Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

nokia wamefanya siri sana kwenye kuzindua hii mashine sasa kwanini wazindulie china?na sio ulaya na marekani...
pia HMD GLOBAL watatoa simu kama sita kwa mwaka huu ndio maana wengi wanasubiri waone innovation zao pale Barcelona Mwezi April

tusubiri flagship Nokia D1C labda graphene sensor itaanza
 
Dah embu nisubirie kwanza high end yao itoke ndio niongee lakini kwa kuangalia tu Nokia limebaki jina tu
 
Nokia kwenye batteries wapo vizuri mno uliza kuhusu nokia lumia 1520 ilikuwa na mAh 2500 lakini ilikuwa simu bora yenye kukaa na chaji
Lumia 1520 Ina 3400 mAh mkuu na endurance rating 107hrs
So far optimazition nzur mana G4 ina 3000mah lakin endurance rating ni 54hrs nahisi...

S5 ina 2800mah lakin endurance rating 85hrs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom