NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

Nini sababu ya US kutoa hizo nuke weapons toka SK?!, walimwamini baba yake Kiduku zaidi ama?
Angalia maswali mengine huwa huongeza homa kwa mgonjwa we una hisi ukimuuliza TRUMP leo nini maana ya huu msemo
North Korea they will be met with fire and fury like the world has never seen !!!?
anaweza kukuweka kizuwizini masaa 48!! mkuu kim kafanya jambo ambalo limemfanya TRUMP akunje mkia !!!
ndugu yako temperature haipo sawa!!!
 
Angalia maswali mengine huwa huongeza homa kwa mgonjwa we una hisi ukimuuliza TRUMP leo nini maana ya huu msemo
North Korea they will be met with fire and fury like the world has never seen !!!?
anaweza kukuweka kizuwizini masaa 48!! mkuu kim kafanya jambo ambalo limemfanya TRUMP akunje mkia !!!
ndugu yako temperature haipo sawa!!!


Hahaha!, nimekuzoea ujue..lol

Unakumbuka hii, LOCKED and LOADED?

Usimuone Trump yuko kimya kiana kwa hili, 'kobe akiinama jua anatunga sheria'
 
Hahaha!, nimekuzoea ujue..lol

Unakumbuka hii, LOCKED and LOADED?

Usimuone Trump yuko kimya kiana kwa hili, 'kobe akiinama jua anatunga sheria'

Nina kumbuka dogo kim akagoma akasema huyu mzeee chizi nini!!
akatupia kitu
Trump akaona duh dogo kapinda akaja na kilainisho!!!
All options are on the table apa alikuwa ana mwambia kim umesha kuwa mtu mzima bana njoo tuzungumze mezani!!!
kim akamwambie we mzee au umelogwa nini!!!
kim akatupia kitu
Trump akasema Military solutions are now fully in place
kim siyo bure we mzee utakuwa chizi !!!
kim ndio kama hivi akawatetemesha jana una jua trump kanyoosha mikono hewani kwa kusemaje!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
South korea leo nawao wamefanya ulushaji wa makombora ya masafa marefu kwa kwa kile walichosema kulipiza kisasi kwa NK,, najiuliza mbona jumia Za kimataifa zimekaa kimya ? ,,pili hii naomba wakuu mnisaidie kunijibu SK nawao wana siraha kumbe kama Za NK ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nina kumbuka dogo kim akagoma akasema huyu mzeee chizi nini!!
akatupia kitu
Trump akaona duh dogo kapinda akaja na kilainisho!!!
All options are on the table apa alikuwa ana mwambia kim umesha kuwa mtu mzima bana njoo tuzungumze mezani!!!
kim akamwambie we mzee au umelogwa nini!!!
kim akatupia kitu
Trump akasema Military solutions are now fully in place
kim siyo bure we mzee utakuwa chizi !!!
kim ndio kama hivi akawatetemesha jana una jua trump kanyoosha mikono hewani kwa kusemaje!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app


Amesemaje?!

Unakumbuka ule mfano ulitolewa nikakwambia unamfaa Kim?!
 
Amesemaje?!

Unakumbuka ule mfano ulitolewa nikwambia unamfaa Kim?!

The United States is considering, in addition to other options, stopping all trade with any country doing business with North Korea.
ile locked and loaded imetokomea kusiko julikana kama ndege ya Malaysia!!!
 

Nina kumbuka dogo kim akagoma akasema huyu mzeee chizi nini!!
akatupia kitu
Trump akaona duh dogo kapinda akaja na kilainisho!!!
All options are on the table apa alikuwa ana mwambia kim umesha kuwa mtu mzima bana njoo tuzungumze mezani!!!
kim akamwambie we mzee au umelogwa nini!!!
kim akatupia kitu
Trump akasema Military solutions are now fully in place
kim siyo bure we mzee utakuwa chizi !!!
kim ndio kama hivi akawatetemesha jana una jua trump kanyoosha mikono hewani kwa kusemaje!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kadri mda unavyosonga ndio kasi ya kutengeneza silaha hatarishi N.k inaongezeka, N.k kachukizwa na vikwazo toka US, kama hawatomdhibiti mapema atakuja kuwaamrisha atakavyo kwa kutishia mashambulizi, na inasemekana mitambo ya Defense systems ya marekani (THAAD) haina uwezo wa kudhibiti makombora ya N. korea ndo maana US ana haha!!!

Ngw'ana Kabula
Acha fix mkuu... Vita sio matembezi vita ni plan soon utashuhudia jinsi bwana mdogo takavyofanywa

Send via Quan dong fen from north Korea
 
Kadri mda unavyosonga ndio kasi ya kutengeneza silaha hatarishi N.k inaongezeka, N.k kachukizwa na vikwazo toka US, kama hawatomdhibiti mapema atakuja kuwaamrisha atakavyo kwa kutishia mashambulizi, na inasemekana mitambo ya Defense systems ya marekani (THAAD) haina uwezo wa kudhibiti makombora ya N. korea ndo maana US ana haha!!!

Ngw'ana Kabula
Hadi raha mamaeeeee

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
North korea hawataki kurejea hali iliyowapata miaka ya 50,

ile vita wamarekani walitupa mabomu kuliko hata katika vita vya pili vya dunia,
mabomu tani 650,000?

Mji wa pyoyang uliharibiwa wote majengo ya maana yaliyobaki ni mawili tu yakiwa yamesimama.

Ilifikia hatua ndege za marekani zilikosa kitu cha kushambulia kwani walikuwa wameharibu kila kitu.

Wakorea milioni 3 walikufa,na hiyo ni karibu nusu ya wananchi wa korea,

baada ya hapo wakorea waliapa ,Never again are we going to be so weak,and if we are to die,we will take them with us.....
Kumbe yote wanafanya ili kulipiza kisasi

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Bro Richard mabomu ma2 yaliyopigwa Hiroshima na Nagasaki yalikuwa atomic sio nyuklia wala Hydrogen Atomic ni cha mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app

Historia ni somo muhimu sana kama unataka kujadili international politics.

Marekani ilitupa mabomu mawili ya nyuklia kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki tarehe 8 na tarehe 9 mwezi August mwaka 1945.

Kama ambavyo kuna wanachama wengine walivofafanua, kuna aina mbili za milipuko ya mabomu ya nyuklia na mojawapo ni hilo la Atomic.

Ingine ni hili liitwalo Thermonuclear ambalo limejaribiwa juzi na Korea Kaskazini likiwa na uzito wa kiloton 100.
 
Tumewaonyesha kaburi maana wanasikiaga vifo kwa watu wengine tumemkata TRUMP mkia!!!

Endeleeni tu, eti mnaitafuta vita kwa nguvu zote.

"He is begging for war," U.S. Ambassador to the U.N. Nikki Haley (on Kim) at the U.N. Security Council.
 
The United States is considering, in addition to other options, stopping all trade with any country doing business with North Korea.

...ile locked and loaded imetokomea kusiko julikana kama ndege ya Malaysia!!!

Haha!, Not so fast Fundi, ujue ni vile upande wa pili wameamua kufikiri kibinadamu zaidi katika hili. Lakini inaonekana Kiduku ana push hard ili wenzake nao wachemke wakati wanajaribu kutafuta amani ingawa wana silaha za moto pia.
Sasa niambie patakalika kweli kama kila mtu a act up, na wakishushiana zigo kama hili la kiloton 100?!

Lakini hawako kimya sana ujue, Defense Secretary Jim Mattis warned of a 'massive military response'

Boss wake ndo akatishia zaidi,..'Trump hinted in a call with Japan's leader that the U.S. could even deploy its own nuclear arsenal'
 
Haha!, Not so fast Fundi, ujue ni vile upande wa pili wameamua kufikiri kibinadamu zaidi katika hili. Lakini inaonekana Kiduku ana push hard ili wenzake nao wachemke wakati wanajaribu kutafuta amani ingawa wana silaha za moto pia.
Sasa niambie patakalika kweli kama kila mtu a act up, na wakishushiana zigo kama hili la kiloton 100?!

Lakini hawako kimya sana ujue, Defense Secretary Jim Mattis warned of a 'massive military response'

Boss wake ndo akatishia zaidi,..'Trump hinted in a call with Japan's leader that the U.S. could even deploy its own nuclear arsenal'
Unaifahamu Father of All Bombs. Mother of all Bombs cha mtoto.
Muulize Mmarekani anaijua hiyo. FOAB acha kabisa.
 
Haha!, Not so fast Fundi, ujue ni vile upande wa pili wameamua kufikiri kibinadamu zaidi katika hili. Lakini inaonekana Kiduku ana push hard ili wenzake nao wachemke wakati wanajaribu kutafuta amani ingawa wana silaha za moto pia.
Sasa niambie patakalika kweli kama kila mtu a act up, na wakishushiana zigo kama hili la kiloton 100?!

Lakini hawako kimya sana ujue, Defense Secretary Jim Mattis warned of a 'massive military response'

Boss wake ndo akatishia zaidi,..'Trump hinted in a call with Japan's leader that the U.S. could even deploy its own nuclear arsenal'
sasa hivi USA wameishiwa maneno wana kopa maneno kwenye movie!!
marekani hana huruma kabisa kwa Kim kina chamaji kimekuwa kirefu!!!
 
Back
Top Bottom