NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

kwaiyo umeelewa siku changanya cement na unga wa ngano siyo!!!
kwaiyo ule mzigo wa kim uliyokatiza kwenye mawingu ya japan unaitwaje!!!


Kitu kilipokatisha na kuzama baharini ndipo waziri mkuu wa Japan aliamua kulala juu ya Simu akilialia mbele za USA , Trump alipoona kilio cha Japan kimezidi ikabidi aende kwenye Twitter zake kupiga kelele huku N Korea akiongea kwa vitendo.

Japan, na South Korea, soon watashuhudia ICBM ikiripoti sebuleni kwao. Ndipo heshima ya NK itakaporudi mbele za watu wote.

Nk. She is Walking a talk under Commander Kim Jong-Un, Bravooooo!!
 
North Korea plans moon landing by (NADA [National Aerospace Development Administration])

220px-NADA_-_National_Aerospace_Development_Administration.jpg


2dd6df02fbbc6b1a3abb1ea4c0c710e0


6297dbbedf68fc759778e1466031f011


North Korea plans moon landing
 
Hivi unajua kwamba kabla NK hawajafanya jaribio US,SK na Japan wanakua washajua kama jamaa anataka kufanya jaribio, unajua hilo?!. Jamaa wanaifatilia NK 24/7,hata lile kombora la juzi liliroruka Japan SK walitoa taarifa kwamba NK wanajiandaa kufanya test. Pia hili jaribio leo kwa taarifa yako walidhani litafanyika mwezi April maana waliona shughuli zimeomgezeka kwenye maeneo ya majaribio NK wakajifanya kuzuga eti wanajenga viwanja vya volleyball kwenye maeneo ya nuclear sites, uliona wapi?!
716548410d89e1d4dcecfab703a5405e.jpg


Pia hata hili jaribio la juzi Marekani ilishatoa tahadhali tangu mwezi uliopita kwamba NK anajiandaa kufanya jaribio lingine la nuclear.


Kim Jong-Un, he's walking his talk.

For independent countries like Japan and SKorea helding meetings and reporting to USA its a weakness and a shame.

Why don't they decide to fight North Korea or defend themselves!?

Kim Jong-Un keep it up Boy, your doing very well.
 
Red Star 3.0 OS from North Korea

maxresdefault.jpg


red-star-os-3-100537613-orig.png


ryonghung ipad from North Korea



40F7DA8C00000578-0-image-a-6_1496246091422.jpg

This is North Korea

https%3A%2F%2Fblueprint-api-production.s3.amazonaws.com%2Fuploads%2Fcard%2Fimage%2F492881%2F602db332-06c1-4719-a7c6-c6a0dc9d8fa6.png

Hwiparam II sedan Car made in North Korea (By Pyeonghwa Motors)
Pyeonghwa-Hwiparam-II.jpg


Pyeonghwa Motors - Wikipedia
Mkuu hizi ndio habari nlizotaka kuzisikia.sio kioa siku tunaletewa habari zao mbaya tu
 
Kuna habari nyingi sana nzuri toka North Korea. Ila CNN na BBC wanawachafua.
Kusema la ukweli hata mie nmekuwa mvivu kuresearch kuhusu hii inchi.mara nyingi habari zao recent huwa nazikuta humu jf.na sisi tubadilike tuache kuwa war mongers na kushabikia habari zisizokuwa na tija kwetu.
 
Back
Top Bottom