Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Nataka high rangeipo yenye snapdragon 835 imeleak ila haijatoka bado, hii ni midrange tu,
Nataka high rangeipo yenye snapdragon 835 imeleak ila haijatoka bado, hii ni midrange tu,
umekosea processor mkuu, ina snapdragon 505Kampuni ya HMD global leo imezindua simu mpya ya Nokia 6 huko china.
![]()
Nokia 6 Specifications:
- 5.5-inch FullHD screen (2.5D glass, Gorilla Glass 3)
- 154 x 75.8 x 7.85 mm (camera bulge 8.4 mm)
- Qualcomm Snapdragon 430
- 4GB RAM
- 64GB internal + MicroSD
- 16MP back and 8MP front camera
- 3000mAh
- Dolby Atmos
- 6000-series aluminum unibody
- Android 7.0 Nougat
![]()
bei yake ni dola 245, around 540,000 za kitanzania. ila kwa sasa imezinduliwa china tu masoko mengine bado
samsung ipi? ina element nyingi ya fabula design ambayo ni design ya Nokia.tatizo design yake ni kama wamecopy kutoka kwa samsung.
hakuna processor ya simu inayoitwa snapdragon 505 labda umemaanisha gpu ndio ipo inaitwa adreno 505umekosea processor mkuu, ina snapdragon 505
Mkuu huoni home button yake ya Nokia 6 imefanana sana na ya samsung?samsung ipi? ina element nyingi ya fabula design ambayo ni design ya Nokia.
kwa nyuma
![]()
kwa mbele
![]()
mkuu lumia ni mpaka ueke logo ya msft kwenye home button na pia ina design language yake, pia nokia n9 (mwanzilishi wa fabula) haikua na button yoyote.Mkuu huoni home button yake ya Nokia 6 imefanana sana na ya samsung?
Lumia ndio ina upekee.
Nimeisikia hii. Ngoja nijiopange kuhamia apple mwaka huuOnce you go apple you never turn back!
gpu adreno 505 , nlisoma vibaya , upo sawa mkuuhakuna processor ya simu inayoitwa snapdragon 505 labda umemaanisha gpu ndio ipo inaitwa adreno 505
hii simu soc yake inaitwa snapdragon 430 ambayo ndani ina
-processor yenye core 8 za cortex a53
-gpu ya adreno 505
-modem za x6 lte
-chip za wifi, bluetooth, audio, camera etc
Unaitumia Os ipi mkuuNtaifanya kama second phone. Hakuna OS nnayoichukia kama Android.
Inakuaje hiyo kiongozi fAfanuaMimi wamenikuna sana kwenye audio kwa kusapoti Dolby Atmos maana ni mpenzi sana wa mziki.
Nokia kwenye batteries wapo vizuri mno uliza kuhusu nokia lumia 1520 ilikuwa na mAh 2500 lakini ilikuwa simu bora yenye kukaa na chaji
Unaweka launcher unamaliza kila kitu!!!Icons mbaya