Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

eka pureview camera tu tayari ushaifanya ipo level nyengine
Mtu hawezi kununua simu kwa ajili ya feature moja tu, kama ni kamera Samsung anamkimbiza sana Apple kwenye kamera lakini haifanyi mauzo ya Apple yapungue kwa sababu hiyo, nataka kujua atakuja na features zipi ambazo sio za kiushindani bali za kipekee ambazo wengine hawana zitakazowafanya wateja wabadili mawazo na kuhamia kwake, maana kumbuka Nokia ataingia kwenye mpambano wa kupora wateja wa kampuni nyingine na anahitaji nguvu ya ziada kuwateka hao wateja
 
Mtu hawezi kununua simu kwa ajili ya feature moja tu, kama ni kamera Samsung anamkimbiza sana Apple kwenye kamera lakini haifanyi mauzo ya Apple yapungue kwa sababu hiyo, nataka kujua atakuja na features zipi ambazo sio za kiushindani bali za kipekee ambazo wengine hawana zitakazowafanya wateja wabadili mawazo na kuhamia kwake, maana kumbuka Nokia ataingia kwenye mpambano wa kupora wateja wa kampuni nyingine na anahitaji nguvu ya ziada kuwateka hao wateja
Nokia ana fans wengi duniani anahitaji tu decent phone atauza tu. kama alifanikiwa kuuza windows phone sidhani kama android itakuwa tabu.

Nokia X series zilikuwa sio simu nzuri wala hazikuwa na specs kubwa lakini ziliuza sana, website moja tu ya online ya china inayoitwa JD iliuzwa unit 574,000 ndani ya siku 5 tu.

Nokia XL Clocks 574,000 Sales in China in 5 Days

na kuhusu camera, lumia 1020 na Nokia 808 zote zimeuza kwa ajili ya camera tu, watu wengi tena sana wanapenda camera, na nokia pia ana vitu kibao ambavyo toka aondoke sokoni hadi leo hakuna ambae katengeneza vizuri zaidi
-HAAC mics
-Clear black Display (pamoja na Nits)
-Build quality simu ikae miaka 5 hadi 10

pia ukiwa na simu ya Nokia unakuwa na Amani na vitu vyao sio simu za marekani wala china, hawakuibii Data kama wengine wanavyofanya

pia usifananishe camera za samsung na Apple hizo sio proffesional zina sensor ndogo hazina xenon flash, hazina zoom yoyote ya maana etc. japo zinatofautiana uzuri ila pro hawezi acha camera yake nyumbani kwa ajili ya simu hizo
 
Nokia ana fans wengi duniani anahitaji tu decent phone atauza tu. kama alifanikiwa kuuza windows phone sidhani kama android itakuwa tabu.

Nokia X series zilikuwa sio simu nzuri wala hazikuwa na specs kubwa lakini ziliuza sana, website moja tu ya online ya china inayoitwa JD iliuzwa unit 574,000 ndani ya siku 5 tu.

Nokia XL Clocks 574,000 Sales in China in 5 Days

na kuhusu camera, lumia 1020 na Nokia 808 zote zimeuza kwa ajili ya camera tu, watu wengi tena sana wanapenda camera, na nokia pia ana vitu kibao ambavyo toka aondoke sokoni hadi leo hakuna ambae katengeneza vizuri zaidi
-HAAC mics
-Clear black Display (pamoja na Nits)
-Build quality simu ikae miaka 5 hadi 10

pia ukiwa na simu ya Nokia unakuwa na Amani na vitu vyao sio simu za marekani wala china, hawakuibii Data kama wengine wanavyofanya

pia usifananishe camera za samsung na Apple hizo sio proffesional zina sensor ndogo hazina xenon flash, hazina zoom yoyote ya maana etc. japo zinatofautiana uzuri ila pro hawezi acha camera yake nyumbani kwa ajili ya simu hizo
Ni kweli kabisa Nokia ana fans wengi na mimi ni mmoja wao, kama alifanikiwa kuuza Windows phone swali la kujiuliza je ilikuwaje Nokia akapotea na sasa hivi anatafuta kurudi kama ninavyoaminishwa na fans wenzangu hapa!?
Kuhusu camera, ni professional gani ataacha dslr camera abebe camera ya simu hata kama ni pro camera kwenda kupiga picha za kazi yake!? Camera za dslr bado zina Technology ya hali ya juu sana kiasi kwamba Camera za simu zitachukua mda mrefu sana kuzireplace camera za dslr kwenye market
Kuhusu data security Nokia alikuwa vizuri tu alipokuwa anatumia closed OS kama windows phone, Symbian, Maemo n.k lakini sio kwenye hii OS ya Android ambayo ni open OS, unless aanze kuifanyia modifications na iwe tofauti kabisa kitu ambacho hata blackberry kakishindwa kakubali yaishe
 
Ni kweli kabisa Nokia ana fans wengi na mimi ni mmoja wao, kama alifanikiwa kuuza Windows phone swali la kujiuliza je ilikuwaje Nokia akapotea na sasa hivi anatafuta kurudi kama ninavyoaminishwa na fans wenzangu hapa!?
Kuhusu camera, ni professional gani ataacha dslr camera abebe camera ya simu hata kama ni pro camera kwenda kupiga picha za kazi yake!? Camera za dslr bado zina Technology ya hali ya juu sana kiasi kwamba Camera za simu zitachukua mda mrefu sana kuzireplace camera za dslr kwenye market
Kuhusu data security Nokia alikuwa vizuri tu alipokuwa anatumia closed OS kama windows phone, Symbian, Maemo n.k lakini sio kwenye hii OS ya Android ambayo ni open OS, unless aanze kuifanyia modifications na iwe tofauti kabisa kitu ambacho hata blackberry kakishindwa kakubali yaishe
mkuu nokia aliifanya windows phone kuuza 10+ milion units, toka nokia aanze kutoa simu za wp8 hakuna quarter ambayo mauzo yalishuka, muda wote yalikuwa yakipanda tu mpaka department ya simu ilipouzwa msft, ni msft wenyewe ndio walibugi ila sio Nokia.

sijasema camera za simu za Nokia zinareplace dslr ila kwa jinsi dslr zilivyo kubwa wapo pro kibao kuna maeneo wanatumia camera za simu. wakati lumia 1020 inatoka jamaa wa National Graphics si walikuwa wanazitumia? juzi tu jawaa wamehamia iphone sababu Microsoft wanawazingua na lumia kwa kutoeka vitu wanavyotaka.

google stephen alvarez utampata photographer mwenyewe.

unaona hii? hii ni macro shot ya macho ya paka imepigwa na pureview

8564029977_be0ae617c0_b.jpg


vitu kama hivi huwezi vipata kwenye kila simu

na kuhusu security ndio Android sio secure lakini kuna mambo mengine yanazuilika, hata symbian sio secure enzi zake ilikuwa na virusi kibao lakini kuna utofauti na pre installed malware ambao wanaekwa kabisa kiwandani ili kuiba data zako. siku hizi malware kila eneo hadi kwenye updates official za manufacture kuna malware
 
pia ukiwa na simu ya Nokia unakuwa na Amani na vitu vyao sio simu za marekani wala china, hawakuibii Data kama wengine wanavyofanya

Unapokuwa unageneralize mambo kirahisi huwa inasikitisha.
huwezi jua anachokifanya chura akiwa chini ya maji.

Nokia anatapatapa.
 
Yeah,nokia ni wazuri na cm zao zinakaa na charge mda mrefu si kama samsung.mi ninazo natumia zote nimeona difference!
 
kweli haijafanya uzinduzi china sijui kwa nn nokia wakaamua kuzindulia simu yao hii china
Pole sana kwa uelewa wako, naona hujamuelewa Chief.

Kwa kifupi alichomaanisha ni kwamba tecno ni takataka tu mbele ya Nokia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom