Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

nokia wamefanya siri sana kwenye kuzindua hii mashine sasa kwanini wazindulie china?na sio ulaya na marekani...
pia HMD GLOBAL watatoa simu kama sita kwa mwaka huu ndio maana wengi wanasubiri waone innovation zao pale Barcelona Mwezi April

tusubiri flagship Nokia D1C labda graphene sensor itaanza
hii ndio D1C

mwc 2017 HMD watakuwepo tutaona simu nyengine za kimataifa pale
 
nokia walikuwa vizuri sana sijui walijichanganya vipi, sasa hivi hata kama wanarudi kwa kasi na hayo matoleo yao bado watakuwa nyuma ya kampuni kubwa kama samsung, Apple nk., kwa sasa watabaki kushindana na akina tecno, itel na infinix
 
nokia walikuwa vizuri sana sijui walijichanganya vipi, sasa hivi hata kama wanarudi kwa kasi na hayo matoleo yao bado watakuwa nyuma ya kampuni kubwa kama samsung, Apple nk., kwa sasa watabaki kushindana na akina tecno, itel na infinix
toka Tecno ianzishwe ushasikia wamezindua simu china?
 
nokia walikuwa vizuri sana sijui walijichanganya vipi, sasa hivi hata kama wanarudi kwa kasi na hayo matoleo yao bado watakuwa nyuma ya kampuni kubwa kama samsung, Apple nk., kwa sasa watabaki kushindana na akina tecno, itel na infinix
apple na samsung bado wapo nyuma kwa nokia jitahidi kuuliza juu ya innovation za nokia ndipo utajua ulimwengu wa tech unaendaje
 
Mi ni mbishi sana na tecno yangu,ila hii ngoma inanishawishi aisee
 
apple na samsung bado wapo nyuma kwa nokia jitahidi kuuliza juu ya innovation za nokia ndipo utajua ulimwengu wa tech unaendaje
mkuu nokia hawezi kuwa mbele ya akina Samsung na apple na unaposema niulize sijui unamaanisha nikaulize wapi zaidi ya gsmarena
 
Wangeenda up to 5000mAh...
simu nyingi za mediatek ndio zina mabattery makubwa sababu soc zao hazikai na chaji, simu ya snapdragon ambayo ipo optimized vizuri inaweza kua na mah chache ikakaa sana na chaji.

mfano mzuri ni simu kama sony xperia z3 compact, ina mah 2600 tu lakini inazipita simu kibao zenye 4000 au 5000mah.

battest.jpg


na simu inapokuwa na battery kubwa ndio jinsi inavyokuwa nene na nzito, kuna simu zina robo kilo kiasi kwamba unaona hadi uvivu kuibeba
 
simu nyingi za mediatek ndio zina mabattery makubwa sababu soc zao hazikai na chaji, simu ya snapdragon ambayo ipo optimized vizuri inaweza kua na mah chache ikakaa sana na chaji.

mfano mzuri ni simu kama sony xperia z3 compact, ina mah 2600 tu lakini inazipita simu kibao zenye 4000 au 5000mah.

battest.jpg


na simu inapokuwa na battery kubwa ndio jinsi inavyokuwa nene na nzito, kuna simu zina robo kilo kiasi kwamba unaona hadi uvivu kuibeba
Kweli mkuu simu ikiwa nyepesi sio kabisa
 
nokia wamefanya siri sana kwenye kuzindua hii mashine sasa kwanini wazindulie china?na sio ulaya na marekani...
pia HMD GLOBAL watatoa simu kama sita kwa mwaka huu ndio maana wengi wanasubiri waone innovation zao pale Barcelona Mwezi April

tusubiri flagship Nokia D1C labda graphene sensor itaanza
Wanadai wameangalia soko kubwa la manunuz kwa sasa ni china inayokadiliqa kuwa na watumiaji 560m...so wanasema simu zao watakuwa nying watalenga kwanza huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom