Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

mhh najifunza kitu hapa ina maana ukubwa wa mah sio kigezo pekee cha ukubwa wa battery?
chukulia mfano wa magari, gari likiwa na tank kubwa la mafuta ndio linaenda umbali mrefu kabla mafuta hayajaisha?

kuna magari vitank vyake vidogo tu kama vile vitz lakini hayali sana mafuta ila kuna magari kama land cruiser yana matank makubwa lakini mafuta yanaenda upesi upesi.
 
Nokia wangu nakupenda miaka yote I hold u down sikuachii leo na kesho
13947228358e18da0062bc8d27d87eec.jpg
mobile-gall
 
chukulia mfano wa magari, gari likiwa na tank kubwa la mafuta ndio linaenda umbali mrefu kabla mafuta hayajaisha?

kuna magari vitank vyake vidogo tu kama vile vitz lakini hayali sana mafuta ila kuna magari kama land cruiser yana matank makubwa lakini mafuta yanaenda upesi upesi.
Asante kwa ufafanuzi.
 
Windows Phone na iOS.
Mi niko window tu ila natamani niingie tena kwenye huu mziki wa nokia au nimsubir baba eti Bill gates na mzigo wa surface phone manake ni hatari sana

Sent from mTalk using microsoft lumia 950xl
 
Mi niko window tu ila natamani niingie tena kwenye huu mziki wa nokia au nimsubir baba eti Bill gates na mzigo wa surface phone manake ni hatari sana

Sent from mTalk using microsoft lumia 950xl
Chaguo lako tu mkuu.

Mi naangalia zaidi customization na ecosystem ya platfom..
 
Sioni Nokia akiwa tofauti kama zamani, vazi lake la Android hatakuwa na tofauti na wenzie akina htc, Samsung, Sony na wengine, tumeshuhudia blackberry alipovaa hili vazi la Android sikuona la maana lolote
 
Nikiichoka hii Lumia 650 yangu ndo ntanunua hiyo, sababu ya kununua hiyo simu ni kuwaona walivyorejea wamekuja na nini kipya, ila binafsi napenda Windows Phone pia nna mpango wa kwenda ios, ila kwa kifupi hawa jamaa huwa nawakubali tangu Symbian
 
Sioni Nokia akiwa tofauti kama zamani, vazi lake la Android hatakuwa na tofauti na wenzie akina htc, Samsung, Sony na wengine, tumeshuhudia blackberry alipovaa hili vazi la Android sikuona la maana lolote
eka pureview camera tu tayari ushaifanya ipo level nyengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom