Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,379
Kwani hiroshima na nagasaki,bomu gani lilitumika?
In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
Atomic Bomb, sio Nuclear wala Hydrogen
Kwani hiroshima na nagasaki,bomu gani lilitumika?
In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
"Little boy"Kwani hiroshima na nagasaki,bomu gani lilitumika?
In white-colr crime, there are ink stains instead of bloodstains.
Hivi unajua kwamba kabla NK hawajafanya jaribio US,SK na Japan wanakua washajua kama jamaa anataka kufanya jaribio, unajua hilo?!. Jamaa wanaifatilia NK 24/7,hata lile kombora la juzi liliroruka Japan SK walitoa taarifa kwamba NK wanajiandaa kufanya test. Pia hili jaribio leo kwa taarifa yako walidhani litafanyika mwezi April maana waliona shughuli zimeomgezeka kwenye maeneo ya majaribio NK wakajifanya kuzuga eti wanajenga viwanja vya volleyball kwenye maeneo ya nuclear sites, uliona wapi?!hayo ma S400 hayahusiani kabisa na issue ya kim na trump.
Dogo kapitisha dude juu ya japan USA hajaona kitu. Wakati USA ndiye mlinzi wa japan.
USA tambo za kuwaonea wanyonye na propaganda za kwenye movie za expendable.
malizia mkuuKaka, dah, uwe na fact basi, maana ulivyoeleza ni kama Ulikuwepo wakati wanaangaika,
Iko hivi ndugu yangu, ICBM yenyewe wala sio Bomu, bali ni chombo kinachowezesha usafirishaji wa silaha unayotaka uitume kwa adui (war head), sifa yake kuu ni uwezo wa kusafiri masafa marefu kutoka bara moja kwenda lingine, na pia uwezo wa kuliongoza pa kwenda (target), so ICBMs linaweza kiwa na kichwa (war head) cha Atomic Bomb, Nuclear, Biological, Chemical, au hata hilo Hydrogen bomb
So hapo walichokiwa wanaangaika nacho ni kuwa bomu linafaa au wamechemsha?, so far so good, bomu limepita kwenye viwango vinavyokubalika na limekuwa detected Japan na South Korea,
hilo bomu kulifunga kwenye ICBMs wala sio tatizo, Wakorea Kaskazini wala hawawezi kuangaika jinsi ya kufunga hiyo war head ya Hydrogen Bomb kwenye ICBM just unafungua Nuclear war head na kufunga Hydrogen bomb
Anaichezeaje sasa. Huoni kama ni Taifa lililoamua kujilinda dhidi ya adui atakaeifanyia utoto?Jamani huyu mpuuzi anaichezea Marekani kipindi anajua kuwa Harvey ipo
Hivi kile kilichoshuka kule hiroshima ilikuwa nn vile...Ujue nuke haijawahi kutumika kushambulia popote!
Hydrogen bomb ni mchumba wa nuclear bomb.
malizia mkuu
kisha una mchapa fimbo punda mzigo unasogezwa unakotaka !!
bila shaka amekuelewa !!
Asee mkuu mbona umelinisha maneno, embu niQuote wapi nilishawahi sema ICBM ni bomu, wapi?!Kaka, dah, uwe na fact basi, maana ulivyoeleza ni kama Ulikuwepo wakati wanaangaika,
Iko hivi ndugu yangu, ICBM yenyewe wala sio Bomu, bali ni chombo kinachowezesha usafirishaji wa silaha unayotaka uitume kwa adui (war head), sifa yake kuu ni uwezo wa kusafiri masafa marefu kutoka bara moja kwenda lingine, na pia uwezo wa kuliongoza pa kwenda (target), so ICBMs linaweza kuwa na kichwa (war head) cha Atomic Bomb, Nuclear, Biological, Chemical, au hata hilo Hydrogen bomb
So hapo walichokuwa wanaangaika nacho ni kuwa bomu walilolitengeneza linafaa au wamechemsha?, so far so good, bomu limepita kwenye viwango vinavyokubalika na limekuwa detected Japan na South Korea,
hilo bomu kulifunga kwenye ICBMs wala sio tatizo, Wakorea Kaskazini wala hawawezi kuangaika jinsi ya kufunga hiyo war head ya Hydrogen Bomb kwenye ICBM just unafungua Nuclear war head na kufunga Hydrogen bomb
Aisee. Hivi unajua japan walipata taarifa baada ya dude kupita? Hiyo video ya wajapan walikuwa wanaongea kwamba dude limepita.Hivi unajua kwamba kabla NK hawajafanya jaribio US,SK na Japan wanakua washajua kama jamaa anataka kufanya jaribio, unajua hilo?!. Jamaa wanaifatilia NK 24/7,hata lile kombora la juzi liliroruka Japan SK walitoa taarifa kwamba NK wanajiandaa kufanya test. Pia hili jaribio leo kwa taarifa yako walidhani litafanyika mwezi April maana waliona shughuli zimeomgezeka kwenye maeneo ya majaribio NK wakajifanya kuzuga eti wanajenga viwanja vya volleyball kwenye maeneo ya nuclear sites, uliona wapi?!![]()
Pia hata hili jaribio la juzi Marekani ilishatoa tahadhali tangu mwezi uliopita kwamba NK anajiandaa kufanya jaribio lingine la nuclear.
mkuu pia kwa speed inayo ongezeka pia mzigo unakuwa kwenye chombo salama zaidi ya ndege kufika Washington D.C.Nimeipenda hiyo ya kumchapa Punda, ni kweli kaka, unajua zamani Wamarekani walipoipiga Japan walitumia ndege kufika Japani na kisha wakadondosha hayo mabomu, kwa sasa unaweza kuwa Pyongyang unaseti coordinates za Washington kwenye Balistic kisha unabonyeza Go. Na mzigo wa Tone 500 unanyanyuka kuelekea ulikotumwa huku mnaliangalia kwenye screen
Hivi unajua kwamba kabla NK hawajafanya jaribio US,SK na Japan wanakua washajua kama jamaa anataka kufanya jaribio, unajua hilo?!. Jamaa wanaifatilia NK 24/7,hata lile kombora la juzi liliroruka Japan SK walitoa taarifa kwamba NK wanajiandaa kufanya test. Pia hili jaribio leo kwa taarifa yako walidhani litafanyika mwezi April maana waliona shughuli zimeomgezeka kwenye maeneo ya majaribio NK wakajifanya kuzuga eti wanajenga viwanja vya volleyball kwenye maeneo ya nuclear sites, uliona wapi?!![]()
Pia hata hili jaribio la juzi Marekani ilishatoa tahadhali tangu mwezi uliopita kwamba NK anajiandaa kufanya jaribio lingine la nuclear.
Hivi unajua kwamba kabla NK hawajafanya jaribio US,SK na Japan wanakua washajua kama jamaa anataka kufanya jaribio, unajua hilo?!. Jamaa wanaifatilia NK 24/7,hata lile kombora la juzi liliroruka Japan SK walitoa taarifa kwamba NK wanajiandaa kufanya test. Pia hili jaribio leo kwa taarifa yako walidhani litafanyika mwezi April maana waliona shughuli zimeomgezeka kwenye maeneo ya majaribio NK wakajifanya kuzuga eti wanajenga viwanja vya volleyball kwenye maeneo ya nuclear sites, uliona wapi?!![]()
Pia hata hili jaribio la juzi Marekani ilishatoa tahadhali tangu mwezi uliopita kwamba NK anajiandaa kufanya jaribio lingine la nuclear.
On point mkuu, North Korea was turned to ash! Wamefika hapo walipofika kwa jasho na damu na kama ulivyosema walishatamka NEVER AGAIN. Chini ya Uongozi thabiti wa Kim IL Sung wakorea walihanikiza falsafa ya JUCHE al-maarufu kama JUCHE Idea yaani binadamu anaouwezo wa ku dictate destiny yake. Falsafa hiyo iko kwenye damu ya wakorea wengi na pengine ni wote na hivyo wako tayari kuifia nchi yao no matter what.North korea hawataki kurejea hali iliyowapata miaka ya 50,
ile vita wamarekani walitupa mabomu kuliko hata katika vita vya pili vya dunia,
mabomu tani 650,000?
Mji wa pyoyang uliharibiwa wote majengo ya maana yaliyobaki ni mawili tu yakiwa yamesimama.
Ilifikia hatua ndege za marekani zilikosa kitu cha kushambulia kwani walikuwa wameharibu kila kitu.
Wakorea milioni 3 walikufa,na hiyo ni karibu nusu ya wananchi wa korea,
baada ya hapo wakorea waliapa ,Never again are we going to be so weak,and if we are to die,we will take them with us.....
wamarekani huwa ni wazee wa kuuza maneno zaidi ya vitendo kim amelitambua hivyo ndio maana alisema hawezi jadiliana na watu waliyo changanyikiwa akaongeza dawa yao ni kuwapiga tu !!Aisee. Hivi unajua japan walipata taarifa baada ya dude kupita? Hiyo video ya wajapan walikuwa wanaongea kwamba dude limepita.
Yaan N. Korea angekuwa mnyonge hivyo USA wangekuwa wameshapiga. N. Korea siyo mnyonge unavyodhani. Huu ni muda wa kumwambia USA imetosha kuonea watu. Kila mtu apambane na hali yake.
Russia anatoa kitu kipya S500.
Nasikiliza mpaka ile Press sijui ya Iran. Zote nnazo, kuanzia CNN,BBC,RT,Russian insider,Sputnik,zote nasikiliza.Tatizo lako unawasikiliza CNN sana.
hebu jaribu kusoma vitu bila kusikiliza propaganda za BBC na CNN.
Watu mmekuwa watumwa kwa marekani,,"Little boy"
Ni atomic and not nuclear.
Simba akinyeshewa mvua hageuki kuwa kondoo! Ni simba tu!
Kuishabikia N.K ni wendawazimu wa kujitakia.