Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,530
- 6,119
ingawa linafifia kwa kasi sana,watoe vitu vya maana sana kuwa active kama miaka 6 iliyopitaNokia jina ni kubwa sana
ingawa linafifia kwa kasi sana,watoe vitu vya maana sana kuwa active kama miaka 6 iliyopitaNokia jina ni kubwa sana
Mi ntasubiri wazindue Nokia double screen
Umenipa elimu nashukuru, ila nliwah kua na Xperia J nliichukia sana nkagundua kadri simu inavyozid kua kubwa kwa features/specifications zake ndvyo betri inatumika zaidvodafone vf685 ni simu ya kawaida kwanza display sio HD au full HD pia low-end phone hivyo kuhusu battery ni lazima itakaa na chaji na hata app ambazo utatumia kwenye hyo vodafone yako hazizidi 500mb
XiaomiSimu gani ina 4100mAH?
350k, inapungua lakiniBei gani
350k, inapungua lakini
live stream kwa wanaotaka live leo nokia wanazindua simu zao
Kampuni ya simu inayotoa battery imara zinazokaa na charge muda mrefu ni Xiomi na simu zake za MI series. Hawa jamaa battery zao wanajitahidi sanaWarudi tu....hawa Samsung na IPhone wameanza kujisahau!🙂
Power/battery ni issue kubwa kwa smart phones. Atakayeweza kupata suluhu mapema kuliko wengine, atafanikiwa pakubwa!
Mkubwa nilikuwa naomba kujua tofauti za kimuonekana kati ya kioo cha HD na FULL HD hasa upande wa video na pichavodafone vf685 ni simu ya kawaida kwanza display sio HD au full HD pia low-end phone hivyo kuhusu battery ni lazima itakaa na chaji na hata app ambazo utatumia kwenye hyo vodafone yako hazizidi 500mb
kila kioo kinakuwa na kitu kinaitwa pixel ambacho ni kama kidoti kianachoonesha picha, hizo pixel kila moja ikiwaka rangi yake ndio unaona picha kwenye tv au simu yako.Mkubwa samahani naomba somo,kuna utofauti gani kati ya HD display na FULL HD display kimuonekano wa picha na video.
Asnter, sana chief kwa maelezeo mazuri, jee kioo cha cha nchi 5.5 Hakifai kwa technology ya HD kama ilivyo galaxy j7 2016 hii ina technology hiyo na nchi 5.5kila kioo kinakuwa na kitu kinaitwa pixel ambacho ni kama kidoti kianachoonesha picha, hizo pixel kila moja ikiwaka rangi yake ndio unaona picha kwenye tv au simu yako.
mfano angalia hii picha
![]()
HAPO inaonyesha pixel zikiwa kidogo na quality nayo inakuwa ndogo na zikiwa nyingi na quality nayo inakuwa kubwa. hivyo ili kuelewa hapa tu assume kioo chenye pixel nyingi ndio kinakuwa na quality kubwa.
tuje kwenye hd na full hd
HD ni sawa na pixel 1280x720, kwa simu hapo urefu unakuwa na pixel 1280 na upana pixel 720 kwa jumla kioo kizima inakuwa ni pixel milioni 1
Full HD ni sawa na 1920x1080, kwa simu hapo urefu unakuwa na pixel 1920 na upana ni pixel 1080 kwa ujumla ni pixel milioni 2.
na juu tumeona kioo kikiwa na pixel nyingi ndio kinakuwa kizuri hivyo hapa unaona kioo cha full HD ni kizuri kuliko cha HD.
ila macho ya binadamu yana limit ya kuona hizi pixel kwa ukaribu wa simu kioo cha HD kinatosha kwa simu zenye inch 4.7 kushuka na kwa simu kubwa kama hii Nokia 6 kioo cha full HD kinatosha.
Mkuu umezaliwa na uwalimu ndani yako bonge la mfano umetoachukulia mfano wa magari, gari likiwa na tank kubwa la mafuta ndio linaenda umbali mrefu kabla mafuta hayajaisha?
kuna magari vitank vyake vidogo tu kama vile vitz lakini hayali sana mafuta ila kuna magari kama land cruiser yana matank makubwa lakini mafuta yanaenda upesi upesi.
mwezi wa May au June zinatoka Nokia 3 na Nokia 5.kuanzia mwezi wa 5-6 itakuwa imeshafika bongo
inategemea mkuu unataka nini tuzungumzie hapo kwenye j7 na tueke j7 prime hapo hapo.Asnter, sana chief kwa maelezeo mazuri, jee kioo cha cha nchi 5.5 Hakifai kwa technology ya HD kama ilivyo galaxy j7 2016 hii ina technology hiyo na nchi 5.5
Hata ikiwa E? Hapo juu inasoma 3g au E?Chief samahani mkuu, sumsung yangu s4 inazingua kusoma mtandao baadhi ya sehemu inaandika emergence only haisomi line