Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,070
- 43,514
- Thread starter
- #261
labda used, laptop mpya ya laki 5 inakuwa na atom (braswell) ambazo cpu zake ni dhaifu sana hata simu ina afadhali.Nimerudi tena @Chief-Mkwawa me napenda kufahamu naweza kupata wapi laptop yalaki tano hapa mjini au duka gani naweza nikaenda nikapata laptop kiasi cha hiyo pesa nilio sema hapo mkuu samahani kwa usumbufu