Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

Hizo specs ,,zaidi ya computer
hapana mkuu, simu bado sana kwa computer,

mfano hii Nokia 6 ram yake ni 4gb ila lisikudanganye hilo neno kwani ipo hivi

-ni 850mhz ndio clock speed yake, wakati pc now zina 2000 hadi 3000mhz hivyo unaona gap lilivyo kubwa

-ni single chanell wakati pc za kawaida ni dual chanell na za professional ni quad chanell

-ni ddr3 wakati pc now ni ddr4

same ukija kwenye storage haiwezi shindana na sdd, cpu haifikii hata laptop ya bei sawa na simu
 
1. huwezi flash na kueka international rom ila kama unapenda kuchezea simu unaweza ukaflash custom rom kama cyanogenmod ikaifanya iwe fresh bila limitation.

2. band hizo hazikubali bongo, bongo ni 800, 1800 na 2300 ila kuna baadhi ya simu unaweza badili bands

3. kustuck inaweza kuwa software au hardware jaribu kubadili rom, au kuflash au kuhard reset tatizo likiendelea pengine ni emmc imekufa hapo ni kubadili motherboard
Shukrani mkuu Chief-Mkwawa hapo kwenye jibu la pili je kwa hii LG G3 LS990 inawezekana kubadili Bands?
 
Nokia wa leo hii mnamfahamu nyie wenye mahaba na kampuni husika, kwamba hachukui data zenu, yaani wazi wazi unamuamini mtu mweupe. tena ni bora ukabaki na imani yako kuliko kuwapa watu wanaokuamini kabisa mambo ya kitoto kama haya.
Toa ushahidi
 
Toa ushahidi
Nimesema pale juu, huwezi jua anachokifanya chura akiwa chini ya maji, kama unajua kusoma unaweza kuona, japo usielewe.
We nae kama unaamini nokia hachukui data zenu endelea kuamini, ila usiwaaminishe watanzania.

Mjanja ni yule anaechukua data zako bila wewe kujua, sasa mjinga ni yule anaemwamini mtu anaechukua data zake bila yeye kujua.
Usiponielewa soma tena, si mme mkalili facebook tu.
mtu mweupe hana utu.
 
Nimesema pale juu, huwezi jua anachokifanya chura akiwa chini ya maji, kama unajua kusoma unaweza kuona, japo usielewe.
We nae kama unaamini nokia hachukui data zenu endelea kuamini, ila usiwaaminishe watanzania.

Mjanja ni yule anaechukua data zako bila wewe kujua, sasa mjinga ni yule anaemwamini mtu anaechukua data zake bila yeye kujua.
Usiponielewa soma tena, si mme mkalili facebook tu.
mtu mweupe hana utu.
ok tuambie sasa tumiliki simu zipi ambazo wewe umezikagua haziibi data.

nokia ameanza kutengeneza simu wengine hawajazaliwa humu lakini hana scandal yoyote ya kuiba data, na hivi vitu sio ngumu kuvithibitisha unless huyo malware ameekwa kwenye hardware ila upande wa software sio ngumu.

na ili mtu akuibie data inabidi atengeneze mazingira, mfano kampuni inatengeneza apps ambazo nyingi ni offline tu unategemea atakuibiaje data?

hao kina fb, google na kampuni nyengine zinazosifika kuiba data wote utaona wana force muda wote uwe online ili wapate data zako.

na Nokia ni kampuni ya Finland inatoka eneo la scandnavia hawa jamaa ni tofauti na nchi za magharibi, wao sio pure capitalist wanavyoendesha mambo yao ni tofauti na nchi kama Usa, China, Urusi na nchi nyengine kubwa. jaribu kuwasoma zaidi wamefanikiwa vipi kwenye Maisha, Elimu, Technology na serikali zao zinavyoendeshwa utajua kama Nokia ni kama google ama la
 
Nope, ni laptop ya Xiaomi air 12.5" na inahitaji ssd ya PCIe 8cm tu

mkuu kuna m.2 na pcie nafkiri zote ni pcie ila m2 ndio kwa ajili ya vifaa vidogo kama hio laptop
hii m2
plextor-m.2-ssd_400-Wide.jpg


hii pcie
p3700.jpg


niliwahi kuziona magimeni mapipa jirani na stand ya tahmeed ila muda sana, kama mwaka umepita unaweza jaribu bahati yako kama bado zipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom