We nimjanja kama mimingoja zinunuliwe nunuliwe ikifika walau 350k ndo nitanunua
hahahaaaa kopi zake vipi ztakuwa bei ganKampuni ya HMD global leo imezindua simu mpya ya Nokia 6 huko china.
![]()
Nokia 6 Specifications:
- 5.5-inch FullHD screen (2.5D glass, Gorilla Glass 3)
- 154 x 75.8 x 7.85 mm (camera bulge 8.4 mm)
- Qualcomm Snapdragon 430
- 4GB RAM
- 64GB internal + MicroSD
- 16MP back and 8MP front camera
- 3000mAh
- Dolby Atmos
- 6000-series aluminum unibody
- Android 7.0 Nougat
![]()
bei yake ni dola 245, around 540,000 za kitanzania. ila kwa sasa imezinduliwa china tu masoko mengine bado
asante kwa ushauri mkuu nitajaribuchaja mkuu tafuta chaja yenye 5 volts na 2A itajaza vizuri tu.
1. hizo volts sio kubwa ni kawaida ila hizo amps ndio kubwa ili ijaze upesi upesiasante kwa ushauri mkuu nitajaribu
swali la nyongeza :
1. kwanini hata battery nikiijaza kwa
kobe nikiingiza kuanza kuitumia
charge inaisha haraka sana tofauti na
kawaida ilivokua?
2. nini kinasababisha mpaka simu
itake kuchajiwa kwa charger yenye
volt kubwa tofauti na ilivokua
natanguliza shukran
Vipi sisi tunaopenda nokia za tochi mbona zimeadimika au ndo kweli wamefilisikaKampuni ya HMD global leo imezindua simu mpya ya Nokia 6 huko china.
![]()
Nokia 6 Specifications:
- 5.5-inch FullHD screen (2.5D glass, Gorilla Glass 3)
- 154 x 75.8 x 7.85 mm (camera bulge 8.4 mm)
- Qualcomm Snapdragon 430
- 4GB RAM
- 64GB internal + MicroSD
- 16MP back and 8MP front camera
- 3000mAh
- Dolby Atmos
- 6000-series aluminum unibody
- Android 7.0 Nougat
![]()
bei yake ni dola 245, around 540,000 za kitanzania. ila kwa sasa imezinduliwa china tu masoko mengine bado
hawajafilisika ila department ya simu iliuzwa na sasa hivi department ya simu za tochi imenunuliwa na HMD na FoxconnVipi sisi tunaopenda nokia za tochi mbona zimeadimika au ndo kweli wamefilisika
Nasubiri kitochi , ila microsoft kwa nn hawatengenezi vitochihawajafilisika ila department ya simu iliuzwa na sasa hivi department ya simu za tochi imenunuliwa na HMD na Foxconn
wametoa simu moja tu sasa inaitwa Nokia 150, sio kitochi ila pia sio ya bei ghali inauzwa dola 26 hivyo huku pengine ikauzwa 70,000 au ukipata bahati 60,000
![]()
microsoft anataka mpunga mrefu hawezi kukujali wewe na kitochi cha dola 16. ila na yeye ndio ameshauza hivyo si yeye mwenye jukumu hiloNasubiri kitochi , ila microsoft kwa nn hawatengenezi vitochi
Hii Nokia 6 bado haijaingia?chaja mkuu tafuta chaja yenye 5 volts na 2A itajaza vizuri tu.
mkuu mpaka tarehe 26 mwezi huu ndio watazindua simu zao rasmi nje ya china.Hii Nokia 6 bado haijaingia?
Madukani itakua bei gani...?mkuu mpaka tarehe 26 mwezi huu ndio watazindua simu zao rasmi nje ya china.
bei yetu bado ila nafkiri watatoa za bei tofauti tofauti. pengine 200,000 hadi 2,000,000Madukani itakua bei gani...?
Woooooh bonge la simu aiseee inafaaaa
range ya simu zote watakazozindua rumors kutakuwa na simu kama 6 hivi zitazinduliwa mwaka huuChief sijakuelewa aisee hizo bei ni kwa ajili ya nokia 6 au samahani nimedandia treni kwa mbele
hata mimi hao hapo wamenivunja moyo..wenzao wanaongelea 4100 mahGood specs ila battery itabuma kwa watumiaji wa 24/7 kama mimi