NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

North Korea wako vizuri sema wazungu koko wanawa demonoze sana.

Wakati south Korea ni is a very poor country without a support from USA.

Siku USA akiondoa mkono wake wa misaada.pale South Korea, basi wananchi wao watakuwa kama miti wakati wa kiangazi.
 
Hahahahaha Trump yupo twitter



Trump, he knows nothing about war.

He is thinking that the war is like to conduct a media PR and publicity in order to gain much customers or clients for a certain brand.

Acha aendelee kuongea kuandika huko Twitter, ataisikizia ICBM iliyobeba hydrogen bomb ikifukua kutoka uvunungni mw kitanda chake ndiyo wataelewa mzazi wa
 
hi kitu ni hatari mkuu muda huu Trump anaweza kuwa yupo chooni ana jisaidia kwa kuumwa na tumbo hii kitu ni More explosive: Compared with the atomic bomb (the kind dropped on Japan in the closing days of the Second World War), thehydrogen bomb can be far more powerful – by 1,000 times or more, experts say. Atomic bombs rely on fission, or atom-splitting, just as nuclear power .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mkuu Fundi wacha kunichekesha bhanaa.

Nazani kwa hili dude tumesha chukua point tatu muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ndio nimejua kuwa N.K wako vizuri kiteknolojia na maendeleo tofauti na propaganda za US.Trump hana namna zaidi ya kujifariji.Hivi vijamaa vina akili sana aisee
 
N.korea wanakuja juu kijeshi,
Lakini ukweli ni kwamba hawana uwezo wa kuishinda U.S.A maana ilo bomu wanajaribu leo histori inaonyesha miaka ya 60s, na 70s, U.S.A na RUSSIA walikuwa wakishindana (ARM RACE) ku develope Kijeshi ingawa RUSSIA alimpiga hatua U.S.A kwa kuwa na more powerful hydrogen bomb(ulimwengu haujawahi kushuhudia uwepo wake) ktk miaka ya 70s,
Kwaiyo natumaini U.S.A mpaka leo ana posses more destructive weapon kuliko N.Korea ni kwamba anashindwa kuzianika kwa maana kila leo anapiga diplomasia za ukandamizaji kwa kupinga matumizi ya silaha za maangamizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee mkuu mbona umelinisha maneno, embu niQuote wapi nilishawahi sema ICBM ni bomu, wapi?!

Pili NK bado hawajaweza kuweka bomu kwenye ICBM ndo wapo kwenye hizo process
d5bff1f16328765dee4a0b9d11dace87.jpg


Ukishaweka bomu kwenye kombora lazima uhakikishe linahimili joto kwenye re-entry process. Ndo jamaa wanahangaika na hilo hivi sasa.
089141fb958fa213fa1077e47074a97b.jpg


Ps: ICBM ni moja ya njia ya usafirishaji wa nyuklia, maana inaweza pia kusafirishwa hata kwa ndege kwenda kushambulia kama ambavyo Marekani ilifanya WWII, ilitumia B-29 bomber kusafirisha mabomu toka Marekani kwenda kushambulia Japan.

fundi25 nadhan utakua umenipata

Mkuuu mi nakufatilia sana, kweli mambo unayajua na unasoma vitu ving na ndio njia nzur yakujadiliana maana haiwezekan wote tukawa upande mmoja tutashindwa kuchambua kisom zaid kuweka misifa tuuu pasipo elimu.

Mtazamo wangu bado naona US ni watu wa propaganda tuuu kwakutumia midia ambazo zinatukuza mapenz yao kwakuitishia dunia kuwa kila jambo wao ndio bora ila ukweli wanaujua wao.
Wenye akili tunachambua kwa matukio sio maneno na picha
Kama NK bado ajaweza kuweka kicha ya bom kwenye ICBM marekan asinge kuwa na hofu na angemzibit mapema. Ila anachukulia kigezo cha SK na Japan kuficha udhaifu wake.
Ktk issue ya NK US amekuwa mtu wa mikwala tuu na NK mtendaji kwa ayasemayo ndio maana baada ya kusema atalipua meli za kivita za us walizitoa haraka.
Wao wanajua ugum na hatar ya NK na awawek wazi had tukio kiduku afanye wao waje na maneno ya dharau au mikwala

Mkuuu miaka itapita mingi wote watakaa kimya na NK kuwa taifa kubwa sana
Wakijifanya wanajua utakuwa mwisho wao hata kama watashinda ila dunia kwao itakuwa historia tuu kuwa walikuwa super power
 
North Korea wako vizuri sema wazungu koko wanawa demonoze sana.

Wakati south Korea ni is a very poor country without a support from USA.

Siku USA akiondoa mkono wake wa misaada.pale South Korea, basi wananchi wao watakuwa kama miti wakati wa kiangazi.
South Korea is very poor country?We jamaa acha uongo aisee,hujui hata SAMSUNG,Co. Ya HYUNDAI etc huko ndio kwao afu unadai ni very poor country na inaitegemea USA.

Siipendi US lkn uongo wako ni wa level za KIMAKINIKIA aisee.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Kaka Kiduku hizo sasa sina naona kwa jirani dawa za presha na za kuzuia kuharisha hovyo zimekwisha kwa nnavyokujua Kiduku wiki hii hii utatest hadi bomu la upupu
 
South Korea is very poor country?We jamaa acha uongo aisee,hujui hata SAMSUNG,Co. Ya HYUNDAI etc huko ndio kwao afu unadai ni very poor country na inaitegemea USA.

Siipendi US lkn uongo wako ni wa level za KIMAKINIKIA aisee.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
Huu uzi unachekesha sana ujue..?
Yaani wako watu wanaongea story za mtaani hapa zisizokuwa na ukweli wowote..[emoji3][emoji3][emoji3]

Actually me naenjoy! Wish to see more comments..
 
2d0911357d8212ed110554a3f9508734a81a698c1ffc9f1abf9b938d30b2002d_3992553.jpg


Nguvu ya tetemeko la ardhi lilikuwa limepimwa likiwa ni 6.3

Na uzito wa bomu hilo ni kiloton 100

Ni zaidi ya uzito wa bomu la nyuklia ambalo lilitupwa na Marekani mjini Nagasaki mwezi August mwaka 1945 na kumaliza vita vya pili vya dunia.

Hii ni ishara kwamba Korea Kaskazini hajaogopa vitishoi vya Marekani na washirika wake Japan na Korea Kusini ambao walikuwa wakifanya mazoezi ya kutisha katika ukanda wa Korea.

Njia ya kumaliza huu mgogoro ambao kwa kiasi kikubwa unachangiwa na kauli za raisi Donald Trump kama ile ya Korea Kaskazini kukumbana na hasira na moto wa Marekani kuishambulia Korea Kaskazini, ni mazungumzo na majadiliano.

Kim hatanii na sasa yupo tayari kukabiliana na nchi yoyote ile.


Baada ya kutoka na hili, he's like a timing bomb sasa.
Anaweza kulipuka anytime, anywhere.
 
Kila risasi moja itakayotokea america na kutua Pyongyang itajibiwa kwa kombora! Daah hizi zama zimebadilika u.s.a turn down while NK turn up..!!
North Korea (Kim) hana cha kupoteza kama mjomba wake alichinjwa na kukatwa katwa vipande then wakapewa mbwa wale..how about trump!? (Human can create their own destiny falsafa ngumu sana hii..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani sasa ni muda umefika wa Marekani kurudisha silaha zao za nyulkia pale SK.Na wawaruhusu SK kuzitumia pale wanapoona wanatishiwa hii itamtia akili huyu dogo.Tena warudishe yale mabomu yao ya Hydrogen ya 1.2 Megatons.


Nini sababu ya US kutoa hizo nuke weapons toka SK?!, walimwamini baba yake Kiduku zaidi ama?
 
Mabomu ya Haidrojeni ndiyo yenye nguvu zaidi kuwahi kuundwa duniani. Ni ya nyuklia lakini huwa na tofauti kidogo na mabomu ya atomiki.

Bomu la Haidrojeni kutoa nishati yake kutokana na kuunganishwa kwa atomu mbili ilhali la atomiki hutokana na kupasuliwa kwa atomu.

Korea Kaskazini imewahi kudai kuwa imefanyia majaribio bomu la Haidrojeni awali, Oktoba mwaka jana, lakini madai hayo hayakuthibitishwa.
 
Huu uzi unachekesha sana ujue..?
Yaani wako watu wanaongea story za mtaani hapa zisizokuwa na ukweli wowote..[emoji3][emoji3][emoji3]

Actually me naenjoy! Wish to see more comments..
Daah asee ni kweli mkuu.Gahawa nyingi sana aisee.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Back
Top Bottom