Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Asante Nokia!Asante Kwa Kurudi!
Nilikuwa Lumia,Microsoft na Sasa Nimerudi Nokia Asha 206!
Dah!
Mpenzi Amerudi!
Sio mbaya,na wakitukumbuka na sie wapenda keypads!
Ingekuwa vyema wakatutengenezea simu yenye specs za keypads na touchscreen into one phone!
 
mnakumbuka mwaka 2014 wakati iphone6 ikizinduliwa, watu walikesha wakiisubiri,lakini baadaye iphone 6 ikaanza kupinda, hivyo hivyo samsung note7 walininunua sana lakini ikawalipukia mifukoni, watu wanatamani wawe no1 kumiliki hili toleo la nokia
Wewe umeona hizo tu, mbona husemi kuhusu matoleo mengine ya Nokia, yashawahi kupata hizo hitirafu!?
 
wale wa flagship utakuja WAHEED SUDAY kuna leaks za flagship ya Nokia hapa



seems kulikuwa na nokia 8 ces kwenye banda la qualcomm kuna jamaa amechukua video

-5.7 quad hd
-super amoled display
-24mp camera yenye OIS na EIS (optical image stabilization na electrical image stabilization) angalia video kuona isivyoathirika na mtikisiko
-nokia logo inayowaka (vita vya matunda vitaanza)
-speaker mbili za mbele
-64 na 128gb storage na 4gb na 6gb ram pamoja na sd card hadi 256gb
-snapdragon 835 au 821

Mkuu, nimeangalia YouTube leaks nyingi sana kuhusu flagship ya Nokia mpaka zimenichanganya, sasa hivi nasubiri official itoke
 
Hizo specs ,,zaidi ya computer
Kampuni ya HMD global leo imezindua simu mpya ya Nokia 6 huko china.

Nokia-6_6.png




Nokia 6 Specifications:

  • 5.5-inch FullHD screen (2.5D glass, Gorilla Glass 3)
  • 154 x 75.8 x 7.85 mm (camera bulge 8.4 mm)
  • Qualcomm Snapdragon 430
  • 4GB RAM
  • 64GB internal + MicroSD
  • 16MP back and 8MP front camera
  • 3000mAh
  • Dolby Atmos
  • 6000-series aluminum unibody
  • Android 7.0 Nougat
Nokia-6.jpg


bei yake ni dola 245, around 540,000 za kitanzania. ila kwa sasa imezinduliwa china tu masoko mengine bado
 
Mkuu,niliyoiona ina 32GB ila waweza nunua kisha ukaiupdate maana SSD zinauzwa hapohapo,Duka lipo mtaa wa Uhuru kama unaenda mnazi mmoja upande wa kulia,ila sijalikalili jina la Duka
Nataka kuupgrade maana pc yangu inatumia ssd ya 128GB na ina expansion slot moja na kuweka 32GB itakuwa haina maana!
 
Kampuni ya HMD global leo imezindua simu mpya ya Nokia 6 huko china.

Nokia-6_6.png




Nokia 6 Specifications:

  • 5.5-inch FullHD screen (2.5D glass, Gorilla Glass 3)
  • 154 x 75.8 x 7.85 mm (camera bulge 8.4 mm)
  • Qualcomm Snapdragon 430
  • 4GB RAM
  • 64GB internal + MicroSD
  • 16MP back and 8MP front camera
  • 3000mAh
  • Dolby Atmos
  • 6000-series aluminum unibody
  • Android 7.0 Nougat
Nokia-6.jpg


bei yake ni dola 245, around 540,000 za kitanzania. ila kwa sasa imezinduliwa china tu masoko mengine bado
Vpi tz bado haijaingia sokon?
 
around 540,000 ila ni simu ya china tu, simu zetu zitatoka tarehe 26 mwezi wa pili, nafkiri midcom wataendelea kuwa reseller wetu hapa bongo

ila kama unaitaka unaweza inunua online
Mkuu,nina maswali machache ya nje ya mada, nina LG G3 (lgls990) hii simu nimeigoogle nimekuta ni toleo la Sprint mitandao ya huko Ulaya, na Band zake za 4G LTE ni 850, 1900 na 2500
Swali la kwanza; ni mtandao gani wa simu hapa bongo unaotumia band hizo?
Swali la pili; inatatizo la kustuck, mf.unataka kuswipe down ili uone notification au uwashe data inagoma, au mda mwingine touch inagoma kufanya kazi kabisa mpaka itakapoamua yenyewe au utoe battery kisha uiwashe, tatizo laweza kuwa nini ni software au hardware?
Swali la tatu; nataka kuiflash kwa kuweka stock firmware ya international D855 itaweza support 4G na kutatua tatizo la kustuck? Chief-Mkwawa naomba unijibu hayo maswali matatu hapo juu maana hali tete
 
Mkuu,nina maswali machache ya nje ya mada, nina LG G3 (lgls990) hii simu nimeigoogle nimekuta ni toleo la Sprint mitandao ya huko Ulaya, na Band zake za 4G LTE ni 850, 1900 na 2500
Swali la kwanza; ni mtandao gani wa simu hapa bongo unaotumia band hizo?
Swali la pili; inatatizo la kustuck, mf.unataka kuswipe down ili uone notification au uwashe data inagoma, au mda mwingine touch inagoma kufanya kazi kabisa mpaka itakapoamua yenyewe au utoe battery kisha uiwashe, tatizo laweza kuwa nini ni software au hardware?
Swali la tatu; nataka kuiflash kwa kuweka stock firmware ya international D855 itaweza support 4G na kutatua tatizo la kustuck? Chief-Mkwawa naomba unijibu hayo maswali matatu hapo juu maana hali tete
1. huwezi flash na kueka international rom ila kama unapenda kuchezea simu unaweza ukaflash custom rom kama cyanogenmod ikaifanya iwe fresh bila limitation.

2. band hizo hazikubali bongo, bongo ni 800, 1800 na 2300 ila kuna baadhi ya simu unaweza badili bands

3. kustuck inaweza kuwa software au hardware jaribu kubadili rom, au kuflash au kuhard reset tatizo likiendelea pengine ni emmc imekufa hapo ni kubadili motherboard
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom