ndio maana Trump anajiuma uma.

Halafu mbaya zaidi vita itapiganwa kwakwe yaan USA.
 
hayo ma S400 hayahusiani kabisa na issue ya kim na trump.
Dogo kapitisha dude juu ya japan USA hajaona kitu. Wakati USA ndiye mlinzi wa japan.

USA tambo za kuwaonea wanyonye na propaganda za kwenye movie za expendable.
hahahaha na nini na tambo za expandables???? of kozi ukiyaangalia na madude ya expandables kama huna ujasiri unaweza ukanyoosha mikono juu
 
Nilitamani bomb la hydrogen litue kwenye lile wig kwa tuliosoma chemistry kitakachotokea ni SUBLIMATION yaan direct change from solid to gas
Hahaahahahah hio reaction imeniacha hoi. Kwahio jamaa atoke kipara ghafla?
 
Upo sahihi kabisa mkuu... Machungu ya vita vya Korea ndo inamfanya jamaa kung'ang'ania nukes.

Jamaa, hakung'ang'ania Nukes pekee, bali alilireform jeshi lake lote, kwa sasa jeshi lake ni timamu kila sector, kwenye Navy yupo fit sana, ana submarine za size tofauti tofauti zaidi ya 70, ana special forces za hatari sana, ana comando unity iliyofit na strong sana, kifupi NK wako vizuri mno
 
Annael,

Naomba uwe unauliza kama huelewi mambo . .
Kwa kifupi, jeshi la Japan ni kwa ajili ya kujilinda (for self defence) na sio kwa ajili ya kushambulia na kuteka (to invade and conquer) . .

Hata hivyo, ukweli ni kwamba, kwa military equipments walizo nazo , Tanzania haiwezi kamwe kulinganishwa nguvu na Japan . .

Forget . . !

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma maelezo lakini?
anyway Sasa tuje mtifuano wa N. Korea na japan combine S. Korea.
Hapo nilikuwa nakupa Lugha ya picha kuonesha kuwa Japan hana uwezo mbele ya N. Korea. Ndio maana japan walijificha kwenye mapango baada ya kombora kupita juu ya nchi yao.

In short wajapan ni wachumba tu mbele ya N. Korea, hawawezi kushambulia hawana meno.

In short japan hawana jesh. Bali wana police tu.
 
Tatizo la NK nadhani sio SK wala Japan,tatizo la NK ni uwepo wa marekani eneo ilo na Marekani anajua kabisa yeye ndio shida,mfano UN walisema pia uwepo wa mazoezi ya kijeshi kati ya US na SK ndo unachochea mgogoro pale,kesho yake US na SK wakafanya fujo zao tena,NK akaona isiwe shida kapitisha kombora Japani
Wewe umeongea facts

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom