h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,545
- 3,368
Hiyo M.2 ulinunua kiasi gani?M. 2 haikubali nilinunua ikabidi niiuze kwa bei ya hasara, nilipowasiliana na Xiaomi support wakaniambia hii pc inakubali PCIe ssd tu na nilipofungua ndani pale mahali pa expansion wameandika hivyo hivyo ni PCIe ssd
