NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

Bro Richard mabomu ma2 yaliyopigwa Hiroshima na Nagasaki yalikuwa atomic sio nyuklia wala Hydrogen Atomic ni cha mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Nuclear haijawahi kupigwa sijui siku ikipigwa dunia itakuaje ? Nuclear ni worse than atomic . Hivi Ata chemistry ya form two means that jamaa akupitia ?
 
Jamani huyu mpuuzi anaichezea Marekani kipindi anajua kuwa Harvey ipo
Mpuuzi ni huyo Marekani anataka amiliki Silaha peke yake. Kama vile huu ulimwengu ni mali yake.

Sent from my SM-G610F using Tapatalk
 
Nuclear haijawahi kupigwa sijui siku ikipigwa dunia itakuaje ? Nuclear ni worse than atomic . Hivi Ata chemistry ya form two means that jamaa akupitia ?
sijui kama unaelewa unachokiongea. Nenda kasome tena huenda ukaja na na maelezo.

kwa kukusaidia tu.
Nuclear bombs zipo za aina mbili
1. Atomic bomb
2. Hydrogen Bomb
Atomic bomb zililipuliwa japan wakati wa ww2
Hydrogen bomb ni advanced version ya Atomic bomb.
kwamba Atomic bomb inakuwa nguvu ndogo ukulinganisha na hydrogen bomb.
Energy ya atomic bomb inakuwa limited, lakin hydrogen bomb huwezi kuielewa.

but both are nuclear bomb
 
Nuclear haijawahi kupigwa sijui siku ikipigwa dunia itakuaje ? Nuclear ni worse than atomic . Hivi Ata chemistry ya form two means that jamaa akupitia ?
Haha,mimi binafsi kama kitu sikijui au sina uhakika nacho hua sichangii kabisa bali nasoma comment za watu kupata mwangaza,aya mwenzio umesema ata chemistry ya form 2 hajui,wewe ulie soma chemistry ya form 2 mbona umetudanganya kabisa..!!!kwaio jamaa ana afadhali kuliko wewe ulienda shule..?

Anyway ni kwa heri lakini sio shari, jion njema mkuu
 
marekani alirusha bomu la atomic and not nyuklia mkuu
2d0911357d8212ed110554a3f9508734a81a698c1ffc9f1abf9b938d30b2002d_3992553.jpg


Nguvu ya tetemeko la ardhi lilikuwa limepimwa likiwa ni 6.3

Na uzito wa bomu hilo ni kiloton 100

Ni zaidi ya uzito wa bomu la nyuklia ambalo lilitupwa na Marekani mjini Nagasaki mwezi August mwaka 1945 na kumaliza vita vya pili vya dunia.

Hii ni ishara kwamba Korea Kaskazini hajaogopa vitishoi vya Marekani na washirika wake Japan na Korea Kusini ambao walikuwa wakifanya mazoezi ya kutisha katika ukanda wa Korea.

Njia ya kumaliza huu mgogoro ambao kwa kiasi kikubwa unachangiwa na kauli za raisi Donald Trump kama ile ya Korea Kaskazini kukumbana na hasira na moto wa Marekani kuishambulia Korea Kaskazini, ni mazungumzo na majadiliano.

Kim hatanii na sasa yupo tayari kukabiliana na nchi yoyote ile.
 
Ujue nuke haijawahi kutumika kushambulia popote!
Hydrogen bomb ni mchumba wa nuclear bomb.

Mkuu naomba nikurekebishe hapo. Hydrogen ni moja kati ya aina ya nuclear bombs.
Kuna aina mbili tu za Nuclear (Nukes) bombs
1. Atomic Bombs ambayo inatumia Nuclear fission, hapa atoms zina-split. Haya ndio yale yaliyopiga Nagasaki na Hiroshima.
2. Hydrogen bombs ambayo inatumia Nuclear fusion, hapa atoms are fused together together hivyo kufanya multiple reactions in a single action na ndiyo maana aina hii ya bomb inakuwa powerful zaidi ya Atomic bombs.

Sema nina haraka, ila next time nitaelezea kwa kirefu zaidi.
 
Kadri mda unavyosonga ndio kasi ya kutengeneza silaha hatarishi N.k inaongezeka, N.k kachukizwa na vikwazo toka US, kama hawatomdhibiti mapema atakuja kuwaamrisha atakavyo kwa kutishia mashambulizi, na inasemekana mitambo ya Defense systems ya marekani (THAAD) haina uwezo wa kudhibiti makombora ya N. korea ndo maana US ana haha!!!

Ngw'ana Kabula

Hii mitambo ya THAAD ina uwezo wa kuharibu ndege za Syria na RPGs tu, zaidi ya hapo hakuna kitu chochote. Sema jamaa wanajua kujitangaza. Huwa nahisi ipo more kibiashara zaidi ya kiuhalisia.
 
Ni dhahiri kuwa sasa hivi USA amesh weka mikono kichwa hamuwezi tena kim

Profesa wa sayansi katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Massachusetts (MIT) cha Marekani Vipin Narang amesema hiyo itakuwa hatua kubwa sana iliyopigwa na Pyongyang katika kuzuia maadui kushambilia kwa sababu bomu kama hilo linaweza kuangamiza jiji.
je kuna mtu atakubali kuona jiji lake linakuwa jagwa likiwa mavumbi kwa mavumbi!!
 
North korea hawataki kurejea hali iliyowapata miaka ya 50,

ile vita wamarekani walitupa mabomu kuliko hata katika vita vya pili vya dunia,
mabomu tani 650,000?

Mji wa pyoyang uliharibiwa wote majengo ya maana yaliyobaki ni mawili tu yakiwa yamesimama.

Ilifikia hatua ndege za marekani zilikosa kitu cha kushambulia kwani walikuwa wameharibu kila kitu.

Wakorea milioni 3 walikufa,na hiyo ni karibu nusu ya wananchi wa korea,

baada ya hapo wakorea waliapa ,Never again are we going to be so weak,and if we are to die,we will take them with us.....

Duh, hii story ndio naisikia leo. Basi ndo maana jamaa kawa jeuri hata haogopi chochote. Na kweli this time he'll take them with him.
 
Back
Top Bottom