NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

Hydrogen bomb ina nguvu kuliko atomic bomb iliyoangushwa hiroshima na nagasaki,,,hili hydrogen ni mahsusi kwa ajili ya kutekeza miji mikubwa kama washington,tokyo,na soul
 
2d0911357d8212ed110554a3f9508734a81a698c1ffc9f1abf9b938d30b2002d_3992553.jpg


Nguvu ya tetemeko la ardhi lilikuwa limepimwa likiwa ni 6.3

Na uzito wa bomu hilo ni kiloton 100

Ni zaidi ya uzito wa bomu la nyuklia ambalo lilitupwa na Marekani mjini Nagasaki mwezi August mwaka 1945 na kumaliza vita vya pili vya dunia.

Hii ni ishara kwamba Korea Kaskazini hajaogopa vitishoi vya Marekani na washirika wake Japan na Korea Kusini ambao walikuwa wakifanya mazoezi ya kutisha katika ukanda wa Korea.

Njia ya kumaliza huu mgogoro ambao kwa kiasi kikubwa unachangiwa na kauli za raisi Donald Trump kama ile ya Korea Kaskazini kukumbana na hasira na moto wa Marekani kuishambulia Korea Kaskazini, ni mazungumzo na majadiliano.

Kim hatanii na sasa yupo tayari kukabiliana na nchi yoyote ile.
 
kiduku hana simile kutumia hizo silaha...na haogopi kitu..

anafuata nyayo za Hitler..na Kim ndiye atakuja kuwa rais wa dunia...Trump makamu wake

vita inajongea na haikwepeki..

.. sivyo Kim aendelelee na makombora yake;na rasmi atakuwa rais wa dunia
 
North korea hawataki kurejea hali iliyowapata miaka ya 50,

ile vita wamarekani walitupa mabomu kuliko hata katika vita vya pili vya dunia,
mabomu tani 650,000?

Mji wa pyoyang uliharibiwa wote majengo ya maana yaliyobaki ni mawili tu yakiwa yamesimama.

Ilifikia hatua ndege za marekani zilikosa kitu cha kushambulia kwani walikuwa wameharibu kila kitu.

Wakorea milioni 3 walikufa,na hiyo ni karibu nusu ya wananchi wa korea,

baada ya hapo wakorea waliapa ,Never again are we going to be so weak,and if we are to die,we will take them with us.....
 
North korea hawataki kurejea hali iliyowapata miaka ya 50,

ile vita wamarekani walitupa mabomu kuliko hata katika vita vya pili vya dunia,
mabomu tani 650,000?

Mji wa pyoyang uliharibiwa wote majengo ya maana yaliyobaki ni mawili tu yakiwa yamesimama.

Ilifikia hatua ndege za marekani zilikosa kitu cha kushambulia kwani walikuwa wameharibu kila kitu.

Wakorea milioni 3 walikufa,na hiyo ni karibu nusu ya wananchi wa korea,

baada ya hapo wakorea waliapa ,Never again are we going to be so weak,and if we are to die,we will take them with us.....
 
The problem ni kuwa Nk hawana busara...dudes are ready for war, with the recently tested ICBMs lets pray for US to calm down otherwise tutegemee vita ya 3 ya dunia.

Busara za Us ni muhimu sana kumaliza huu mgogoro.
 
Ujue nuke haijawahi kutumika kushambulia popote!
Hydrogen bomb ni mchumba wa nuclear bomb.
hi kitu ni hatari mkuu muda huu Trump anaweza kuwa yupo chooni ana jisaidia kwa kuumwa na tumbo hii kitu ni More explosive: Compared with the atomic bomb (the kind dropped on Japan in the closing days of the Second World War), thehydrogen bomb can be far more powerful – by 1,000 times or more, experts say. Atomic bombs rely on fission, or atom-splitting, just as nuclear power .
 
The problem ni kuwa Nk hawana busara...dudes are ready for war, with the recently tested ICBMs lets pray for US to calm down other tutegemee vita ya 3 ya dunia.

Busara za Us ni muhimu sana kumaliza huu mgogoro.
mkuu hapo kwenye red ni kwamba hakujawahi kuwepo vita ya kwanza na ya pili ya dunia,zilikuwa ni vita za ulaya
 
Back
Top Bottom