Dolby Atmos ndo nini Mkuu!?Mimi wamenikuna sana kwenye audio kwa kusapoti Dolby Atmos maana ni mpenzi sana wa mziki.
Dolby Atmos ndo nini Mkuu!?Mimi wamenikuna sana kwenye audio kwa kusapoti Dolby Atmos maana ni mpenzi sana wa mziki.
Subiri hii Nokia bongo wewe ili ufaidi.Vipi kuhusu Microsoft 650 au 800 ?, mi nataka kununua hiyo simu
chatoBora wangeizindulia Chato

Icheki youtubeAcha bhana Mkuu!
mkuu hio ni concept tu imetengenezwa na mapenzi wa Nokia, si simu halisiNokia edge itakuwa balaa jana nmeona video ya specs zake nadhani mwaka huu kabla haujaisha inatoka
Atmos ni brand name ya speaker za Dolby ambayo hutumika kwenye kumbi za cinema, majumbani etc wametoa speaker za simu ambazo ni nzuri kushinda speaker za kawaida. hizi speaker zilitumika kwenye flagship ya zte ya axon 7, unaweza ukacheki review za hio axon kwenye upande wa speaker kuona uzuri wakeDolby Atmos ndo nini Mkuu!?
sio aosp ni stock android, yaani android ambayo haijabadilishwa kitu chochote toka google.jamaa mbona hajatest camera ya mbele huyu ,, afu naona aosp kama ya xiaomi
Vipi kuhusu Microsoft 650 au 800 ?, mi nataka kununua hiyo simu
Bei yake kuanzia 400k kwa Lumia 650 ila hiyo Lumia 800 sifahamu, sasa hv zimeadimika sana madukani, mimi ninayo Microsoft Lumia 650 Dual SIM naweza kukuuzia kama utahitajiMkuu Microsoft 650 ni shs ngapi ?
wale wa flagship utakuja WAHEED SUDAY kuna leaks za flagship ya Nokia hapa
seems kulikuwa na nokia 8 ces kwenye banda la qualcomm kuna jamaa amechukua video
-5.7 quad hd
-super amoled display
-24mp camera yenye OIS na EIS (optical image stabilization na electrical image stabilization) angalia video kuona isivyoathirika na mtikisiko
-nokia logo inayowaka (vita vya matunda vitaanza)
-speaker mbili za mbele
-64 na 128gb storage na 4gb na 6gb ram pamoja na sd card hadi 256gb
-snapdragon 835 au 821
ina sata 2 3gbpsChief-Mkwawa naomba nitoke nje ya mada kidogo, je inawezekana kuweka SSD (Solid State Drive) kwenye Dell Latitude E6400?
huwa kikawaida flagship zote za brand kubwa ni around dola 600, subiria MWC 26 february tutajua zaidimzigo umetulia ,price sijui itakuwa vip
Kuna duka kariakoo wanauza ya 128GB kwa 180kina sata 2 3gbps
ndio unaweka ssd hapo, ila usihangaike kutafuta za bei ghali hizi ssd za kawaida tu zitafaa
hapana aisee ni too much hio bei, used zinapita mitaani around 30,000 hadi 70,000 hivi. mpya ilitakiwa iwe around 80,000 hadi 100,000Kuna duka kariakoo wanauza ya 128GB kwa 180k
Kwa kuanzia nataka kujaribu hiyo ya 30,000 waweza nielekeza zinapopatikana?hapana aisee ni too much hio bei, used zinapita mitaani around 30,000 hadi 70,000 hivi. mpya ilitakiwa iwe around 80,000 hadi 100,000
na bei ya ssd inaenda na speed usisahau hilo
za humu humu hizo, kuna jamaa alizileta ila naitafuta ile thread siioni, zipo nyingi mtaani kwa bei ya 70,000 kushuka lakini ni jamaa ambao wanazitoa kwenye laptop za ssd na kueka HDD ili wauze (wabongo wanapenda kuangalia wingi wa gb) cheki kupatana, kkoo likoma jirani na kanisa la kkkt mitaa ile kuna maduka mengi ambayo unaweza kupataKwa kuanzia nataka kujaribu hiyo ya 30,000 waweza nielekeza zinapopatikana?
Shukrani mkuu,Wacha nikazichekiza humu humu hizo, kuna jamaa alizileta ila naitafuta ile thread siioni, zipo nyingi mtaani kwa bei ya 70,000 kushuka lakini ni jamaa ambao wanazitoa kwenye laptop za ssd na kueka HDD ili wauze (wabongo wanapenda kuangalia wingi wa gb) cheki kupatana, kkoo likoma jirani na kanisa la kkkt mitaa ile kuna maduka mengi ambayo unaweza kupata