Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Warudi tu....hawa Samsung na IPhone wameanza kujisahau!🙂

Power/battery ni issue kubwa kwa smart phones. Atakayeweza kupata suluhu mapema kuliko wengine, atafanikiwa pakubwa!
 
nokia 6 ndio simu imara ya mwaka huu pia ni simu ambayo display yake inalindwa na alluminiun,hapa majuzi imefanyiwa majaribio ya kuidondosha kuanzia futi 3,5 hadi futi 50 na simu bado iliendelea kufanya kazi japo kioo kilipasuka.

ukirudi kwenye camera iko poa sana ikichuana na high-end phones,hii ni simu ambayo naisubiri ninunue
 
Ni lini hasa itafika bongo manake mie mwenyewe nazichanga ili niweze kua nayo
 
Warudi tu....hawa Samsung na IPhone wameanza kujisahau!🙂

Power/battery ni issue kubwa kwa smart phones. Atakayeweza kupata suluhu mapema kuliko wengine, atafanikiwa pakubwa!
mkuu kuhusu battery life iko vizuri pia wiki iliyopita imefanyiwa test ya battery
1. Inauwezo WA kukaa na chaji kwa matumizi makubwa masaa 16
2.kama utatumia kwa matumizi ya kawaida ni masaa 24
3.hamna overheating yaani kama unacheza game utaipenda
 
[QUOTE="Kilangi masanja, post: 20581822, member: 165186"au[/QUOTE]
Na bei ishajulika?
 
Tatizo la smart phone ni battery..
Betri kama kimeo hata simu yako iweje
Umesema ukwel ndugu, mi ninatumia Vodafone VF685 yaan kwa upande wa betri cnaga hofu, nahisi kwenye utengenezaji kuna muda huwa wanafanya kwel yaan chaj inadumu mpaka nahisi betri inaenda kuharibika kwa namna navyoitumikisha kwa games, radio na data.
 
Umesema ukwel ndugu, mi ninatumia Vodafone VF685 yaan kwa upande wa betri cnaga hofu, nahisi kwenye utengenezaji kuna muda huwa wanafanya kwel yaan chaj inadumu mpaka nahisi betri inaenda kuharibika kwa namna navyoitumikisha kwa games, radio na data.
vodafone vf685 ni simu ya kawaida kwanza display sio HD au full HD pia low-end phone hivyo kuhusu battery ni lazima itakaa na chaji na hata app ambazo utatumia kwenye hyo vodafone yako hazizidi 500mb
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom