Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

M. 2 haikubali nilinunua ikabidi niiuze kwa bei ya hasara, nilipowasiliana na Xiaomi support wakaniambia hii pc inakubali PCIe ssd tu na nilipofungua ndani pale mahali pa expansion wameandika hivyo hivyo ni PCIe ssd
Hiyo M.2 ulinunua kiasi gani?
 
mimi nimepresent ninachojua wewe umepresent nini zaidi ya fikra zako?

mtu ananitengenezea kitu offline naweza kirun kwenye simu au pc hata miaka 40 bila kuwa online na mwengine anaforce kitu hicho kiwe online hata kama hakuna haja ya hicho kitu kuwa online unataka nisiwaamini wote?

natumia hapa here maps total offline ina kama miezi 6 haijui internet nina firewall na app zinazokamata packet hakuna kinachoingia na kutoka bila kukijua nikitaka, hizi sio scandal ni total fact hata wewe au mtu yoyote humu anaweza kudownload na kutest, kwanini nisimuamini mtu alietengeneza hiki kitu?
Map here kwenye android inakubali??
 
$68 kutoka gearbest.com nikaiuza Tshs 80,000/=
Ilikuwa na muonekano kama huu sio.
s-l1600.jpg
s-l1600 (1).jpg
 
Map here kwenye android inakubali??
yap inaitwa here we go, search neno here utaipata, ukishadownload hakikisha una bundle la kutosha halafu nenda download maps kadownload ramani ya Tanzania nzima kama mb 200 hivi.

pia ukitaka nchi nyengine download

ukimaliza click use offline itajifunga utatumia bila internet hata kama huna bundle itafanya kazi.
 
Ile iliyo leak specs zake ziko juu, maana inaingia kwenye ushindani na vitu vikali kama s8, iphone 8, htc11, mi 6 mix
Ila kwa laki5 hii itawafaa watumiaji wengi wa kawaida
That's why i like chinese engineers, they cheap n' interesting
 
Kampuni ya HMD global leo imezindua simu mpya ya Nokia 6 huko china.

Nokia-6_6.png




Nokia 6 Specifications:

  • 5.5-inch FullHD screen (2.5D glass, Gorilla Glass 3)
  • 154 x 75.8 x 7.85 mm (camera bulge 8.4 mm)
  • Qualcomm Snapdragon 430
  • 4GB RAM
  • 64GB internal + MicroSD
  • 16MP back and 8MP front camera
  • 3000mAh
  • Dolby Atmos
  • 6000-series aluminum unibody
  • Android 7.0 Nougat
Nokia-6.jpg


bei yake ni dola 245, around 540,000 za kitanzania. ila kwa sasa imezinduliwa china tu masoko mengine bado
naisubiri kwa hamu
 
M
yap inaitwa here we go, search neno here utaipata, ukishadownload hakikisha una bundle la kutosha halafu nenda download maps kadownload ramani ya Tanzania nzima kama mb 200 hivi.

pia ukitaka nchi nyengine download

ukimaliza click use offline itajifunga utatumia bila internet hata kama huna bundle itafanya kazi.
kuu inafanyaje hiyo nielekeze plz maana kujifunza mambo mengi ni kuzuri pia
 
Chief akili yako imeganda kwenye skendo na historia.
Endelea kuishi hivyo kuliko kuwaambia Watanzania afu badae waje waskie kinachofanyika.
Mimi siiamin kampuni yeyote kwenye maswala ya data privacy.

Wewe unaeamini Nokia kumbe unaamini skendo, bado ni jambo la kusikitisha
Chief, huyu mtu ninaomba usimjibu.
 
Nmekua sina hisia na simu zinazotumia mfumo wa android ila kwa hawa king of phones nahisi nina mapenzi mazito na kitu cha Nokia 6
 
Nimerudi tena @Chief-Mkwawa me napenda kufahamu naweza kupata wapi laptop yalaki tano hapa mjini au duka gani naweza nikaenda nikapata laptop kiasi cha hiyo pesa nilio sema hapo mkuu samahani kwa usumbufu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom