Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,856
- 2,953
Habari wanajukwaa baada ya simu niliyokuwa nayo kusombwa na mafuriko,
Sasa ni wakati wa kununua simu nyingine na katika kuangalia nikaona kuwa kati ya simu hizo mbili sina sifa nizitakazo maana sina matumiz makubwa sana ya simu.
Bajeti yangu ni 500k ndo maana nikalenga simu hizo japo hiyo Infinix haifiki hiyo bei.
Naombeni ushauri wenu kwa wale wazoefu wa kutumia Infinix na nokia hizi zenye android, ili nifanye uchaguzi sahihi kati ya hizo mbili. Karibuni kwa ushauri wenu..
Sasa ni wakati wa kununua simu nyingine na katika kuangalia nikaona kuwa kati ya simu hizo mbili sina sifa nizitakazo maana sina matumiz makubwa sana ya simu.
Bajeti yangu ni 500k ndo maana nikalenga simu hizo japo hiyo Infinix haifiki hiyo bei.
Naombeni ushauri wenu kwa wale wazoefu wa kutumia Infinix na nokia hizi zenye android, ili nifanye uchaguzi sahihi kati ya hizo mbili. Karibuni kwa ushauri wenu..